Jinsi nilivyonusurika kung'atwa na nyoka wakati nataka kumuokoa

Jinsi nilivyonusurika kung'atwa na nyoka wakati nataka kumuokoa

Ungekuwa mwanamke ungemaliza tunda lote la eden na sijui tungetesekaje hapa duniani
 
Mi mwenyewe hua siwezi kuwaua. Hua nawaacha wanaenda zao kikubwa nahakikisha wanaenda maaeneo ambayo hawawezi kukutana na watu. Kuna mmoja alidumbukia kwenye shimo flani jamaa alikuwa anachimba septic tank nikamuona anahangaika kutoka nilichofanya nilitafuta miti nikatengeneza kama ngazi nikaweka mule akapanda akatoka sema akanichenjia nikakimbia
 
Unaweza ishi na Koboko(hata nyoka wengine pia) zaidi ya Miaka 100 asikudhuru ila sharti ni moja tu" nyoka ndiye ajue uwepo wa binadamu eneo ilo ila si binadamu ndiye ajue kuna nyoka eneo ilo".. Hii ni kwa uzoefu binafsi na kusoma maandishi kama haya.
nakuunga mikono yote!
 
Mi mwenyewe hua siwezi kuwaua. Hua nawaacha wanaenda zao kikubwa nahakikisha wanaenda maaeneo ambayo hawawezi kukutana na watu. Kuna mmoja alidumbukia kwenye shimo flani jamaa alikuwa anachimba septic tank nikamuona anahangaika kutoka nilichofanya nilitafuta miti nikatengeneza kama ngazi nikaweka mule akapanda akatoka sema akanichenjia nikakimbia
Uzungu utawamaliza, kusoma tu basi la njano na kupaka bleach mnajikuta wazungu
 
Mkuu binafsi Nina roho ya huruma kwa kiumbe chochote kasoro nzi,mbu,na mende.hata huyo nyoka simgusi kama hatakua na time na mim
Sir, usijidaie hiyo hali hata kidogo ndio maana nimesema nina sababu zangu ambazo siwezi kuzisema coz zaweza kubadirisha dhima ya uzi hapa. Si unaona juu kabisa nimeambiwa nina matatizo ya akili
 
Mi mwenyewe hua siwezi kuwaua. Hua nawaacha wanaenda zao kikubwa nahakikisha wanaenda maaeneo ambayo hawawezi kukutana na watu. Kuna mmoja alidumbukia kwenye shimo flani jamaa alikuwa anachimba septic tank nikamuona anahangaika kutoka nilichofanya nilitafuta miti nikatengeneza kama ngazi nikaweka mule akapanda akatoka sema akanichenjia nikakimbia
We all deserve this planet frola and faunas🤗
Hua nabahati mbaya ya kukutana nao hawa viumbe. Kwakweli hua ni ngumu sana kuua wadudu. Yaani ukimuua najisikia hatia kweli kweli
 
Unaweza ishi na Koboko(hata nyoka wengine pia) zaidi ya Miaka 100 asikudhuru ila sharti ni moja tu" nyoka ndiye ajue uwepo wa binadamu eneo ilo ila si binadamu ndiye ajue kuna nyoka eneo ilo".. Hii ni kwa uzoefu binafsi na kusoma maandishi kama haya.
Kabisa na yoka anaweza kuingia mmoja hadi akatengeneza ukoo hapo ilimradi tu msimuone. Hua haa shida kabisa
 
Hujakosea hata kidogo mkuu. Na nakupa kongole kwakuelewa na kuitendea haki somo linalohusiana na GLANDS. Je mbwa nae huwa huwa anainusa Jackobson gland? Na je kuna uwezekano ukakiona kiumbe hatari alafu ukaicontrol adrenaline?
akitujuza kuhusu mbwa itakuwa vema sana, maana mbwa nae mara nyingi mkikutanisha macho lazima afanye kitu[emoji16] ila ukijfanya hujamuona hakuna tatizo
 
akitujuza kuhusu mbwa itakuwa vema sana, maana mbwa nae mara nyingi mkikutanisha macho lazima afanye kitu[emoji16] ila ukijfanya hujamuona hakuna tatizo
Hujakosea hata kidogo mkuu. Na nakupa kongole kwakuelewa na kuitendea haki somo linalohusiana na GLANDS. Je mbwa nae huwa huwa anainusa Jackobson gland? Na je kuna uwezekano ukakiona kiumbe hatari alafu ukaicontrol adrenaline?
Ndio mkuu mbwa na paka wanayo Jacobson hata baadhi ya binaadamu pia wanayo. Mbwa mara nyingi hutegemea mapua yake zaidi kama Sense organ yake ya smell lakini pia kuna wakati pia hua anaitumia jacobson katika kugundua Adrenaline ya mtu/adui.

Njia kuu ya kuiziwia ni kutokua na hofu kabisa pindi unapokua na hatari. Sasa sio wote wenye uwezo huo ila kuna baadhi ya watu Wana Calmness Exterior na Ruthless Interior..yaani nje anakua mpole na mtulivu sana ilandani mwake ni katili hivyo hivyo kuna Watu yaani hata kitokee nini yee hua calm kabisa.

Labda kuna dawa za kufanya hivyo upande huo sijajua bado
 
Watu hawapendi vitu vigumu, uzi wa kula tunda kimasihara ni mlaini.
Umenikumbusha kampuni ya Yahoo walijua kabisa watu hua hawasomi terms and Rules za mitandaoni hua wanakimbilia kubonyeza I agree bila kusoma chochote sasa kuna kipindi katika yale maelezo marefu ya terms and rules waliweka namba na maelezo kwamba mtu aliyesoma hadi mwisho apige hizo namba atapata kiasi fulai cha pesa.... Imagine ni mtu mmoja tu alipata hiyo pesa.
 
Back
Top Bottom