Najiona Mimi
Member
- Aug 15, 2020
- 74
- 87
Kuhusu saikolojia kuna vitu vingi tu vinasababishwa madhara ya kisaikolojia, watu waanachwa na wapenzi wao wanapata madhara ya saikolojia wengine had wanajiua, mahusiano yanapelekea watu wanaua, wanajinyonga, ayo madhara ya kisaikolojia yanayotakana na nyeto ni yapi. Ulishasikia mtu amejiua kisa nyeto? Lakn ni visa vingapi tunasikia watu wanauliwa kisa wivu wa mapenzi.
Na unaposema saikolojia useme ni saikolojia gani apo, maana saikolojia inakuwa affected na vitu vingi tu.
Kukataa tamaa na kwenda kununua malaya Ilo nalo ni tatizo, mwanaume huatakiwi ukate tamaa mapema ivo. Ni sawa na useme utatafuta ela mara ya kwanza ukikosa, utajarubu mara ya pili ukikosa unaenda kuibaaa.Kuzungushwa na demu ndo ktu spendagi,,, mm nkimtongoza akakataa,, nkijitahid sana ntraudia mara moja afta that nafuta namba zake naingia manzese uwanja wa fisi, kimboka au pale riverside. But nyeto is a NO GO ZONE to me!!!
Sawa!!Kukataa tamaa na kwenda kununua malaya Ilo nalo ni tatizo, mwanaume huatakiwi ukate tamaa mapema ivo. Ni sawa na useme utatafuta ela mara ya kwanza ukikosa, utajarubu mara ya pili ukikosa unaenda kuibaaa.
Unajiona mjanja upigi nyeto afu unajiona mjana unanunua malaya kisa umeshindwa kutongoza. We ni fala
Umepona side effects zake?Nyeto ni kuangamiza nafsi yako mwenyew wabongo wanakaza fuvu hawawezi elewa me ni miongoni mwa wahanga ila namshukuru mungu nmeacha[emoji120]
Wenye pesa ndo wanaongoza kukosa nguvu za kiume kwa sababu ya magonjwa kama kisukari, BP, kula junks foods nkTafuta pesa mkuu mwanaume ukiwa na pesa huwezi kosa nguvu za kiume.
Nahisi hapa ndo mdau mmoja alipata na hoja ya kuwataja maModsπππWenye pesa ndo wanaongoza kukosa nguvu za kiume kwa sababu ya magonjwa kama kisukari, BP, kula junks foods nk
Side effects kupambana nazo ni rahisi kuliko tendo lenyewe la kuacha.Umepona side effects zake?
πππ du mkuu wewe ndo uko sirias na maisha, hakuna mda wa kupoteza, mambo ni mengi.Kuzungushwa na demu ndo ktu spendagi,,, mm nkimtongoza akakataa,, nkijitahid sana ntraudia mara moja afta that nafuta namba zake naingia manzese uwanja wa fisi, kimboka au pale riverside. But nyeto is a NO GO ZONE to me!!!
Ila wewe jamaa sio bure, kuna kitu nimehisi kwako, wewe ni victim wa Nyeto, ila kama shetani tu, anajua kashaloose, so unatafuta wa kuangamia nao.Kukataa tamaa na kwenda kununua malaya Ilo nalo ni tatizo, mwanaume huatakiwi ukate tamaa mapema ivo. Ni sawa na useme utatafuta ela mara ya kwanza ukikosa, utajarubu mara ya pili ukikosa unaenda kuibaaa.
Unajiona mjanja upigi nyeto afu unajiona mjana unanunua malaya kisa umeshindwa kutongoza. We ni fala
Iman yako unvoamini, kwan nishawai kukufuata nikakuambia upige nyeto, iweje leo ndo nionekane nakuhamasisha kupiga nyeto angali ulipiga nyeto zako kwa miaka 17 bila kunisikia mimiIla wewe jamaa sio bure, kuna kitu nimehisi kwako, wewe ni victim wa Nyeto, ila kama shetani tu, anajua kashaloose, so unatafuta wa kuangamia nao.
NB:Sijasema wewe ni shetani.
π No tyme to check tymeππππ du mkuu wewe ndo uko sirias na maisha, hakuna mda wa kupoteza, mambo ni mengi.
Haya kijana, yameisha.Iman yako unvoamini, kwan nishawai kukufuata nikakuambia upige nyeto, iweje leo ndo nionekane nakuhamasisha kupiga nyeto angali ulipiga nyeto zako kwa miaka 17 bila kunisikia mimi
Hao sio wenye pesa hao ni walafi unawazungumzia.Wenye pesa ndo wanaongoza kukosa nguvu za kiume kwa sababu ya magonjwa kama kisukari, BP, kula junks foods nk
Acha nyeto ndo 'samari' ya uzi.Uzi ni mrefu balaha mwenye summary anisaidie
Wazungu sio watu wazuri, ushoga pia wanasema ni kitu cha kawaida .Halafu sijui hii agenda ya nyeto kwanini inapigiwa promo sana kwamba haina madhara, huko Youtube ndo usiseme wazungu wameikazia sana kwamba haina madhara, nafkiri kuna mtu yuko behind this.
Acha uongo we mzee wewe[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]haaa haaa ..... nilidhani mwishoni utaweka namba ya simu.. kwamba wakitaka dawa wapige namba hiyo..
Mengi ya uliyosema ni ya kufikirika.
Ukweli ni kuwa NYETO haina madhara yoyote, haijawahi kuwa na madhara na Haitakuja kuwa na Madhara MILELE.
Kwanza NYETO ni tiba kwa wanao wahi kumaliza haraka.
ili uweze kufanya mazoezi ya Kegel kwa usahihi inabidi utumie nyeto kucheza mechi ya kirafiki.
Nchi kama Uiengereza waliweka kabisa kampeni ya kuhamasisha vijana wapige NYETO..
kushindwa kusimamisha ni saikolojia yako mwenyewe..
Kwa Tanzania TAFITI nyingi zime fanyika . na hata kufikia baadhinya tafiti kutoa hitimisho kuwa Somo la NYETO liingizwe kwenye mitaala .[emoji23][emoji23][emoji23]
bofya hapa kusoma Tafiti nyingine ya hapa hapa Bongo
Kwangu mimi nakataa NYETO kwa sababu ni DHAMBI Kwa Mujibu wa imani Katoliki. na si vinginevyo.
Ni saranist hao..wanataka wawapeleke watu kuzimu kisa nyeto.Halafu sijui hii agenda ya nyeto kwanini inapigiwa promo sana kwamba haina madhara, huko Youtube ndo usiseme wazungu wameikazia sana kwamba haina madhara, nafkiri kuna mtu yuko behind this.