Jinsi nilivyoambulia kipigo 2016 kwenye Makambi ya wasabato

Jinsi nilivyoambulia kipigo 2016 kwenye Makambi ya wasabato

Procedure ziko wazi porini hakuna kuremba mkuu.

Siku zote kwèñye mishe hatari Mwanamke asiwe mchora ramani na mipango. NI rahisi kukamatwa.

Mwanamke sehemu anayoona NI salama kûna Asilimia kûbwa siô salama.

Bahati yako sikuwepo, Mimi ni masterGuide pia. Ningekuungia Mkia huku nikikupa Mbata za mgongo😃
 
Siku zote kwèñye mishe hatari Mwanamke asiwe mchora ramani na mipango. NI rahisi kukamatwa.

Mwanamke sehemu anayoona NI salama kûna Asilimia kûbwa siô salama.

Bahati yako sikuwepo, Mimi ni masterGuide pia. Ningekuungia Mkia huku nikikupa Mbata za mgongo😃
Sahihi kabisa nilienda kiboya sana

Wale jamaa Huwa nikiwaona akiri inarudi chap kwenye lile tukio.

Nilifyatuka hapo kiboko cha12 kikaishirizia mgongoni lkn sikujari daah.
Boda alikuwa ananihoji mbona una hema Hivi nikamwambia nimetoka nakimbia kuwahi usafiri nilijua sitakuta asee😂😂
 
Back
Top Bottom