Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Kuhusu saikolojia kuna vitu vingi tu vinasababishwa madhara ya kisaikolojia, watu waanachwa na wapenzi wao wanapata madhara ya saikolojia wengine had wanajiua, mahusiano yanapelekea watu wanaua, wanajinyonga, ayo madhara ya kisaikolojia yanayotakana na nyeto ni yapi. Ulishasikia mtu amejiua kisa nyeto? Lakn ni visa vingapi tunasikia watu wanauliwa kisa wivu wa mapenzi.

Na unaposema saikolojia useme ni saikolojia gani apo, maana saikolojia inakuwa affected na vitu vingi tu.

Endelea kufanya unachokiona bora na sahihi kwako.
 
Kuzungushwa na demu ndo ktu spendagi,,, mm nkimtongoza akakataa,, nkijitahid sana ntraudia mara moja afta that nafuta namba zake naingia manzese uwanja wa fisi, kimboka au pale riverside. But nyeto is a NO GO ZONE to me!!!
Kukataa tamaa na kwenda kununua malaya Ilo nalo ni tatizo, mwanaume huatakiwi ukate tamaa mapema ivo. Ni sawa na useme utatafuta ela mara ya kwanza ukikosa, utajarubu mara ya pili ukikosa unaenda kuibaaa.

Unajiona mjanja upigi nyeto afu unajiona mjana unanunua malaya kisa umeshindwa kutongoza. We ni fala
 
Kukataa tamaa na kwenda kununua malaya Ilo nalo ni tatizo, mwanaume huatakiwi ukate tamaa mapema ivo. Ni sawa na useme utatafuta ela mara ya kwanza ukikosa, utajarubu mara ya pili ukikosa unaenda kuibaaa.

Unajiona mjanja upigi nyeto afu unajiona mjana unanunua malaya kisa umeshindwa kutongoza. We ni fala
Sawa!!
 
Kuzungushwa na demu ndo ktu spendagi,,, mm nkimtongoza akakataa,, nkijitahid sana ntraudia mara moja afta that nafuta namba zake naingia manzese uwanja wa fisi, kimboka au pale riverside. But nyeto is a NO GO ZONE to me!!!
😆😆😆 du mkuu wewe ndo uko sirias na maisha, hakuna mda wa kupoteza, mambo ni mengi.
 
Kukataa tamaa na kwenda kununua malaya Ilo nalo ni tatizo, mwanaume huatakiwi ukate tamaa mapema ivo. Ni sawa na useme utatafuta ela mara ya kwanza ukikosa, utajarubu mara ya pili ukikosa unaenda kuibaaa.

Unajiona mjanja upigi nyeto afu unajiona mjana unanunua malaya kisa umeshindwa kutongoza. We ni fala
Ila wewe jamaa sio bure, kuna kitu nimehisi kwako, wewe ni victim wa Nyeto, ila kama shetani tu, anajua kashaloose, so unatafuta wa kuangamia nao.
NB:Sijasema wewe ni shetani.
 
Ila wewe jamaa sio bure, kuna kitu nimehisi kwako, wewe ni victim wa Nyeto, ila kama shetani tu, anajua kashaloose, so unatafuta wa kuangamia nao.
NB:Sijasema wewe ni shetani.
Iman yako unvoamini, kwan nishawai kukufuata nikakuambia upige nyeto, iweje leo ndo nionekane nakuhamasisha kupiga nyeto angali ulipiga nyeto zako kwa miaka 17 bila kunisikia mimi
 
Iman yako unvoamini, kwan nishawai kukufuata nikakuambia upige nyeto, iweje leo ndo nionekane nakuhamasisha kupiga nyeto angali ulipiga nyeto zako kwa miaka 17 bila kunisikia mimi
Haya kijana, yameisha.
 
Halafu sijui hii agenda ya nyeto kwanini inapigiwa promo sana kwamba haina madhara, huko Youtube ndo usiseme wazungu wameikazia sana kwamba haina madhara, nafkiri kuna mtu yuko behind this.
Wazungu sio watu wazuri, ushoga pia wanasema ni kitu cha kawaida .
 
haaa haaa ..... nilidhani mwishoni utaweka namba ya simu.. kwamba wakitaka dawa wapige namba hiyo..

Mengi ya uliyosema ni ya kufikirika.

Ukweli ni kuwa NYETO haina madhara yoyote, haijawahi kuwa na madhara na Haitakuja kuwa na Madhara MILELE.

Kwanza NYETO ni tiba kwa wanao wahi kumaliza haraka.

ili uweze kufanya mazoezi ya Kegel kwa usahihi inabidi utumie nyeto kucheza mechi ya kirafiki.

Nchi kama Uiengereza waliweka kabisa kampeni ya kuhamasisha vijana wapige NYETO..

kushindwa kusimamisha ni saikolojia yako mwenyewe..
Kwa Tanzania TAFITI nyingi zime fanyika . na hata kufikia baadhinya tafiti kutoa hitimisho kuwa Somo la NYETO liingizwe kwenye mitaala .[emoji23][emoji23][emoji23]

bofya hapa kusoma Tafiti nyingine ya hapa hapa Bongo

Kwangu mimi nakataa NYETO kwa sababu ni DHAMBI Kwa Mujibu wa imani Katoliki. na si vinginevyo.
Acha uongo we mzee wewe[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28]
 
Kupiga nyenga ni ishara ya udhaifu,kwanini uogope kutongoza watoto ukawala wala kama g nako???
 
Halafu sijui hii agenda ya nyeto kwanini inapigiwa promo sana kwamba haina madhara, huko Youtube ndo usiseme wazungu wameikazia sana kwamba haina madhara, nafkiri kuna mtu yuko behind this.
Ni saranist hao..wanataka wawapeleke watu kuzimu kisa nyeto.
 
Back
Top Bottom