Jinsi nilivyolazwa nje na wachawi mkoani Njombe

Muulize Ally happi alichofanyiwa na wazee wa Iringa atakusimulia.
 
Hapo sawa ungetaja vijiji vya kwetu ningeshangaa kwasababu hakuna maduka ya dawa, watu wanategemea vituo vya afya zaidi kupata huduma.
Mimi nyumbani ni Kipagalo(Makete).
Huko pia wako vema Kwa mitishamba . Nimekaa kidogo makete mjini isapulano bulongwa ujuni😃😃 na sehemu kadha wa kadha
 
Wee uliwezaje VIP kwenda kwa wakinga mkuu Wala hukusema kuwa nyumba Ni ya Nani ulifikia je Ni nyumba ya mfanyakazi wako ama yako

Taja kijij ulivhokwenda mm naifahamu njombe yote
Unakujua malangali mkuu? Wilaya ya wangingombe
Nyumba ni ya kupanga ila nataka jamaa aniuzie yote maana ni vyumba viwili na sebule. Anasimamia nyumba hizo ni mwalimu mmoja ivi
 
Njoo mtwara nikuzindike yasikupate na wewe[emoji38][emoji38]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…