Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Nimeishia kwa halima mabomu ,,,

Nyeto watu wanapiga tokea ezni na ezni hayo marhara wee umetolea wapi

Huna hela na una stress nduo maana mzigo hausimami
 
_20230920_203113.JPG
 
Semaa humu ndani ukifata kila mtu anachosema unapotea mazima...

Nyeto ni mbaya Nyeto inaharibu future za watu... nyeto sio ya kuendekeza

Thamani ya Mwanaume ni nguvu zake mwenyewe

Tunasema wazee wa zaman walikuwa ngangali kwa sababu vitu vingine wao hawakugusa...

Bao moja la nyeto ni ni sawa na kukimbia Kilomita 60 nguvu unayopoteza
 
Madhala gani sasa? Mbona mi nina miaka 24 na hayo madhala sijawahi kuyaona? Hao wanaonywea wana shida binafsi.
 
Yani kwamba miaka 24 ndani ya nyeto au? Upewe uraisi wa chaputa kabisa.
Nipeni. Na siachi. Hii kitu tamu aise. Asikwambie mtu. Bora mke ndani alale mwenyewe au atafute wa kumshughulikia,kuacha hapana. Haiwezekani
 
Back
Top Bottom