Von_Lufuta
JF-Expert Member
- Mar 19, 2023
- 1,528
- 3,641
Hata ukitaka zilizoganda utapatiwa mkuu... Tunachamba koo huku tunapata Mziki laini toka kwa Ferré GolaHahahahahaha! Riverside hapo nakuja chap ziwe za baridi kuliko hili baridi.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hata ukitaka zilizoganda utapatiwa mkuu... Tunachamba koo huku tunapata Mziki laini toka kwa Ferré GolaHahahahahaha! Riverside hapo nakuja chap ziwe za baridi kuliko hili baridi.
🤣🤣🤣🤣 km kawaida yenu kamati ya roho mbayaSidhani kama ulikuwa ni pisi kali kama wale jamaa rafiki zake na hendsamu walivyokuwa wanakujaza... Unaonekana wa kawaida tu ndio maana attempt zako zote ziligoma. Ungekuwa mzuri wala isingekuwa rahisi wanaume wote kuchomoa
Mamamzungu nipo Kwa ajili yako .
We Poor Brain kumbe na wewe ni Mshangazi na hausemi🤣🤣🤣Karibu shangazi
Sawa shangazi....Karibu shangazi
We Poor Brain kumbe na wewe ni Mshangazi na hausemi[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Kwa kweeli. 😅😅Mwanaume umtongoze akatae? Atakataa kukuoa siyo kula papuchi aisee
Sasa hapo unazingua... Kaniita shangazi sio Mshangazi.We Poor Brain kumbe na wewe ni Mshangazi na hausemi🤣🤣🤣
Sawa shangazi....
Hi story ankoli anaijua lakini ?
Aisee..Sisi ndio tupo na ndio mnatuoa mnatuweka ndani [emoji23][emoji23]
🤣🤣🤣 imeisha kakataliwa shogare yetuSawa je kuhusu mkataba au nimakubaliano ya Dp world ?
Aah! mambo yangu hayo ya RhumbaHata ukitaka zilizoganda utapatiwa mkuu... Tunachamba koo huku tunapata Mziki laini toka kwa Ferré Gola
🤣🤣 Kabisa Yaan🥴Kwa kweeli. 😅😅
Niliwahi kusema uwoga wako utakuponza sana....🤓🤓🤓🤓🤓Ingekuwa ni Jeshini tungesema you missed the target 🤪
Kutongoza kupitia rafiki huwa ni risk iwapo huyo rafiki naye ana interest.
Miaka ya zamani niliwahi mtumia Dada mmoja anitongozee mrembo mmoja, bahati mbaya jumbe alikuwa hafikishi kwa mlengwa hadi siku akaamua kufunguka kuwa she liked me instead 😅
Anyways, malizia story Mkuu
Kwanini unakubali kuitwa shangazi na sio Mshangazi? Au wewe sio bongeSasa hapo unazingua... Kaniita shangazi sio Mshangazi.
Jiheshimu wewe sheenzii zako 😬😬😬😬😬
Aisee..
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🙌Sasa hapo unazingua... Kaniita shangazi sio Mshangazi.
Jiheshimu wewe sheenzii zako 😬😬😬😬😬
Ahahahahahahah si yalishapita lakini...Hatuwaambiaa huu ujingaa unataka niachwe na uzee huu nitaolewa na nanii