RedPill Prophet
JF-Expert Member
- Apr 25, 2023
- 1,408
- 3,564
Kumbe we ni dume mwenzetu.Mimi nataka anipe tips za ulipuaji, nataka anipige pindi bhana 🤣🤣
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kumbe we ni dume mwenzetu.Mimi nataka anipe tips za ulipuaji, nataka anipige pindi bhana 🤣🤣
Me mdada nyokooo we 😂😂njoo nikupeleke, ila uwe rijali haswaaa😁😁😁
Sasa unataka ujifunze kukata mauno ama?Me mdada nyokooo we 😂😂
Nipe namba zake
Huyo hajanielewa nimemwambia aniconnect naye akanipe darasa, ili nimlipue babe wangu na mimi.😂😂😂Kumbe we ni dume mwenzetu.
Nijue aina ya urushaji mabomu 🤣🤣🤣Sasa unataka ujifunze kukata mauno ama?
Au unataka ujifunze vitu vya kumchanganya mumeo.
Kila la heri.Nijue aina ya urushaji mabomu 🤣🤣🤣
🤣🤣🤣Humu wengi washakubuhu, si wanawake, si wanaume, Ma mods ndio usiseme, Huu uzi wataufuta.
Alete namba sasa 😂😂Kila la heri.
Me mdada nyokooo we 😂😂
Nipe namba zake
Kama uko sirias au sio sirias saivi ni miaka mkuu, na yale maeneo mi hata siishi tena, sijui hata kama yupo au hayupo.Huyo hajanielewa nimemwambia aniconnect naye akanipe darasa, ili nimlipue babe wangu na mimi.😂😂😂
Yeye kakazana kuntisha anajua dume nitamuibia manzi wake
Mfate pm.Alete namba sasa 😂😂
Alete namba sasa 😂😂
Sema kuu umetoa nondo Kali sana.Kama uko sirias au sio sirias saivi ni miaka mkuu, na yale maeneo mi hata siishi tena, sijui hata kama yupo au hayupo.
pamoja mkuu, ukipewa bure toa bure.Sema kuu umetoa nondo Kali sana.
Appreciate Mkuu.
[emoji23][emoji23]ww ni dume banaHuyo hajanielewa nimemwambia aniconnect naye akanipe darasa, ili nimlipue babe wangu na mimi.[emoji23][emoji23][emoji23]
Yeye kakazana kuntisha anajua dume nitamuibia manzi wake
Msg tu mtu ataona haiendi, baadae utaaambiwa hii ni jf sio fb acha utoto [emoji23]Me mdada nyokooo we [emoji23][emoji23]
Nipe namba zake
Mmmh huyo mtu mbona kama namjua?Basi niconnect naye, kuna mtu nataka nimlipue mana ananichukulia powa powa!![emoji1787][emoji1787]
Nyeto ni tatizo la kisaikolojia, wewe unachotibu hapa ni erectile dysfunctionTafuta Asali mbichi lita 1.
Tafuta mdalasini wa unga walau kikombe kidogo cha chai kiwe nusu,
Then kwenye hio nusu ya kikombe cha chai ongeza na karafuu ya unga ili kujae.
Changanya na asali mpaka ichanganyike vizuri, utakua unalamba asubui, vijiko vidogo viwili kabla hujala chochote, na usiku lamba vivyo hivyo kabla ya kulala.
Wakuu ukifanya hivo ndani ya mwezi mmoja, niko hapa utaleta majibu.
Hii iwe chooni[emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe jamaa unatafuta ban mods wamefanyaje??!!
Countrywide hii nikachekee wapi?
Jamaa kaichana jf nzima na member wake 😂😂Hii iwe chooni[emoji23]