Nikifa MkeWangu Asiolewe
JF-Expert Member
- Feb 26, 2024
- 6,944
- 14,351
- Thread starter
-
- #101
Tangu mwaka huo sikuwahi enda Tena maana nilioa na kufunga ndoa Rc nilipokuwa na Sali tangu awali ila masomo Yao Bado naishi nayo Hadi LeoSasa umeacha kusali SDA siku hizi?
Siyo rahisi mkuu Mungu ni wa woteHahahhaha una bahati yako ungedumbukia kwenye maduara kwa kuendekeza uzinzi
Sawa. Uje sasa tumalizie mafunzo ya Master Guide na SYL, na vijana wako utuletee Adventurer CLUB NA Pathfinder CLUB.Tangu mwaka huo sikuwahi enda Tena maana nilioa na kufunga ndoa Rc nilipokuwa na Sali tangu awali ila masomo Yao Bado naishi nayo Hadi Leo
Mikutano yoyte Ile ya kisabato Huwa nachachingia na mwanza nilienda ule wa UFUNUO WA MATUMAINI. Alikuwa anahubiri mzungu fln anaitwa mark Finley.
Mahubiri kama nyayo za matumaini na yatosha jangwani ya Hivi karibuni nimehudhiria pia Kwa njia ya runinga
Hata Yale yalikuwa mbeya kama sikosei yalikuwa yanaitwa ushindi hatimae nilihudhuria nk.
Hata ibada ya nyumbani tunaiendeaha kisabato fln mixer na Rc. Ins short yote mema kiongozi.
Ipo siku mkuu tuombe uzima.wee ni Kanda ya Ziwa pia? Na unayakumbuka haya Makambi?Sawa. Uje sasa tumalizie mafunzo ya Master Guide na SYL, na vijana wako utuletee Adventurer CLUB NA Pathfinder CLUB.
Nina uthibitisho wa kutosha.Ni maneno ya kusikia au kuna uthibitisho? Maana huwa jamaa kama wenyewe hawanaga dhambi.
πππnyie watuPole sana,kuna binti mmoja sijui hata tulianzana vipi,ila alikua mlokole.
Muimba kwaya
Mi muhuni tu,
katika kupiga SOUnd binti kasema ili nikupe mzigo twende wote church tukaimbe.
E bana nilipiga kisichana(nyagi)
Mapema tu.
Mle ndani church ilikua pale kwa chidumule siku hizi selebonge anauza vihepe.
Hombus inn mbele.
Niliimba siku hiyo unaambiwa vibe lote.
Binti alinipa mzigo kilaini
sana badae ikawa mchekea tu.
Ila sikufanikiwa kupigwa
Basi siyo poa kwasababu huwa wana criticize sana madhehebu mengine.Nina uthibitisho wa kutosha.
Wasabato wana mafundisho mazuri sana, ukiachana na misimamo yao mingine lakini wana mafundisho mazuri hata mimi ni mdau wa kuwafuatiliaTangu mwaka huo sikuwahi enda Tena maana nilioa na kufunga ndoa Rc nilipokuwa na Sali tangu awali ila masomo Yao Bado naishi nayo Hadi Leo
Mikutano yoyte Ile ya kisabato Huwa nachachingia na mwanza nilienda ule wa UFUNUO WA MATUMAINI. Alikuwa anahubiri mzungu fln anaitwa mark Finley.
Mahubiri kama nyayo za matumaini na yatosha jangwani ya Hivi karibuni nimehudhiria pia Kwa njia ya runinga
Hata Yale yalikuwa mbeya kama sikosei yalikuwa yanaitwa ushindi hatimae nilihudhuria nk.
Hata ibada ya nyumbani tunaiendeaha kisabato fln mixer na Rc. Ins short yote mema kiongozi.
Hakika Kwa mfano masomo ya afya ndo nk wapo vzr sana asee. Mi Nina vitabu vyao vya afya vingi sanaWasabato wana mafundisho mazuri sana, ukiachana na misimamo yao mingine lakini wana mafundisho mazuri hata mimi ni mdau wa kuwafuatilia
Yawezekena lkn kikubwa utelezi mkuu hayo mengine yangekuja badaeHako kademu kalikua ni kamalaya kama wewe, kalikuja kwenye hilo kongamano kama wewe tu kutafuta bwana/danga.
Kisasi ni haki ya kila mtu kikatiba bila kujali sababu.Sasa atakutana nao owani anawajua kwa sura sasa? Na hata akikutana nao yanini kukumbushia ya zamani kwa nia ya kisasi kisa uzinzi? Tukue kiakili sasa
Kabisa mkuu wangu.Ipo siku mkuu tuombe uzima.wee ni Kanda ya Ziwa pia? Na unayakumbuka haya Makambi?
Wale jamaa sijui tu walitokea wapi maana wasingenikutapo asee ningechomoka speed wao wenyewe wasingeliamini!!
Jamaa wale walikuwa na wivu binafsi tu Wala hakuna jingine
Na huu ndio ukweli kama wangekuwa na Nia nzuri si wangetuhoji mnaenda wapi?Hahahaha Umemaliza mkuu
Tena ukute walikua wananyata ili walau wapate hata audio (miguno).
Kufikiria zaidi wakaamini utafaidi sana (wivu), hvyo wakasadiki kukufurumusha before action.
Muda wa makambi ndo huu fatilia makanisa yaliyo karibu naweweSabato nikimpata mda ntashiriki makambi yao ili nipate somo zuri tu japo sio Kwa akili ya demu maana me ntasema kabisa kuwa sio mmoja wenu Bali nafata mafundsho tu.