Jinsi nilivyolazwa nje na wachawi mkoani Njombe

Jinsi nilivyolazwa nje na wachawi mkoani Njombe

Unatumia kilevi gani? Ulikuwa umelala,wezi wamekuibia hela,usingizi wako ulikuwa mzito,wamekubeba,wamekupeleka nje. Wastaarabu,wamekuvalisha nguo. Wamerudi wamefunga mlango.
Very simple,my dear Watson.
Wakaweka na panya kitandani panya wakamsubir hadi arudi ndio wasepe darini si eti eeeeeh!!!!?[emoji23]
 
Wangingombe, Kijiji ni malangali
Nilipata kazi ludewa nikawa naishi nyumba moja na mzee mmoja anaitwa mtweve wote tukiwa wageni, siku ya kwanza nilikabwa usiku nikahisi nililala vibaya au ni majinamizi ndotoni, ikawa ni hivyo kukabwa daily yaani unakabwa unapambana ndotoni ukishtuka unatweta vibaya niliogopa kumueleza mzee mtweve kwanza nilikua sijamzoea pili ni MTU wa dini sikutaka aniwekee doubt ktk mambo ya Giza, ilifika Siku yake alinyooshwa vilivyo,asubuhi anagonga mlango wangu ananiambia usiku nimekabwa mda mrefu nimekuita sana uje unisaidie ina maana hukunisikia? Nikamwambia sikusikia ndipo namm nikamsimulia ninavyokabwa haipiti Sikh mbili, tulimuelezea boss wetu yy badala ya kuwaona wazee akaenda kulizungumzia kanisani jumapili baada ya kuomba kutoa neno, kilichofuatia usiku ule anasema alikabwa hadi asubuhi na anasema alishangaa kujikuta katolewa chumbani hadi sebuleni ndipo alipoamini uchawi upo, pia njombe uchawi wa mapembe kuruka kama ungo ni mwingi sana, wanawake wa njombe ni wafupiii mm mrefu walikua wananikataa wanasema nitasogeza kizazi but all in all wabena, wapangwa ni wakaribu sana nilikua naletewa debe za viazi mviringo, mikungu ya ndizi, mayai yamejaa sadolin , kuku elf tatu tu, dah nilifutuka vibaya, mashavu yaliumuka hayoo, nyama ya ktimoto mbuzi aisee, ukikuta wazee wanakunywa ugimbi au ulanzi ni lazima uende upige pafu unachotea kopo la Lita mbili umalize usipokunywa unaonekana unaleta nyodo kisa unatokea town lazima ukabwe usiku, Kuna siku walinipa mkangafu umekaa wiki mchachu balaa nikajifanya ngoje niwaridhishe wazee niliubugia nikamaliza nikaongeza saa kurudi home nilipotea nikatokezea kijiji kingine ndo nakutana na watu wanaotoka town ndo kunirudisha, njombe beer yao ni Kilimanjaro na safari,nilipofika bar naagiza beer ikachukuliwa tu kwenye shelf nafunguliwa nikamwambia mhudumu sinywi beer ya moto naomba ya baridi akaniuliza we ni mgeni? Nikamuuliza ugeni wangu unahusiana vp na beer ninayohitaji? akaniambia iguse hii beer dah beer ya bariiiid akacheka anasema huku njombe hakuna haja ya fridge, nilifika stand nilikua nimevaa shati yaani ilibidi nikatafute koti,sweta,jacket,na mzula manake baridi inapuliza hadi mfupa unauma, hyo ilikua mwezi wa tano hivi inaenda wa sita nimeita boda nikamwambia nipeleke lodge isiyonakelele wala Fuji au bar, nikapelekwa lodge moja hivi inaitwa kuokoka ni lazima kuchek mlangoni Kuna bango kubwa hauruhusiwi kuingia na mwanamke asiye kua mkewako, hauruhusiwi kuingia na kilevi chochote, mwisho wa kuingia ni SAA tano ukitoka marufuku kumgongea muhudumu dah nilichoka sana but maambukizi Kule yako juu mno, pia pesa kwenye kilimo na miti, mbao ni nyingi sana Kuna wakulima matajiri sana ukienda ngaranga,Amani mavanga, n.k klia mkulima ana canter,Noah,tractor, Kyle Noah ni za kupelekea mbolea shambani, ninapamiss sana njombe kwa kweli.
 
Shalom wapendwa,

Leo nimekumbuka kisa hiki, kilichonitokea mwenyewe nikiwa katika harakati Mkoa wa Njombe. Narudia tena hii sio stori ya kufikirika imenitokea mwenyewe.

