Jinsi nilivyokataliwa na hawa vijana

I'd ni mama mzungu ila kiuhalisia unaweza kuta mleta mada ni kijana aliyepigwa na maisha hadi kunguru wanamwogopa
 
Kwa maelezo haya maku yako itakuwa imeenda kilomita za kutosha sana mpaka leo.
 
Hahahaha.............Hongera kukua, hebu nitupie hiyo mistari sasa nione kama nitakubali [emoji2957]

Oooh baby mwenzako nakuelewa
Ukinipa basi usiulize
Na Kama sijui ni na nini

Yaani mimi nilikuwa natuma dedicated songs sio maneno[emoji23]
 
Oooh baby mwenzako nakuelewa
Ukinipa basi usiulize
Na Kama sijui ni na nini

Yaani mimi nilikuwa natuma dedicated songs sio maneno[emoji23]
Hahaha.........naona unajaribu jaribu πŸ€—

Endelea huenda nikakubali hiyo mistari πŸ™ˆ
 

Dogo alikuwa anakutaka yeye [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Hv wimbo wa maua sama unaosema ulitoka lini? Mbona kama sio mda mrefu sana 😁

Ila dada we nae mpaka unaanza kujilipua ww maanake we ni WA KAWAIDA maana ktk hali ya kawaida kuna demu akikupa signal tu unapoteana unachanganyikiwa kbs lkn ww unampa signal mwanaume na bado anapangua 🀣🀣🀣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…