Hongera sana mkuu kwa upata wa kufanana nae
Hajaeleza wamefanana nini? Umbo au sura au mkuu kafanana vyote na mke wake yaani Umbo na sura
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hongera sana mkuu kwa upata wa kufanana nae
Mawazo duni sana haya....Kuna mtu anaenda kupigwa hapa.....sijiu kwanini nahisi hivyo au nami nimefunuliwa
Sijaona mahali pa upigaji hapa zaidi ya kutoa ushuhuda wake[emoji848]Kuna mtu anaenda kupigwa hapa.....sijiu kwanini nahisi hivyo au nami nimefunuliwa
Ugumu upo kama ukitafuta mwenyewe bila kumshirikisha Mungu. Inawezekana kabisaMwanamke mwenye hizi sifa, bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu, anakubalika na kila Mwanaume, Sio sura,umbo na mwonekano, Ila hizi sifa bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu ni ngumu sana kuzipata kwa sasa.
Ni kweli kabisa ndugu. Kumuoa mtu ambae hujamchagua inahitaji uwe na maamuzi magumu sanaHongera mkuu hili jambo ni gumu sana hata kwa vijana wanaosema wameokoka
AmenMkuu asante kwa ushuhuda, maana naamini tunamshinda sheteni kwa shuhuda za maneno yetu.pia naamini kwa ujumbe huu kuna mtu atatoka alipo kwama.
Sifa na utukufu, uweza na nguvu vyote vina yeye alie kupa mke mwema, usiache kutoa sadaka ya shukurani kwa ajili ya mkeo.
Amen
AmenApataye mke amepata kitu chema, hongera mkuu, furahia ndoa, furahia mke wako, Mungu Awape uzao mzuri
Amen nduguHongera sana mkuu kwa upata wa kufanana nae
Yes bro!! Nimeandika sio kwania ya kupewa sifa kwa kupata mke mwema...Mkuu asante kwa ushuhuda, maana naamini tunamshinda sheteni kwa shuhuda za maneno yetu.pia naamini kwa ujumbe huu kuna mtu atatoka alipo kwama.
Sifa na utukufu, uweza na nguvu vyote vina yeye alie kupa mke mwema, usiache kutoa sadaka ya shukurani kwa ajili ya mkeo.
Amen
Sasa mkuu chai ipo wapi hapo
Utakua umefunuliwa na Lucifer sio bureKuna mtu anaenda kupigwa hapa.....sijiu kwanini nahisi hivyo au nami nimefunuliwa
Biblia inasema Mungu atakupa wa kufanana naye.Hajaeleza wamefanana nini? Umbo au sura au mkuu kafanana vyote na mke wake yaani Umbo na sura
Mleta mada kasema mwenyewe anamshukuru Mungu kwa kumpa wa kufanana nae, na mm nimepita humohumo nimempongeza kwa kupewa wa kufanana nae.Hajaeleza wamefanana nini? Umbo au sura au mkuu kafanana vyote na mke wake yaani Umbo na sura
Haikua jambo rahisi kukubali. Kueleza ni rahisi sana ila kuliweka kwenye vitendo ni mzikiMkuu uliamua kupingana na Mungu kupitia ndoto
AmenApataye mke amepata kitu chema, hongera mkuu, furahia ndoa, furahia mke wako, Mungu Awape uzao mzuri
Cheti cha ndoa?