Uchawi hauna faida yoyote ni ujinga uliokomaa, ni utumwa. Walio wachawi wanamani kutoka ila there is no way out there. Ninamiliki maduka ya dawa za binadamu yaliyopo maeneo ya vijijini huko, kazi yangu hua ni kuzunguka na kutafuta watu wa kuuza tu na kufunga mahesabu mwisho wa mwezi.

Siku Moja kuna dada wa ADDO aliyekuwa akiuza moja kati ya maduka alipata dharura na kwakua nilikuwa na nafasi nilimruhusu aende nami nikaenda kumpokea kuuza dawa Ili clients wasikose huduma mpaka atakaporejea. Sasa hapo ndipo tatizo lilipoanzia.

Hiyo siku nimeamka vizuri kabisa nikashinda vema jioni imefika nikafunga hesabu na kulikua na pesa kwenye draw nilizibeba na kwenda nazo nyumbani kwa sababu za kiusalama, nikaacha kiasi kadhaa pia kwenye draw. Baada ya kufikia nyumbani nikaweka pesa vizuri nikawasha data niperuzi kidogo Kisha nikalala.

Naamka asubuhi nimelala nje😂😂😂 kwenye shimo Moja lilikua jirani na nyumba. Kitu kilichonishangaza nililala na boksa nikaamka nje nikiwa na nguo zangu nilizovaa jana😨

Kitendo cha kutaka kurudi ndani nakuta mlango umefungwa kwa ndani, nikawa najiuliza nilitokea wapi? Nikajaribu kupush mlango ukafunguka kuingia ndani nakuta panya sita kitandani wametulia wananiangalia tu😂😂😂 nikarusha kiatu wakapanda darini na kupotea ghafla kukawa kimya.

Impact za tukio lile, pesa nilizorudi nazo jana hakukua na hata kumi iliyokuepo😬 (zilipotea)

Sikuweza kukaa tena kule, nikafunga duka mpaka yule dada aliporudi kusongesa gurudumu. Kwa Sasa nikienda huwa silali kabisa hata iwe late kiasi gani nitarudi mjini.

Kama hujapita Njombe hujaona uchawi bado.
Mwongo mkubwa wewe. Ulitumia fedha za mauzo ukatunga huu ujinga na wakakuamini!
 
OK. Umemaliza? Una kisa kingine? Leta vitu jombii.


uhalisia ni kuwa hukuwa umeingia ndani. Ulilewa sana. Ukawa hujielewi ukawaza umeenda ndani hukwenda ndani. Na pesa ulizochukua Dukani kwako ukaendea Bar. Ukapiga sana maji. Ukarudi na Mang'amung'amu. Ukalala nje. Asubuhi kuamka ukaendelea kufikiria ulilazwa nje na wachawi. Kumbe mchawi wewe mwenyewe tu. Pombe siyo chai.
Kisa kama hiki kiliwahi kutokea wilaya ya newala mpaka mkuu wa wilaya akaja kukaa na wazee wa pale ili yaishe
 
.
download.jpg
 
First lady wa awamu ya .....
Kijijini kwetu hukoo Lindi kaenda msibani na mabodigadi wake Nini na Nini mke wa presidaa bwana analala ndaniii,kitandani nyie nyie nyieeee....[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]wamwera nyokooo sanaaaa....asubuhi kajikuta njee Mabodigadi wako Mlangoni wanalinda empty room...
Ilikua balaaaa kiranga komoo!!!
Kijiji gani mkuu lindi yote na ijua...hii story sijaisikia na nipo karibu naye sana unayemsema.ila wamwera balaa sulote kwao....
 
