nyinyi wanawake aisee sio wa kuwaamini 100% , ni mafundi sana wa kuongea na kupaka rangi maneno.Nimesikiliza intavyuu ya Lisa nimesimama na Lisa aseeeh nna hakika100% amesema ukweli
Sent using Jamii Forums mobile app
100% true, ukiwa na hela atakuambia kwa nini upo bize hutengi muda wa kuzungumza na mimi. Ukiwa huna hela unakuwa nae karibu atakuambia, hebu angalia wanaume wenzio walivyo bize kuwatafutia wapenzi wao, wewe mwanaume surualiWanawake ni viumbe wa ajabu kweli, ukiwa na hela atatamani ushinde ndani muda wote hata nje usitoke, ukiwa huna sasa hataki kukuona hapo ndani, hata ukilala nje anaona sawa tu.
Najongea tu
Ila si ndo uyu demu ambae alikua anaumwaga kpnd flani hv MABESTE alikua nae bega kwa bega lamn ? Au yule alikua kamikaze maana nawafananishaga sana hawa jamaa wawili
yess BiShoo haswaaA
Ukweli kabisa, yaan wageni wakija kwako watapata habari kamiliNaam nikweli ...Mwanamke akikosa Kazi maisha Yake yote Mwanaume atamvumilia .....ila mwanaume akikosa Kazi mwezi 1 tu basi kuna hatari kubwa kwa ndoa Yake kuvunjika
Sent using Jamii Forums mobile app
nyinyi wanawake aisee sio wa kuwaamini 100% , ni mafundi sana wa kuongea na kupaka rangi maneno.
Mimi nilichokiona hapo ni mambo ya kiroho ndio yaliyowayumbisha hao, inaonekana mabeste miungu ya ukoo wake inamuandama kwa sababu alikiuka tangu mwanzo, hakufuata procedures za kwao katika kumpata na kumuoa huyo mwanamke
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji2][emoji23][emoji2]duhhh!!!Kama motoni kuna ndoa hapo nitaoa lakini sio dunia hii.
Kwa upande wako unaweza kumvumilia mwanaume ambaye pesa Hana? sema ukweli kutoka moyoni
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] akili hunaKwahiyo alipopona akawa kamaliza majukumu sasa yeye achill tu home kula na kugegeda??
Si kaolewa unadhani atafnya nn tena kama sio hvoKwahiyo alipopona akawa kamaliza majukumu sasa yeye achill tu home kula na kugegeda??
kwa nini mzeeKama motoni kuna ndoa hapo nitaoa lakini sio dunia hii.
Nakuhakikishia, ukikaa ukaisikia interview yake, utatamani huyo dada awe available umuoe.
She was so real.
Kumbe tupo wengi tuliofikia hii hitimishoe?
Huyu Mwanamke ni Mpumbavu kufikia hatua ya kuanza kurekodi mpaka marumbano ya ndani ya ndoa ina maana kua alishapanga kumuacha jamaa.. Na kajipanga kumdhalilisha pia.
Si kaolewa unadhani atafnya nn tena kama sio hvo
yess BiShoo haswaaA