Jinsi nilivyopata mke, Mwanzo sikumpenda ila sasa nampenda sana

Shetani hashindwi kwa "maneno" matupu bali Wanadamu humshinda Shetani kwa "kumtii" MUNGU na kumwamini YESU KRISTO. Soma Yakobo 4:7-8
 
Asante sana mtumishi.Ubarikiwe sana kwa somo zuri.
 
Mwanamke mwenye hizi sifa, bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu, anakubalika na kila Mwanaume, Sio sura,umbo na mwonekano, Ila hizi sifa bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu ni ngumu sana kuzipata kwa sasa.
Kwa mwanadamu haiwezekani ila kwa Mungu inawezekana.
 
Mwanamke mwenye hizi sifa, bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu, anakubalika na kila Mwanaume, Sio sura,umbo na mwonekano, Ila hizi sifa bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu ni ngumu sana kuzipata kwa sasa.
Na ndo maana Mungu kamfunulia huyu jamaa kwa sababu aliamua kukaa vizuri na Mungu aka kutembea katika neema ya Mungu.

Mungu hawezi kumfunulia gumegume siri kubwa kama hii ambayo itajenga vizuri ufalme wake. The woman is a gem, a pearl something expensive. Ilibidi jamaa akae na Mungu vizuri kwa maombi, toba, kufunga na matendo mema plus sadaka ili kuipata zawadi nzuri lakini eti ubaharia hahaha...dj niletee mabaharia hapa mbele.
 
...usiache kutoa sadaka ya shukurani kwa ajili ya mkeo.

Hapa ndipo waamini wengi wanapoanza kujimiksi...

Mke mwema ni zawadi ya Mungu kwa mwanaume, mwanaume unapaswa kuitunza hiyo zawadi.

Mungu hushukuriwa kwa moyo uliojawa shukrani...

Je, baba yako akikutunuku wewe zawadi, nawe huwa unamrudishia zawadi nyingine kama shukrani?
 
Kwa kua sio muamini huwezi kuelewa mambo ya imani mkuu.

Kwanza kabisa Mungu hakupi mke, mke unajipatia mwenyewe kwa juhudi zako ila tu Mungu anaweza kusaidia na kukuongoza kupata mke. Na ndio maana bibilia inasema "apatea mke" sio "apewae mke".

Shukrani ni sauti ya imani na ndani ya shukrani kuna baraka na baraka ina nguvu ya kuongezeka, so kwa kutoa sadaka ya shukurani juu ya mke mwema ulie nae itatengeneza akiba na deni kwa Mungu la kumlinda na kumuepusha na baadhi ya ya mambo.
 
Amen,Maombi yanajibu na pili unaweza kumpenda mtu lkn ukashindwa kuishi nae coz ya tabia kinachoitajika ni maarifa ,hekima itokayo kwa Mungu.Nawatakia maisha mema ya furaha mkiwa katika Kristo.
 
Mwanamke mwenye hizi sifa, bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu, anakubalika na kila Mwanaume, Sio sura,umbo na mwonekano, Ila hizi sifa bidii ya kazi, heshima, mpole, mwaminifu na asiye na makuu ni ngumu sana kuzipata kwa sasa.
Wapo ukiomba kwa uaminifu Mungu atakupa.
 
Duuh
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…