hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,678
- 63,304
Mimi nimuumini wa hiyo falsafa yako ..Lakini vijana wengi sana wana jifanya ni vi-bo....dinda so acha Yawa kute hayo
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna faida gani sasa ya kuwa na mwanamke kama anakujudge kwa kiasi cha pesa ulicho nacho. Cha msingi si ni kutafuta pesa.... Then unakata mti na kupanda mti..... Yanini kukaa na mtu anaetaka kutumia chako ila hayupo tayari kuwa na wewe unapokuwa mtupu
Sent using Jamii Forums mobile app
Sent using Jamii Forums mobile app