Jinsi nilivyonusurika kifo kwa kipigo baada ya kujitambulisha kazi yangu

Jinsi nilivyonusurika kifo kwa kipigo baada ya kujitambulisha kazi yangu

Hii ni Chai

Napale ulikuwa sio wewe unaongea ilikuwa ni pombe na mpaka sasa unavyo andika umelewa
 
lazima kutakuwa na sababu, umeamua usiiseme kwa makusudi.

ukute uliwatea zile itikadi zenu za kikuda mnazowafanyia raia mitaani, ndio maana watoto wa kihuni wa "vingweta" wakakukalisha.

una bahati sana, vinginevyo wangekuuwa bwege wewe.
 
JamiiForums444699439.jpg


Sent from my CPH1923 using JamiiForums mobile app

Mbongo tangu lini unamuomba akuelekeze njia akakuuliza kazi unayofanya???.. At least ungeniambia wazulu ambao ukimuuliza akuelekeze mahali Kwa kiingereza anaweza kukuchunia na kukuona limbukeni wa lugha ya watu weupe
 
Typical reaction ya wananchi dhidi ya Hawa maharamia policcm.
Bahati yako Vingunguti sio eneo lenye wafuasi wengi wa Chadema.
 
Chai ya saa Saba mchana, du Asee imewekwa chumvi.
 
Ilikuwa siku ya jumamosi tulivu ambapo jiji la Dar es Salaam na Tanzania nzima kwa ujumla macho na akili zao zilikuwa zimeelekezwa wilayani Temeke kushuhudia mtanange wa watani wa jadi, Simba na Yanga wakichiana kugombea ngao ya Jamii.

Mimi na rafiki yangu Dr. Gill Biz na mkewe Hawa, tulikuwa pande za Buguruni tukiburudika na vinywaji laini anga hizo.

Kuna jamaa yetu mwingine Dr. Ally Na, yeye alikuwa Vinginguti, akatupigia simu kuwa amenunua nusu mbuzi hivyo tukamchakate na kumfanya kitoweo.

Basi tukaenda huko kujumuika. Tulipofika huko Mambo yalikuwa mazuri kwelikweli, chupa za kijani na za kahawia zilikuwa zimetamaliki zikitungoja.

Tukala, tukanywa, na tukahamia kwenye bar nyingine huko huko.

Njia ya kwenda huko ilikuwa imejaa vichochoro na kona nyingi, na baada ya dakika 7 tukafika.

Tukakaa huko hadi mida ya saa nne usiku, na tukaamua turudi zetu Makongo Juu tunakoishi.

Tukiwa tunachoronga vichochoro, kwa bahati mbaya tukapotea na tukajikuta tuko katikati ya nyumba ya watu na kuna wanawake wanne wakisukana.

Basi tukawasalimia na kuwaomba msamaha na kuwaomba watuelekeze njia ya kutokea barabara kubwa .

Mmoja kati ya wale wanawake akasema kina baba kwani nyie mnafanya kazi gani?

Wenzangu wakajibu kwamba ni madaktari. Wakaniuliza wee baba Mbona hujitambulishi?

Nikajibu Mimi ni Askari polisi hapo Buguruni.

Basi baada ya hapo, mmoja wa wamama wale akasema "Hapa ni mbali na barabara kubwa na vichochoro ni vingi mtapotea, ngoja nikuitieni kijana awaongozeni njia"

Basi yule mama akatoka na akaenda huko nyuma.

Baada ya dakika tano akarudi yule mama akiwa ameongozana na vijana watatu wenye magongo, na mmoja wao akasema "Yuko wapi huyo polisi?"

Wakanaanza kunipiga, wakaongezeka na wengine wengi kama kumi na nane au ishirini, nikapigwa kikamilifu.

Jamaa zangu wakajaribu kujisaidia na kuwasihi wapigaji wasinipige, lakini haikusaidia kitu. Nilipigwa nikapigika, nikaiva.

Nilipigwa Sana Hadi nikapoteza fahamu. Nikazinduka baada ya siku tatu nikiwa nimelazwa hospitali ya Amana.

Namshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuninusuru na kifo.

Wito wangu kwa Askari Polisi, mkiwa uswahilini hakikisheni mnaficha utambulisho wenu kwa ajili ya usalama wenu.
Ungepiga Risasi hewani
 
Ilikuwa siku ya jumamosi tulivu ambapo jiji la Dar es Salaam na Tanzania nzima kwa ujumla macho na akili zao zilikuwa zimeelekezwa wilayani Temeke kushuhudia mtanange wa watani wa jadi, Simba na Yanga wakichiana kugombea ngao ya Jamii.

Mimi na rafiki yangu Dr. Gill Biz na mkewe Hawa, tulikuwa pande za Buguruni tukiburudika na vinywaji laini anga hizo.

Kuna jamaa yetu mwingine Dr. Ally Na, yeye alikuwa Vinginguti, akatupigia simu kuwa amenunua nusu mbuzi hivyo tukamchakate na kumfanya kitoweo.

