Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Me mdada nyokooo we 😂😂
Nipe namba zake

Huyo hajanielewa nimemwambia aniconnect naye akanipe darasa, ili nimlipue babe wangu na mimi.😂😂😂
Yeye kakazana kuntisha anajua dume nitamuibia manzi wake
Kama uko sirias au sio sirias saivi ni miaka mkuu, na yale maeneo mi hata siishi tena, sijui hata kama yupo au hayupo.
 
Tafuta Asali mbichi lita 1.
Tafuta mdalasini wa unga walau kikombe kidogo cha chai kiwe nusu,
Then kwenye hio nusu ya kikombe cha chai ongeza na karafuu ya unga ili kujae.
Changanya na asali mpaka ichanganyike vizuri, utakua unalamba asubui, vijiko vidogo viwili kabla hujala chochote, na usiku lamba vivyo hivyo kabla ya kulala.
Wakuu ukifanya hivo ndani ya mwezi mmoja, niko hapa utaleta majibu.
Nyeto ni tatizo la kisaikolojia, wewe unachotibu hapa ni erectile dysfunction
 
Back
Top Bottom