Jinsi nilivyopoteza milioni mbili kwenye soko la hisa

Jinsi nilivyopoteza milioni mbili kwenye soko la hisa

Mwaka 2011... Nilikaribia kununua Bitcoin ..Tena nilipanga ninunue kumi tu na nikae nazo miaka kumi tu Tena bila kuzifanya chochote., nadhani ni akili ya ujana ikanituma Ile hela nikaifanyia kuburudisha mwili kwa kula chakula ( price @ bitcoin ilikuwa just 1.50$) ... Kichomi nachopatwa kila nikiona BTC acha tu , ningechukua hatua kutimiza "gamble" Ile sijui yaani , ila pia nadhani ni Mola tu maulana mtoa vyote kuna namna aliingilia kati.
Mm nilitaka kula hasra ya kununua milion 5 aisee balaha hilo
 
You wanna fell right to predict future,
How many btc do you up to now. Ama unajsiikia Raha kuwa wewe ni mjanja na una akili mno ya kuweza kuiona kesho, Kuna egoistic may is at work.
Niambie kesho ama mwezi ujayo ita trade wapi na wapi from h to l iyo btc.
Ni utapeli tu hkn kitu
 
Kumbe
Acha uongo

Mwaka 2011 TZ hatukua na access ya crypto exchanges.

Hapakua na Binance, Localbitcoin wala Coinbase.

Hapakua na access yoyote kuweza kununua cryptos.
Kumbe mko wataalamu humu
 
You wanna fell right to predict future,
How many btc do you up to now. Ama unajsiikia Raha kuwa wewe ni mjanja na una akili mno ya kuweza kuiona kesho, Kuna egoistic may is at work.
Niambie kesho ama mwezi ujayo ita trade wapi na wapi from h to l iyo btc.
We ar not predict future no we creat it maisha yako yapo hardwired kuish past and present. Ila wenzio wenye akili timamu wanaish kwenye future elon musk anakuambia kunauwezekano wa kuihi sehmu ingine ya dunia we unakataa ila yeye amesha create future anachofanya ni kufanyia kazi , we hujui siku yako ya kufa maana you didn't create it ila kwa mtu alie serious atacreate kwamba mi kesho saa sita nitajitoa uhai nitakuwanya hii pure poison na bila hesitation ikifika uo muda unatekeleza
 
Vijana acheni uvivu na uoga. Nchi yetu bado ina fursa nyingi sana za kupiga kwa mpambanaji. Ni ujinga mtupu kuweka mamilioni yako sehemu na kutegemea gawio lisilofika hata 30% ya hela uliyoweka. Mambo ya hisa ningeshauri wafanye zaidi wazee wastaafu. Vijana tujipange kufungua biashara zetu ili baadae na sisi tuwauzie hisa wengine.
Ni kweli kbsaa aisee ni upumbavu kununua hisa na blaa blaa zingine wakt biashra za kufanya zipo nyingi
 
Nina Elimu kubwa sna kwenye mambo haya hisa na dhamana Hadi kuingia na kuchagua kampuni hyo nilijiridhisha kbsa kuwa it's trade vzr

Sasa kwani. Hisa zake zimeporomoka na Hakuna taarifa zozote
Hata rfk angu alizinunua za TBL Hadi Sasa hajauzana anakosa mteja hata za crdb na nmb haziuziki wewe unaongea hbr gani
Hisa za TBL gani ambazo rafiki yako anakosa mteja? Watu Juzi tu tumekula gawio la maana la TBL. Kama rafiki yako bado anatafuta mteja wa hisa zake za TBL naomba uniunganishe nae tufanye biashara.
 
Hi ndio biashara siwez kudhubutu iko kitapeli Sana nayo Bora sijafanya
Ndio ubaki na umasikini wako sasa.

Ww nenda kalime achana na mambo ya hisa na fluctuations zake.

Manake ukienda kulima kiazi kikikomaa unakiona kwa macho unachuma

Unakwenda kumuuzia Mwakipesile unapata hela
 
Nina Elimu kubwa sna kwenye mambo haya hisa na dhamana Hadi kuingia na kuchagua kampuni hyo nilijiridhisha kbsa kuwa it's trade vzr

Sasa kwani. Hisa zake zimeporomoka na Hakuna taarifa zozote
Hata rfk angu alizinunua za TBL Hadi Sasa hajauzana anakosa mteja hata za crdb na nmb haziuziki wewe unaongea hbr gani
Kwa hiyo kauli,umedhihirisha kuwa haukuwa na hadi sasa hauna elimu ya kutosha juu ya hisa....
 
