Echolima1
JF-Expert Member
- Nov 2, 2019
- 875
- 633
Baadhi ya mifugo yangu!!!Mimi ni mfugaji wa Nyoka karibu sana Kwangu uone shamba langu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Baadhi ya mifugo yangu!!!Mimi ni mfugaji wa Nyoka karibu sana Kwangu uone shamba langu.
Btw hata wanayama wengine nmwana uelewa wa kwamba hii ni hatari...ndio maana swala akimuona simba hukimbia. Coz anaajua he's a prey and there he comes predator. So lazima akimbie.Vipi kuhusu wanyama wengine ambao hung'atwa na Nyoka...? Mfano , Ng'ombe, Mbuzi ,kuku etc... Huwa kinatokea nini mpaka Nyoka anawadhuru...? Msaada .
Pamoja sana, Salute Sir!By the way somo ni zuri Sana...
Nimesoma hizo hormones zote katika elimu yangu...umeelezea vizuri Sana...
Huyu jamaa mbona Kama amekaa tayari kwa vita!
Huyo nyoka alikuwa ameyachoka maisha kwa sababu ya kukaripiwa na wazazi wake, hasira zilimshawishi ajiue sasa hakupenda msaada wako kwani haukua na tija kwake.Hakuna kiumbe nakiogopa kama hiko [emoji119]
Baki hivo hivoHii ni theory yang tu kutokana na uelewa wangu wasayansi inawezekana sipo sahihi hivyo basi ruhusa kwenu kunikosoa na kusahihisha pale nilipokosea
Hakuna kiumbe nakiogopa kama hiko [emoji119]
Nyoka na mwanga hawapatani... Ofcourse all nocturnal animals hua hawapatani na mwanga mkaliHuyo nyoka alikuwa ameyachoka maisha kwa sababu ya kukaripiwa na wazazi wake, hasira zilimshawishi ajiue sasa hakupenda msaada wako kwani haukua na tija kwake.
Hyo nzuri sanaKaunganishwa na vinci
Kwani uliunganisha kwa sabb zip?!Uzuri wake ni nini sasa?