Nilipata kazi ludewa nikawa naishi nyumba moja na mzee mmoja anaitwa mtweve wote tukiwa wageni, siku ya kwanza nilikabwa usiku nikahisi nililala vibaya au ni majinamizi ndotoni, ikawa ni hivyo kukabwa daily yaani unakabwa unapambana ndotoni ukishtuka unatweta vibaya niliogopa kumueleza mzee mtweve kwanza nilikua sijamzoea pili ni MTU wa dini sikutaka aniwekee doubt ktk mambo ya Giza, ilifika Siku yake alinyooshwa vilivyo,asubuhi anagonga mlango wangu ananiambia usiku nimekabwa mda mrefu nimekuita sana uje unisaidie ina maana hukunisikia? Nikamwambia sikusikia ndipo namm nikamsimulia ninavyokabwa haipiti Sikh mbili, tulimuelezea boss wetu yy badala ya kuwaona wazee akaenda kulizungumzia kanisani jumapili baada ya kuomba kutoa neno, kilichofuatia usiku ule anasema alikabwa hadi asubuhi na anasema alishangaa kujikuta katolewa chumbani hadi sebuleni ndipo alipoamini uchawi upo, pia njombe uchawi wa mapembe kuruka kama ungo ni mwingi sana, wanawake wa njombe ni wafupiii mm mrefu walikua wananikataa wanasema nitasogeza kizazi but all in all wabena, wapangwa ni wakaribu sana nilikua naletewa debe za viazi mviringo, mikungu ya ndizi, mayai yamejaa sadolin , kuku elf tatu tu, dah nilifutuka vibaya, mashavu yaliumuka hayoo, nyama ya ktimoto mbuzi aisee, ukikuta wazee wanakunywa ugimbi au ulanzi ni lazima uende upige pafu unachotea kopo la Lita mbili umalize usipokunywa unaonekana unaleta nyodo kisa unatokea town lazima ukabwe usiku, Kuna siku walinipa mkangafu umekaa wiki mchachu balaa nikajifanya ngoje niwaridhishe wazee niliubugia nikamaliza nikaongeza saa kurudi home nilipotea nikatokezea kijiji kingine ndo nakutana na watu wanaotoka town ndo kunirudisha, njombe beer yao ni Kilimanjaro na safari,nilipofika bar naagiza beer ikachukuliwa tu kwenye shelf nafunguliwa nikamwambia mhudumu sinywi beer ya moto naomba ya baridi akaniuliza we ni mgeni? Nikamuuliza ugeni wangu unahusiana vp na beer ninayohitaji? akaniambia iguse hii beer dah beer ya bariiiid akacheka anasema huku njombe hakuna haja ya fridge, nilifika stand nilikua nimevaa shati yaani ilibidi nikatafute koti,sweta,jacket,na mzula manake baridi inapuliza hadi mfupa unauma, hyo ilikua mwezi wa tano hivi inaenda wa sita nimeita boda nikamwambia nipeleke lodge isiyonakelele wala Fuji au bar, nikapelekwa lodge moja hivi inaitwa kuokoka ni lazima kuchek mlangoni Kuna bango kubwa hauruhusiwi kuingia na mwanamke asiye kua mkewako, hauruhusiwi kuingia na kilevi chochote, mwisho wa kuingia ni SAA tano ukitoka marufuku kumgongea muhudumu dah nilichoka sana but maambukizi Kule yako juu mno, pia pesa kwenye kilimo na miti, mbao ni nyingi sana Kuna wakulima matajiri sana ukienda ngaranga,Amani mavanga, n.k klia mkulima ana canter,Noah,tractor, Kyle Noah ni za kupelekea mbolea shambani, ninapamiss sana njombe kwa kweli.
Unakataliwa na wanawake wa Njombe? Kweli? Jitafakali aisee
 
Shalom wapendwa,

Leo nimekumbuka kisa hiki, kilichonitokea mwenyewe nikiwa katika harakati Mkoa wa Njombe. Narudia tena hii sio stori ya kufikirika imenitokea mwenyewe.

Uchawi hauna faida yoyote ni ujinga uliokomaa, ni utumwa. Walio wachawi wanamani kutoka ila there is no way out there. Ninamiliki maduka ya dawa za binadamu yaliyopo maeneo ya vijijini huko, kazi yangu hua ni kuzunguka na kutafuta watu wa kuuza tu na kufunga mahesabu mwisho wa mwezi.

Siku Moja kuna dada wa ADDO aliyekuwa akiuza moja kati ya maduka alipata dharura na kwakua nilikuwa na nafasi nilimruhusu aende nami nikaenda kumpokea kuuza dawa Ili clients wasikose huduma mpaka atakaporejea. Sasa hapo ndipo tatizo lilipoanzia.

Hiyo siku nimeamka vizuri kabisa nikashinda vema jioni imefika nikafunga hesabu na kulikua na pesa kwenye draw nilizibeba na kwenda nazo nyumbani kwa sababu za kiusalama, nikaacha kiasi kadhaa pia kwenye draw. Baada ya kufikia nyumbani nikaweka pesa vizuri nikawasha data niperuzi kidogo Kisha nikalala.

Naamka asubuhi nimelala nje😂😂😂 kwenye shimo Moja lilikua jirani na nyumba. Kitu kilichonishangaza nililala na boksa nikaamka nje nikiwa na nguo zangu nilizovaa jana😨

Kitendo cha kutaka kurudi ndani nakuta mlango umefungwa kwa ndani, nikawa najiuliza nilitokea wapi? Nikajaribu kupush mlango ukafunguka kuingia ndani nakuta panya sita kitandani wametulia wananiangalia tu😂😂😂 nikarusha kiatu wakapanda darini na kupotea ghafla kukawa kimya.

Impact za tukio lile, pesa nilizorudi nazo jana hakukua na hata kumi iliyokuepo😬 (zilipotea)

Sikuweza kukaa tena kule, nikafunga duka mpaka yule dada aliporudi kusongesa gurudumu. Kwa Sasa nikienda huwa silali kabisa hata iwe late kiasi gani nitarudi mjini.

