Jinsi nilivyonusurika kifo kwa kipigo baada ya kujitambulisha kazi yangu

Chai impikwa Hadi imeungua ,hujui kupika chai wewe🤡
 
Kuna siku humu mchangiaji mmoja aliwahi kusema humu chuki inayopandwa na watawala wetu kwa kuwatumia poilisi itakuja kutugharimu naanza kuyaona haya taratibu. Busara hekima ndio njia maridhawa yakuitunza jamii.
 
Umeonja ladha ya vile vipigo mnavyowapa raia shenzi kabisa. Wasimulie askari wenzio ili waache unyama wenu blaaaalifaken
 
wewe muongo,hakuna polisi mwenye kiherehere cha kutaja kazi yake,tena ukihitaji kuijua ndio kabisaa.
 

chadema na huyu polisi fake wanawadharau sana wafuasi wao.

yaani nawewe umeamini afande ana marafiki wawili madaktari wasio na gari wala nauli ya dala dala!!!!
 
Kuna siku humu mchangiaji mmoja aliwahi kusema humu chuki inayopandwa na watawala wetu kwa kuwatumia poilisi itakuja kutugharimu naanza kuyaona haya taratibu. Busara hekima ndio njia maridhawa yakuitunza jamii.

unayasikia na kuyaonea huku huku jf kwa wachangiaji.

mtaani huwezi ona huo upupu.
 
Huwezi kuwa polisi labda mke wa polisi
 
Hii story hata mtoto wa miaka mitano anayejua kusoma atatambua kuwa ni uongo.
 
Wewe siyo polisi,ila umekusudia kufikisha ujumbe kwao.
 
Hadithi yako inatufundisha Nini sisi raia wa huku bupambwa?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…