Jinsi nilivyonusurika kifo kwa kipigo baada ya kujitambulisha kazi yangu

Wito wangu kwa Askari Polisi, mkiwa uswahilini hakikisheni mnaficha utambulisho wenu kwa ajili ya usalama wenu.
Huu wito uliotoa unathibitisha kuwa una akili fupi sana na unapaswa kupigwa tena.Ulipaswa kutoa wito kwa maaskari wenzako kuwa watende haki kwa watu.

Wewe ulipigwa kwa sababu ninyi Askari polisi hamtendi haki kwa jamii na pia hamfanyi kazi zenu kwa mujibu wa sheria.

 
Chaiii hii haiwezakn muulizwe mnafanya kz gn ilihal wao sio watu wa usalama au walikua wanawataka
 
Ebwana kaka mkubwa watu tuna stress zetu za maisha kama nia yako nikupata reply na ujinga mwingine bora utafute njia tofauti na hii, si tunataka kujadili ukweli na si story za kutunga huku ukiwa na kusudio lako moyoni. Kiufupi umepuyanga japokuwa nimeongeza comments.
 
Vijana wa Mbeya mliokuja Dar mna mkosi sana kuchezea Kichapo. Why?
 
Naamini kuna ujumbe unautuma hapa,umeipika stori ili kutuma ujumbe mahsusi .wameupata
 
Acha uongo wewe upigwe hadi upoteze fahamu magazeti ya bongo na vi tv uchwara vya online visitangaze hadi uje useme hapa? Polisi wapenda sifa nyie na wanyanuasaji wanyonge mngekamata hata watu ambao hawausiki mlipize. After all ni poa toa mbona nyie mlimuua Akwilina hana kosa lolote.
 
Kama hiki ulichoandika ni kweli basi chuki baina na polis na raia imefika kwenye kwango kikubwa na hatari sana.

Polis tendeni haki
 
Kama hiki ulichoandika ni kweli basi chuki baina na polis na raia imefika kwenye kwango kikubwa na hatari sana.

Polis tendeni haki
Kesi ya Mbowe imetufarakanisha Sana na raia
 
Nenda Buguruni kaulize Hilo tukio
 
Napenda kutoa pongezi kwa hao vijana kwa kitendo cha kiungwana walichokifanya.
 
Mfumo uliopo ndani ya jeshi hauliwezeshi jeshi kutenda haki
 
Pole sana afande, nashauri huu muda utakao kuwa umelazwa hapo Amana utumie kujisomea PGO kuliko ukae bure tu.
 
Pole Pole mwana Mwananchi mwenzangu dah, hii kazi ya upolisi sio kazi kwa nchi zetu hizi zinazongozwa na wenda wazimu
 
Kumbe hadi vijana wa Gaidi Kingai mna accounts jamii forum
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…