Jinsi nilivyochomoka na kuikimbia nyeto milele

Nyeto tamu wewe Mimi nimeoa Ila sijaisalitiπŸ˜€πŸ˜€
 
Kudadeki zako. Sasa,kama wanahimizi watu kufanya mazoezi, kukimbia kilometa 1 ikawa imeshindikana kwa wengi, kwa nini ulaani wanaokimbia km 60? Hao si ndo wenye uwezo?
 
Kudadeki zako. Sasa,kama wanahimizi watu kufanya mazoezi, kukimbia kilometa 1 ikawa imeshindikana kwa wengi, kwa nini ulaani wanaokimbia km 60? Hao si ndo wenye uwezo?
Elewa comment nguvu unayopoteza ni kama kukimbia Kilomita 60
 
Aseee sijajua. Nikiachaga ni week tu... Nilishawahi kwenda kukanyaga mafuta kwa mwamposa lakini wapi [emoji22]πŸ₯²πŸ₯²πŸ₯²
Unaacha ili iweje? Jaribu angalau kila usiku. Ukiweza,asubuhi na jioni basi
 
Punyeto ina madhara makubwa ni sawa sawa na kuangalia porn. Wanasayansi walikuwa hawana ushahidi lakini kuanzia mwaka huu 2023. Wana ushahidi mahususi kuwa punyeto na video za ngono zina madhara kwenye afya ya akili ya binadamu.
 
...mbona wanawake hamkomenti... Au nyie mko safe...
 
Asante sana Mkuu, umemaliza kila kitu
 
Kwa jinsi namba ya waathirika wa ukimwi Uti na kisonono inavyozidi kupanda nyeto inaweza ikawa salama zaidi.
 
Du mkuu, umetisha, huyu malaika ni hatari sana asee, ila naona wewe hua unaenda likizo tu.
 
Ukizidiwa sana na huna namna ingine piga nyeto, kwanza haina madhara kiasi icho na ata kama yapo kwa mtu anaepiga bila kias ni kwamba madhara yake hayawezi fikia aya madhara yaliyompata uyu jamaa apa aliezidiwa akaamua kubaka mwanafunzi wa darasa la saba
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…