Basi tukaenda huko kujumuika. Tulipofika huko Mambo yalikuwa mazuri kwelikweli, chupa za kijani na za kahawia zilikuwa zimetamaliki zikitungoja.

Tukala, tukanywa, na tukahamia kwenye bar nyingine huko huko.

Njia ya kwenda huko ilikuwa imejaa vichochoro na kona nyingi, na baada ya dakika 7 tukafika.

Tukakaa huko hadi mida ya saa nne usiku, na tukaamua turudi zetu Makongo Juu tunakoishi.

Tukiwa tunachoronga vichochoro, kwa bahati mbaya tukapotea na tukajikuta tuko katikati ya nyumba ya watu na kuna wanawake wanne wakisukana.

Basi tukawasalimia na kuwaomba msamaha na kuwaomba watuelekeze njia ya kutokea barabara kubwa .

Mmoja kati ya wale wanawake akasema kina baba kwani nyie mnafanya kazi gani?

Wenzangu wakajibu kwamba ni madaktari. Wakaniuliza wee baba Mbona hujitambulishi?

Nikajibu Mimi ni Askari polisi hapo Buguruni.

Basi baada ya hapo, mmoja wa wamama wale akasema "Hapa ni mbali na barabara kubwa na vichochoro ni vingi mtapotea, ngoja nikuitieni kijana awaongozeni njia"

Basi yule mama akatoka na akaenda huko nyuma.

Baada ya dakika tano akarudi yule mama akiwa ameongozana na vijana watatu wenye magongo, na mmoja wao akasema "Yuko wapi huyo polisi?"

Wakanaanza kunipiga, wakaongezeka na wengine wengi kama kumi na nane au ishirini, nikapigwa kikamilifu.

Jamaa zangu wakajaribu kujisaidia na kuwasihi wapigaji wasinipige, lakini haikusaidia kitu. Nilipigwa nikapigika, nikaiva.

Nilipigwa Sana Hadi nikapoteza fahamu. Nikazinduka baada ya siku tatu nikiwa nimelazwa hospitali ya Amana.

Namshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuninusuru na kifo.

Wito wangu kwa Askari Polisi, mkiwa uswahilini hakikisheni mnaficha utambulisho wenu kwa ajili ya usalama wenu.
//mkiwa uswahilini hakikisheni mnaficha utambulisho wenu kwa ajili ya usalama wenu// ------------ mkuu, yaani hiyo ndiyo conclusion ya utafiti? Unadhani kweli walikupiga kwa sababu ya kufichua utambulisho? 🤔🤔🤔
Askari walipoenda kwa Yohana wakamwuliza, Tufanyeje?
Aliwaambia, Msidhulumu mtu, wala msishitaki kwa uongo; tena mtoshewe na mshahara wenu.
 
Ilikuwa siku ya jumamosi tulivu ambapo jiji la Dar es Salaam na Tanzania nzima kwa ujumla macho na akili zao zilikuwa zimeelekezwa wilayani Temeke kushuhudia mtanange wa watani wa jadi, Simba na Yanga wakichiana kugombea ngao ya Jamii.

Mimi na rafiki yangu Dr. Gill Biz na mkewe Hawa, tulikuwa pande za Buguruni tukiburudika na vinywaji laini anga hizo.

Kuna jamaa yetu mwingine Dr. Ally Na, yeye alikuwa Vinginguti, akatupigia simu kuwa amenunua nusu mbuzi hivyo tukamchakate na kumfanya kitoweo.

Basi tukaenda huko kujumuika. Tulipofika huko Mambo yalikuwa mazuri kwelikweli, chupa za kijani na za kahawia zilikuwa zimetamaliki zikitungoja.

Tukala, tukanywa, na tukahamia kwenye bar nyingine huko huko.

Njia ya kwenda huko ilikuwa imejaa vichochoro na kona nyingi, na baada ya dakika 7 tukafika.

Tukakaa huko hadi mida ya saa nne usiku, na tukaamua turudi zetu Makongo Juu tunakoishi.

Tukiwa tunachoronga vichochoro, kwa bahati mbaya tukapotea na tukajikuta tuko katikati ya nyumba ya watu na kuna wanawake wanne wakisukana.

Basi tukawasalimia na kuwaomba msamaha na kuwaomba watuelekeze njia ya kutokea barabara kubwa .

Mmoja kati ya wale wanawake akasema kina baba kwani nyie mnafanya kazi gani?

Wenzangu wakajibu kwamba ni madaktari. Wakaniuliza wee baba Mbona hujitambulishi?

Nikajibu Mimi ni Askari polisi hapo Buguruni.

Basi baada ya hapo, mmoja wa wamama wale akasema "Hapa ni mbali na barabara kubwa na vichochoro ni vingi mtapotea, ngoja nikuitieni kijana awaongozeni njia"

Basi yule mama akatoka na akaenda huko nyuma.