Kama hujapita Njombe hujaona uchawi bado.
Kuna rafiki yangu nilisoma nae on level alikuwa anafanya Kazi huko akafungua duka la madawa kubwa... Alikutana na mambo kama YAKO aiseh... Yeye akakaza... Kuna mzee mmoja Fundi baiskeli niwenyeji huko... Akamwambia kinajana utarudu kwenu ukiwa umevaa suruali shati na viatu.. hivyo nakuibia siri hiyo, kusanya vitu vyako tembea mapema... Mzee hakupenda kijana mchapakazi ateseke akamwambia ukweli Ili akimbie hatari... Jamaa akakaza shingo bwana.. baada ya miezi kadhaa jamaa alirudi kwao KWa masada wa magari ya mizigo tena alipitia mtwara hadi dar,, dar tena akaomba msaada hadi mkoani kwao akiwa hana hata kitu zaidi ya nguo alizo vaa na viatu...

Cha kusikitisha zaidi siku zilivyo kuwa zina zidi kwenda jamaa akawa kama vile anaishi katika mateso sana... Haikupita mwezi toka afike kwao.. daaah!! Jamaa akajinyonga aiseh!! Daah!! Ili niumiza sana...

Wachina wanafanya uchawi KWa ajili ya maendeleo bongo kurudishana na nyuma... Daah!
 
Haya mambo nadhani huwa yanaaminika kwa yaliempata tu, sie wasimuliwaji tunajua chai....
1: bro wangu alipangiwa kazi huko Mwanza wilaya ya Magu ndani ndani huko, amekaa kidogo sijui aliwakosea nini wanakijiji siku moja anasema kalala ndani fresh asubuhi kajikuta nje ilibidi ahame.
2: binamu yangu tukiwa msibani kijijini usiku kalala ndani kesho yake anasimulia alijikuta nje kalala pembeni ya kaburi (pale pale nyumbani kuna makaburi ya wanafamilia)

Tunaosimuliwa ni ngumu kuamini, labda na sie siku moja tulazwe nje.

Na hao nduguzo walivalishwa nguo au mali nje nje?
 
Ujinga na umaskini unafanya mtu aamini story za kijinga jinga kama hizi.
 
Shalom wapendwa,

Leo nimekumbuka kisa hiki, kilichonitokea mwenyewe nikiwa katika harakati Mkoa wa Njombe. Narudia tena hii sio stori ya kufikirika imenitokea mwenyewe.

Uchawi hauna faida yoyote ni ujinga uliokomaa, ni utumwa. Walio wachawi wanamani kutoka ila there is no way out there. Ninamiliki maduka ya dawa za binadamu yaliyopo maeneo ya vijijini huko, kazi yangu hua ni kuzunguka na kutafuta watu wa kuuza tu na kufunga mahesabu mwisho wa mwezi.

Siku Moja kuna dada wa ADDO aliyekuwa akiuza moja kati ya maduka alipata dharura na kwakua nilikuwa na nafasi nilimruhusu aende nami nikaenda kumpokea kuuza dawa Ili clients wasikose huduma mpaka atakaporejea. Sasa hapo ndipo tatizo lilipoanzia.

Hiyo siku nimeamka vizuri kabisa nikashinda vema jioni imefika nikafunga hesabu na kulikua na pesa kwenye draw nilizibeba na kwenda nazo nyumbani kwa sababu za kiusalama, nikaacha kiasi kadhaa pia kwenye draw. Baada ya kufikia nyumbani nikaweka pesa vizuri nikawasha data niperuzi kidogo Kisha nikalala.

Naamka asubuhi nimelala nje😂😂😂 kwenye shimo Moja lilikua jirani na nyumba. Kitu kilichonishangaza nililala na boksa nikaamka nje nikiwa na nguo zangu nilizovaa jana😨

Kitendo cha kutaka kurudi ndani nakuta mlango umefungwa kwa ndani, nikawa najiuliza nilitokea wapi? Nikajaribu kupush mlango ukafunguka kuingia ndani nakuta panya sita kitandani wametulia wananiangalia tu😂😂😂 nikarusha kiatu wakapanda darini na kupotea ghafla kukawa kimya.

Impact za tukio lile, pesa nilizorudi nazo jana hakukua na hata kumi iliyokuepo😬 (zilipotea)

Sikuweza kukaa tena kule, nikafunga duka mpaka yule dada aliporudi kusongesa gurudumu. Kwa Sasa nikienda huwa silali kabisa hata iwe late kiasi gani nitarudi mjini.

Kama hujapita Njombe hujaona uchawi bado.
Idundilanga hiyo au Chaugingi 😄😄
 
Back
Top Bottom