Madihani
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 6,154
- 7,083
Hapo sawa ungetaja vijiji vya kwetu ningeshangaa kwasababu hakuna maduka ya dawa, watu wanategemea vituo vya afya zaidi kupata huduma.
Mimi nyumbani ni Kipagalo(Makete).
Mimi nyumbani ni Kipagalo(Makete).
Wangingombe, Kijiji ni malangali