Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
hamna black mamb mkubwa hivi
Koboko arusha mjini anatoka wapi SirUnamuokoa nyoka! Unaleta swaga za wazungu, ungejua hujui kugongwa na koboko!
Anakugonga dakika 25 hujapewa antivenom lazima ufe na sifa moja ya sumu ya Koboko viungo na misuli vyote vinatepeta na lazima unye.
mkuu itoshe kusema nyoka anatisha[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]kwahyo tuipateje?
jitahidi uandke hata maneno 50 yatakayowakilisha maneno 300[emoji3]
shuuDoooh
Poison ni sumu inayo fanya kazi kwa kugusa ngozi ya mwili, kumeza,kuvuta hewa na kumeza.Na Venom ni sumu inayo fanya kazi iki kutana na dam kwa njia ya kung’atwa au kuchomwa, pia venom unaweza ukailamba na kuimeza au kuishika na isilete madhara ikiwa hauna vidonda au michubuko.Nini tofauti
Asante kwa kunikumbusha sekondariPoison ni sumu inayo fanya kazi kwa kugusa ngozi ya mwili, kumeza,kuvuta hewa na kumeza.Na Venom ni sumu inayo fanya kazi iki kutana na dam kwa njia ya kung’atwa au kuchomwa, pia venom unaweza ukailamba na kuimeza au kuishika na isilete madhara ikiwa hauna vidonda au michubuko.
Pamoja mkuuAsante kwa kunikumbusha sekondari
bora uwe rafiki na chatu lkn sio hii kitu, haijawahi kuwa na ndugu.
mita 4 ila huo unene hawanaMkubwa kabisa anakua na mita ngapi
Abeeh Gshuu
Pamoja MkuuSir.. Thanks so much for clarification.
Ndio maana nimelileta mbele yenu hapa nipate mawazo tofauti na nachelea kusema uko sahihi katika jema na baya!
Salute Sir
Point yako iweke hivi... Asilimia kubwa ya nyoka wa Afrika hawana sumu sana. Ndio maana tunaamini blackstone inaondoa sumuAlafu nyoka huwa ni waungwana sana kuliko hata siafu wanaong'ata bila sababu, asilimia kubwa ya nyoka wengi huwa hawana sumu ndo maana nyoka ni mzee wa kutoka nduki akiwa eneo analoweza kukimbia!
[emoji16][emoji16][emoji16] sio kwamba point yako nawewe inatakiwa uiweke hivi, Nyoka wengi wanaoishi katika mazingira ya majumbani au wanaoishi karibu na binadamu hawana sumu ya kuweza kudhuru wanyama wakubwa kama binadamu nkPoint yako iweke hivi... Asilimia kubwa ya nyoka wa Afrika hawana sumu sana. Ndio maana tunaamini blackstone inaondoa sumu
Kwa maana nyingine akishagundua umemuona pamoja na kwamba anaweza kukuletea madhara ila kwa upande mwingine kama ukimpotezea na yeye anaweza akabadilisha makazi kwa kukuhofia (au ataendelea kuishi tu maeneo hayo?)Wewe ukishajua kuwa eneo ilo kuna nyoka ndiyo chanzo cha mwili wako ku-react kama jamaa alivyoeleza hapo juu reaction yako ni red flag kwa nyoka,itajua ni hatari imemkabili, itaanza kujihami dhidi yako. Popote unapomuona nyoka tambua kwamba nyoka imejua uwepo wako eneo ilo kabla yako kuiona.. Hii ni kwasababu:- nyoka wanauwezo kujua aina ya kitu kilichopo umbali zaidi ya mita 100 kwa kusensi si kuona.so, unapomuona nyoka ujue yeye kashajua uwepo wako hapo muda mrefu tu.