Nina Elimu kubwa sna kwenye mambo haya hisa na dhamana Hadi kuingia na kuchagua kampuni hyo nilijiridhisha kbsa kuwa it's trade vzr

Sasa kwani. Hisa zake zimeporomoka na Hakuna taarifa zozote
Hata rfk angu alizinunua za TBL Hadi Sasa hajauzana anakosa mteja hata za crdb na nmb haziuziki wewe unaongea hbr gani
Mtu wa treasury na Market...
  • Ulishindwaje kusoma financial statements za kampuni husika,kanakwamba umesema hisa zilishuka bila taarifa...Financial indicators haukuziona
  • Unawekezaje kwenye kampuni ambayo inaenda fanya exploration ya mafuta tena kwenye ambayo hayajawahi kugunduliwa.
  • Unawekaje all that amount kwa hisa zako za kwanza.Tena hisa za IPO...ina maana haujui hata sifa za hisa za IPO 🤔
 
Nina Elimu kubwa sna kwenye mambo haya hisa na dhamana Hadi kuingia na kuchagua kampuni hyo nilijiridhisha kbsa kuwa it's trade vzr

Sasa kwani. Hisa zake zimeporomoka na Hakuna taarifa zozote
Hata rfk angu alizinunua za TBL Hadi Sasa hajauzana anakosa mteja hata za crdb na nmb haziuziki wewe unaongea hbr gani
Wewe umekazania kununua na kuuza...
Kama ungepitia taarifa za kampuni zote kuwa...kuna kampuni hisa zao ni nzuri kwa
  • Kununua na kuuza
  • Kupata dividends
  • Kutumika kama collateral kwenye mikopo...
Mi binafsi ni mwanataaluma ya Uhandisi,ila nilitenga miezi 6 ya kujifunza financial markets na kufuatilia Masoko ya hisa ya Nairobi,Joberg,NYSE and DSE.

Kwenye uwekezaji wowote,hauitaji pupa, tumia mda wa kutosha kujifunza.
 
Mwaka 2014 nilishawishika kwa mara kwanza kuekeza kwenye biashara za hisa, Basi nikapata abcd za namna gani na faida za za kuekeza kwenye masoko ya hisa na nikafanya maamuzi ya kununua hisa katika kampuni moja ya uchimbaji na utafutaji wa mafuta inayoitwa Swala energy.

Basi nikapewa list ya kampuni zilizo listed katika soko la hisa Dar es Salam stock exchange ndipo nikachagua kampuni hiyo kwa vile ndio ilikuwa inafanya IPO yaani initial public offer kwa Mara ya kwanza, na mimi nikashawishika na nikaamua kununua hisa za milioni mbili kila hisa Moja iliuzwa 500 hivyo nikafanikiwa kununua hisa za 2m sawa na hisa elfu 4000.

Basi baada tu ya kununua hisa ktk kampuni hyo baada ya week mbili hisa zikapanda value kutoka 500 Hadi 1000 kwa kila Moja nikataka kuuza nikaambiwa na jamaa angu kuwa nisubiri kwa vile itaendelea kupanda Kweli baada ya Kama miezi miwili hivi hisa ktk kampuni hyo ikashuti Hadi kufika 2100 nikaona wacha niuze.

Jamaa yangu ambae ni mzoefu akaniambia nisiwe na haraka zitaendekea kupanda zaidi na tutapiga pesa ndefu za maana.

Wakati nikitamani kuuza hisa zangu nikaanza kuona zikistak ikibakia palepale kwa muda wa kama mwezi nzima bila kupanda wala kushuka.

Ajabu ghafla bin vuu nikaanza kuona inaporomoka Tena Bei zake nikaanza kutafuta dalali aniuzie, mimi kipindi hicho niko Tabora ikawa kama simuamini dalali yule kwani yeye alitaka nimtumie dcm zangu zote nikaona nikipata chance nikimbie Dar faster nikaziuze.

