Jinsi nilivyoambulia kipigo 2016 kwenye Makambi ya wasabato

Jinsi nilivyoambulia kipigo 2016 kwenye Makambi ya wasabato

Sasa umeacha kusali SDA siku hizi?
Tangu mwaka huo sikuwahi enda Tena maana nilioa na kufunga ndoa Rc nilipokuwa na Sali tangu awali ila masomo Yao Bado naishi nayo Hadi Leo

Mikutano yoyte Ile ya kisabato Huwa nachachingia na mwanza nilienda ule wa UFUNUO WA MATUMAINI. Alikuwa anahubiri mzungu fln anaitwa mark Finley.

Mahubiri kama nyayo za matumaini na yatosha jangwani ya Hivi karibuni nimehudhiria pia Kwa njia ya runinga

Hata Yale yalikuwa mbeya kama sikosei yalikuwa yanaitwa ushindi hatimae nilihudhuria nk.

Hata ibada ya nyumbani tunaiendeaha kisabato fln mixer na Rc. Ins short yote mema kiongozi.
 
Tangu mwaka huo sikuwahi enda Tena maana nilioa na kufunga ndoa Rc nilipokuwa na Sali tangu awali ila masomo Yao Bado naishi nayo Hadi Leo

Mikutano yoyte Ile ya kisabato Huwa nachachingia na mwanza nilienda ule wa UFUNUO WA MATUMAINI. Alikuwa anahubiri mzungu fln anaitwa mark Finley.

Mahubiri kama nyayo za matumaini na yatosha jangwani ya Hivi karibuni nimehudhiria pia Kwa njia ya runinga

Hata Yale yalikuwa mbeya kama sikosei yalikuwa yanaitwa ushindi hatimae nilihudhuria nk.

Hata ibada ya nyumbani tunaiendeaha kisabato fln mixer na Rc. Ins short yote mema kiongozi.
Sawa. Uje sasa tumalizie mafunzo ya Master Guide na SYL, na vijana wako utuletee Adventurer CLUB NA Pathfinder CLUB.
 
Pole sana,kuna binti mmoja sijui hata tulianzana vipi,ila alikua mlokole.
Muimba kwaya
Mi muhuni tu,
katika kupiga SOUnd binti kasema ili nikupe mzigo twende wote church tukaimbe.
E bana nilipiga kisichana(nyagi)
Mapema tu.
Mle ndani church ilikua pale kwa chidumule siku hizi selebonge anauza vihepe.
Hombus inn mbele.
Niliimba siku hiyo unaambiwa vibe lote.
Binti alinipa mzigo kilaini
sana badae ikawa mchekea tu.
Ila sikufanikiwa kupigwa
😀😀😀nyie watu
 
Tangu mwaka huo sikuwahi enda Tena maana nilioa na kufunga ndoa Rc nilipokuwa na Sali tangu awali ila masomo Yao Bado naishi nayo Hadi Leo

Mikutano yoyte Ile ya kisabato Huwa nachachingia na mwanza nilienda ule wa UFUNUO WA MATUMAINI. Alikuwa anahubiri mzungu fln anaitwa mark Finley.

Mahubiri kama nyayo za matumaini na yatosha jangwani ya Hivi karibuni nimehudhiria pia Kwa njia ya runinga

Hata Yale yalikuwa mbeya kama sikosei yalikuwa yanaitwa ushindi hatimae nilihudhuria nk.

Hata ibada ya nyumbani tunaiendeaha kisabato fln mixer na Rc. Ins short yote mema kiongozi.
Wasabato wana mafundisho mazuri sana, ukiachana na misimamo yao mingine lakini wana mafundisho mazuri hata mimi ni mdau wa kuwafuatilia
 
Hako kademu kalikua ni kamalaya kama wewe, kalikuja kwenye hilo kongamano kama wewe tu kutafuta bwana/danga.
 
Wale jamaa sijui tu walitokea wapi maana wasingenikutapo asee ningechomoka speed wao wenyewe wasingeliamini!!

Jamaa wale walikuwa na wivu binafsi tu Wala hakuna jingine


Hahahaha Umemaliza mkuu


Tena ukute walikua wananyata ili walau wapate hata audio (miguno).


Kufikiria zaidi wakaamini utafaidi sana (wivu), hvyo wakasadiki kukufurumusha before action.
 
Hahahaha Umemaliza mkuu


Tena ukute walikua wananyata ili walau wapate hata audio (miguno).


Kufikiria zaidi wakaamini utafaidi sana (wivu), hvyo wakasadiki kukufurumusha before action.
Na huu ndio ukweli kama wangekuwa na Nia nzuri si wangetuhoji mnaenda wapi?
 
Back
Top Bottom