Baada ya dakika tano akarudi yule mama akiwa ameongozana na vijana watatu wenye magongo, na mmoja wao akasema "Yuko wapi huyo polisi?"

Wakanaanza kunipiga, wakaongezeka na wengine wengi kama kumi na nane au ishirini, nikapigwa kikamilifu.

Jamaa zangu wakajaribu kujisaidia na kuwasihi wapigaji wasinipige, lakini haikusaidia kitu. Nilipigwa nikapigika, nikaiva.

Nilipigwa Sana Hadi nikapoteza fahamu. Nikazinduka baada ya siku tatu nikiwa nimelazwa hospitali ya Amana.

Namshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuninusuru na kifo.

Wito wangu kwa Askari Polisi, mkiwa uswahilini hakikisheni mnaficha utambulisho wenu kwa ajili ya usalama wenu.
Mkuu Kiranja kumbe wewe ni njagu !?
 
Ilikuwa siku ya jumamosi tulivu ambapo jiji la Dar es Salaam na Tanzania nzima kwa ujumla macho na akili zao zilikuwa zimeelekezwa wilayani Temeke kushuhudia mtanange wa watani wa jadi, Simba na Yanga wakichiana kugombea ngao ya Jamii.

Mimi na rafiki yangu Dr. Gill Biz na mkewe Hawa, tulikuwa pande za Buguruni tukiburudika na vinywaji laini anga hizo.

Kuna jamaa yetu mwingine Dr. Ally Na, yeye alikuwa Vinginguti, akatupigia simu kuwa amenunua nusu mbuzi hivyo tukamchakate na kumfanya kitoweo.

Basi tukaenda huko kujumuika. Tulipofika huko Mambo yalikuwa mazuri kwelikweli, chupa za kijani na za kahawia zilikuwa zimetamaliki zikitungoja.

Tukala, tukanywa, na tukahamia kwenye bar nyingine huko huko.

Njia ya kwenda huko ilikuwa imejaa vichochoro na kona nyingi, na baada ya dakika 7 tukafika.

Tukakaa huko hadi mida ya saa nne usiku, na tukaamua turudi zetu Makongo Juu tunakoishi.

Tukiwa tunachoronga vichochoro, kwa bahati mbaya tukapotea na tukajikuta tuko katikati ya nyumba ya watu na kuna wanawake wanne wakisukana.

Basi tukawasalimia na kuwaomba msamaha na kuwaomba watuelekeze njia ya kutokea barabara kubwa .

Mmoja kati ya wale wanawake akasema kina baba kwani nyie mnafanya kazi gani?

Wenzangu wakajibu kwamba ni madaktari. Wakaniuliza wee baba Mbona hujitambulishi?

Nikajibu Mimi ni Askari polisi hapo Buguruni.

Basi baada ya hapo, mmoja wa wamama wale akasema "Hapa ni mbali na barabara kubwa na vichochoro ni vingi mtapotea, ngoja nikuitieni kijana awaongozeni njia"

Basi yule mama akatoka na akaenda huko nyuma.

Baada ya dakika tano akarudi yule mama akiwa ameongozana na vijana watatu wenye magongo, na mmoja wao akasema "Yuko wapi huyo polisi?"

Wakanaanza kunipiga, wakaongezeka na wengine wengi kama kumi na nane au ishirini, nikapigwa kikamilifu.

Jamaa zangu wakajaribu kujisaidia na kuwasihi wapigaji wasinipige, lakini haikusaidia kitu. Nilipigwa nikapigika, nikaiva.

Nilipigwa Sana Hadi nikapoteza fahamu. Nikazinduka baada ya siku tatu nikiwa nimelazwa hospitali ya Amana.

Namshukuru sana mwenyezi Mungu kwa kuninusuru na kifo.

Wito wangu kwa Askari Polisi, mkiwa uswahilini hakikisheni mnaficha utambulisho wenu kwa ajili ya usalama wenu.
STORY FAKE KUTOKA UFIPA.

Chadema mnatumia nguvu nyimgi bila maarifa.
Hii stori ya uongo mtupu.lengo kuu ikiwa ni kuendeleza propaganda chafu dhidi ya jeshi letu la Polisi nchini.

Hivi katika zama hizi za magari ya mikopo kwa kada ya umma,hususan walimu na madaktari.
Katika hao madaktari wanne asingekosa mmoja wao mwenye usafiri binafsi.
Pia kwa kiwango cha daktari, haiwezekani akose hata usafiri wa kukodi kama uber nk.
Daktari achome nusu mbuzi ale ashibe halafu aanze kukatiza vichochoro kwa miguu??

Fake story hii,tafuteni Amsterdam wenu aje kumtetea Mbowe badala ya kushindia kwenye keyboards mkieneza chuki na UONGO.
 
Huo mtaa mbona wangehama na tungeipata habari kupitia tbc
 
Back
Top Bottom