Jinsi nilivyoambulia kipigo 2016 kwenye Makambi ya wasabato

Procedure ziko wazi porini hakuna kuremba mkuu.

Siku zote kwèñye mishe hatari Mwanamke asiwe mchora ramani na mipango. NI rahisi kukamatwa.

Mwanamke sehemu anayoona NI salama kΓ»na Asilimia kΓ»bwa siΓ΄ salama.

Bahati yako sikuwepo, Mimi ni masterGuide pia. Ningekuungia Mkia huku nikikupa Mbata za mgongoπŸ˜ƒ
 
Sahihi kabisa nilienda kiboya sana

Wale jamaa Huwa nikiwaona akiri inarudi chap kwenye lile tukio.

Nilifyatuka hapo kiboko cha12 kikaishirizia mgongoni lkn sikujari daah.
Boda alikuwa ananihoji mbona una hema Hivi nikamwambia nimetoka nakimbia kuwahi usafiri nilijua sitakuta aseeπŸ˜‚πŸ˜‚
 
Lakini Mimi sikuwa mtoto miaka26 mkuu kama sio uonevu ni Nini? Na lengo lilikuwa zuri tu nioe. Walinionea hakika
β€œUsimnyime mtoto wako mapigo; maana ukimpiga kwa fimbo hatakufa. Utampiga kwa fimbo, Na kumwokoa nafsi yake na kuzimu”- Mithali 23:13
 
Pr Mlozi kwa sasa ni president wa South Nyanza Conference makao makuu Mwanza.

Sema na wewe noma mpaka vichakani asee
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…