Kadri siku zinavyozidi kwenda na mimi kubanwa na kazi nilishutukia hisa zimeporomoka kwa kasi ya kutisha na kumpata mteja ikawa ngumu pia 😂 aise hyo ni biashara kichaa sana yaani una hisa zako ila kupata mteja wa kuzinunua hupati.

Kuna wakati nimecheki mwenendo wa hiyo kampuni nikakuta hisa Moja Ni 234, hisa zimeporomoka Sana nikakata tamaa kabisa nimetulia na Sina pa kupeleka kesi hiyo.

Kama kuna wazoefu nipeni mbinu nifanye nini ili niweze kurescure hicho hisa zangu hata Kama zimeporomoka Bei, kampuni haijawi kunipa gawio Wala kuitwa mkutano mkuu wa mwaka kwa kifupi ni matapeli wa enz za JK ndio waliniingiza mjini for the first time

Kweli sina hamu kbsa kwenye masoko ya hisa na mamlaka zake za mitaji na dhamana hi biashara imekaa kitapeli sana.

Na mbaya zaidi Magu alivyoingia madarakani masoko ya hisa likawa Kama kaburi wazi.

Niwaonye vijana kuweni makini na hayo Mambo ya hisa Kuna utapeli Sana unaendelea sana.
Bro kama una hela yako usijidanganye ukanunua hisa hapa bongo Sehem ambayo siasa ndio zinaamua uchumi. Nunua hisa Sehem ambayo nguvu ya soko ndio yenye maamuz ya mwisho. Bora hapo kenya mara 1000. Hapa bongo anatoka raisi huyu anaingia mwingine anafanya vitu utafikir ndio nchi imepata Uhuru Mzee usijar utamlaan kila mtu. Lakin ukweli ni kwamba uchumi unaongozwa na nguvu ya soko na sio siasa. Ukijua hilo utaachana na haya majamaa ya nambari one. Ni bora ununue ardhi. Kipind cha jiwe mpaka hisa za TBL zilishuka yaan mpaka walevi waliokoka.
 
Yaani story yako inakwenda sawa na sisi wazee wa betting namna tunavyoigumia cashout,umeweka 10k,huna hili wala lile unakagua mkeka unakuta 23k inahema😁😁,kitendo chakujipa ujasiri tu kwamba wacha niiache,kwisha habari yako,inagray mpaka gori linarudishwa mpira unaisha mkeka umechanika🤨🤨
 
You're giving an example in our society which is outlier statistically. Toa mfano wa normal,ukiongea let say investment sio lazima umuongee warren Buffett,why don't you talk which is mean.
Let us have research.
So umesha create future yako Kama huyo jamaa ,Mana akili yako Iko fixed and hooked by only one example which is outlier.

So na wewe utakufa lini Mana inaonekana una role model mzuri atakuwa ameshaku magnetize.
 
Acha uongo

Mwaka 2011 TZ hatukua na access ya crypto exchanges.

Hapakua na Binance, Localbitcoin wala Coinbase.

Hapakua na access yoyote kuweza kununua cryptos.
Unajua mwaka 2011 , tuchukue tu tarehe 6 mwezi wa tano Hadi wa Saba tarehe 22 nilikuwa wapi 😀😀?? Ili tujue huu uongo unaosema niuache, my guess umefanya assumption kuwa ulipokuwa wewe (likely within TZ borders) is where everybody else was. Anyway, sawa amini kile unachoamini mdau, sikupingi 😀😀
 
Bro kama una hela yako usijidanganye ukanunua hisa hapa bongo Sehem ambayo siasa ndio zinaamua uchumi. Nunua hisa Sehem ambayo nguvu ya soko ndio yenye maamuz ya mwisho. Bora hapo kenya mara 1000. Hapa bongo anatoka raisi huyu anaingia mwingine anafanya vitu utafikir ndio nchi imepata Uhuru Mzee usijar utamlaan kila mtu. Lakin ukweli ni kwamba uchumi unaongozwa na nguvu ya soko na sio siasa. Ukijua hilo utaachana na haya majamaa ya nambari one. Ni bora ununue ardhi. Kipind cha jiwe mpaka hisa za TBL zilishuka yaan mpaka walevi waliokoka.
Sahih kbsaaaa jamaa haweleweki kbsaa
 
Back
Top Bottom