Jinsi nilivyopata mke, Mwanzo sikumpenda ila sasa nampenda sana

Jinsi nilivyopata mke, Mwanzo sikumpenda ila sasa nampenda sana

Kwahiyo yule kaka niliemuota nimwambie ukweli? Nianzeje sasa?

Au ndoto za walokole ni tofauti na za kwetu?
 
Nilienda mkesha wa maombi ya vijana na wakati tunaomba nilisikia sauti kubwa ikisema geuka mtazame mkeo, niligeuka na kumuona yule ambae nilimwona kwenye ndoto. Nilipingana na hili tena na kuuambia moyo wangu HAPANA, hayo pengine yalikua mawenge na uchovu
Hivyo hiyo mikesha mmegeuza jamvi lakutongozana na sio kusali?
 
Amen kubwa,na baraka za Mungu zisiwapungukie.Hongera kwa kutii sauti ya Mungu,naelewa iyo hali ya kusikia sauti ya Mungu,huwa inatupa sitofahamu nyingi na ukikaidi anakujia mpka uelewe.

Natamani Mungu anifunulie ivo wangu maana nliyekuwa nae hamkumpendeza,alinionyesha mara 5 kuwa sio mtu sahihi(AYUBU 33:14-16)na bado nkang'ang'ania,maana hajawahi nikosea,ananiheshimu,ananijali yaani nkaona ni mtu sahihi.Sikuwa na namna zaidi ya kukaa pembeni japo upweke unanitesa kama kijana, bado jamaa anamapenzi na mimi ila nasubiri Mungu atakapopendezwa maana nmechagua Mungu over everything!!Kazi yangu iliyobaki ni kufunga na kuomba Mungu maana anajua naheshimu na nmemsikiliza atanipa tu wakufanana nae.
Bila kusahau kuzingatia majira. Kila jambo lina wakati wake. Usilazimishe kama Mungu hajajibu

Pia njia za Mungu kusema na wanadamu ni nyingi. Anaweza kusema na wewe kupitia watu, ndoto au namna yoyote anayo ona kuwa ujumbe utakufikia.

Namna ya kukutana na mwezi wako inatokea tu automatically, nguvu yoyote haitakiwi kutumika. Zaidi amini ya Kristo iamue ndani yako
 
Inawezekana sana tu,kwa mwanadamu unaona sio rahisi ila kwa Mungu inawezekana.Mungu anafanya vitu kwa watoto wake,Huwezi kumtumikia Mungu afu akakuacha uhaibike.Swala gumu ni kuwa binadamu kusikia sauti ya Mungu na kukubaliana na lile swala.
Mungu anatuwazia mema siku zote. Macho yetu wanadamu huona pafupi sana.

Akili zetu zinaweza kuchambua sana ila kuona huyo unae mchagua mbeleni atakuaje ni mtihani usio na majibu. Tumwachie Mungu na kuamini anavyo tupatia hatakama haviko kama tutakavyo
 
Mungu anatuwazia mema siku zote. Macho yetu wanadamu huona pafupi sana.

Akili zetu zinaweza kuchambua sana ila kuona huyo unae mchagua mbeleni atakuaje ni mtihani usio na majibu. Tumwachie Mungu na kuamini anavyo tupatia hatakama haviko kama tutakavyo
Ulikuta Sildi?
 
Mkuu huyo ndio mkeo hiyo ndoto usiipuuze .ndoto yako inafafanana na yangu . januari mwaka huu nimeoa mwanamke nilioteshwa ndotoni mambo yangu mengi yapo vizuri kabla ya hapo nilikuwa hivyo kabisa .mungu amekuotesha hiyo ndoto kwa makusudi ukidharau imekula kwako .

nb.huyo ndio mkeo.usimwache utanishukuru ushauri wangu
 
mkuu huyo ndio mkeo hiyo ndoto usiipuuze .ndoto yako inafafanana na yangu . januari mwaka huu nimeoa mwanamke nilioteshwa ndotoni mambo yangu mengi yapo vizuri kabla ya hapo nilikuwa hivyo kabisa .mungu amekuotesha hiyo ndoto kwa makusudi ukidharau imekula kwako .

nb.huyo ndio mkeo.usimwache utanishukuru ushauri wangu
Amen
 
Mwanamke mwenye hizi sifa, bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu, anakubalika na kila Mwanaume, Sio sura,umbo na mwonekano, Ila hizi sifa bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu ni ngumu sana kuzipata kwa sasa.
Nipooo apa😁
 
Waliooa kwa kuangalia tako watakuja na kukubeza wapunguze machungu ya ndoa zao.
 
Back
Top Bottom