mamamzungu
JF-Expert Member
- Nov 17, 2019
- 2,554
- 4,271
- Thread starter
-
- #121
Haha kwa mitongozo hiyo wakisikia rahaaa mwenyewe na kujiona ulikuwa bwege kipindi kile eh?[emoji12]
Una bahati haukukutana na kina mzabzab, rickboy na mzee wangu Bujibuji Simba Nyamaume [emoji38][emoji38]
πMungu aliniepusha na vijana wa hovyo aiseee hawakunikula nahisi waliniona mtoto wakanionea huruma[emoji1787]
Hahaha................kuna twisheni nitahudhuria kuninoa niache uzege πNyuki wa mashineni kabisa an
Dah unafeli wapi wewe
Hahahaha.............Hongera kukua, hebu nitupie hiyo mistari sasa nione kama nitakubali [emoji2957]
Kwa maelezo haya maku yako itakuwa imeenda kilomita za kutosha sana mpaka leo.
Hahaha.........naona unajaribu jaribu π€Oooh baby mwenzako nakuelewa
Ukinipa basi usiulize
Na Kama sijui ni na nini
Yaani mimi nilikuwa natuma dedicated songs sio maneno[emoji23]
Halafu huyo P siyo P MAWENGE kweli?
Chonga nae huyo..... Professor kabisaKwamba huyo uliyemtag ndiyo atakuwa Mwalimu wangu?π ππ
Hahaha.........naona unajaribu jaribu [emoji847]
Endelea huenda nikakubali hiyo mistari [emoji85]
Sio nilikimbia tatzo mambo mengi mda mchache ila nilielewa sana ππππ€π€π€ madamHalafu wewe ulikimbia course muone πππ
Umenikumbusha Enzi za secondary Kuna mkaka nilimuelewa vibaya sana...mdogo wake tulikuwa tunasoma naye huyo kaka alikuwa kidato cha mbele yetu
Basi mdogo wake wa kiume alikuwa best yangu...ikabidi nimwambie nampenda kaka yako akanambia andika barua nitampelekea....basi bidada nikajipinda nikaandika barua nikapachika sticker za makopa na dedication kibao za kina Celine dion [emoji6][emoji6] kaka akapelekewa bwana....akarudisha majibu kumbe na yeye alinielewa tukaanza kudate [emoji2960]
Mdogo mtu akaanza wivu siku ya siku akaiiba ile barua akaisambaza darasani jamani niliaibika mie [emoji24][emoji24][emoji24] kidogo nitoroke shuleee
Ila bahati nzuri kakamtu alinicover sana mdogomtu akaaibika[emoji41]
Vizuri kama ulielewa,,, vipi uliyafanyia kazi au ndo ulinywea ujiππSio nilikimbia tatzo mambo mengi mda mchache ila nilielewa sana ππππ€π€π€ madam
Mi mbona mchovu tu aiseeHaha kwa mitongozo hiyo wakisikia rahaaa mwenyewe na kujiona ulikuwa bwege kipindi kile eh?π
Una bahati haukukutana na kina mzabzab, rickboy na mzee wangu Bujibuji Simba Nyamaume ππ