Jinsi nilivyopoteza milioni mbili kwenye soko la hisa

Jinsi nilivyopoteza milioni mbili kwenye soko la hisa

Wewe umekazania kununua na kuuza...
Kama ungepitia taarifa za kampuni zote kuwa...kuna kampuni hisa zao ni nzuri kwa
  • Kununua na kuuza
  • Kupata dividends
  • Kutumika kama collateral kwenye mikopo...
Mi binafsi ni mwanataaluma ya sahih Uhandisi,ila nilitenga miezi 6 ya kujifunza financial markets na kufuatilia Masoko ya hisa ya Nairobi,Joberg,NYSE and DSE.

Kwenye uwekezaji wowote,hauitaji pupa, tumia mda wa kutosha kujifunza.
Sahih mkuu nilifanya kosa Hilo Bora ningenuni za nmb by then ilikuwa inafanya vzr sokoni na market share zake iliongezeka
 
Mtu wa treasury na Market...
  • Ulishindwaje kusoma financial statements za kampuni husika,kanakwamba umesema hisa zilishuka bila taarifa...Financial indicators haukuziona
  • Unawekezaje kwenye kampuni ambayo inaenda fanya exploration ya mafuta tena kwenye ambayo hayajawahi kugunduliwa.
  • Unawekaje all that amount kwa hisa zako za kwanza.Tena hisa za IPO...ina maana haujui hata sifa za hisa za IPO 🤔
Kwa kweli nikifanya pupa ndio maan jimepata hasara
 
Mwaka 2014 nilishawishika kwa mara kwanza kuekeza kwenye biashara za hisa, Basi nikapata abcd za namna gani na faida za za kuekeza kwenye masoko ya hisa na nikafanya maamuzi ya kununua hisa katika kampuni moja ya uchimbaji na utafutaji wa mafuta inayoitwa Swala energy.

Basi nikapewa list ya kampuni zilizo listed katika soko la hisa Dar es Salam stock exchange ndipo nikachagua kampuni hiyo kwa vile ndio ilikuwa inafanya IPO yaani initial public offer kwa Mara ya kwanza, na mimi nikashawishika na nikaamua kununua hisa za milioni mbili kila hisa Moja iliuzwa 500 hivyo nikafanikiwa kununua hisa za 2m sawa na hisa elfu 4000.

Basi baada tu ya kununua hisa ktk kampuni hyo baada ya week mbili hisa zikapanda value kutoka 500 Hadi 1000 kwa kila Moja nikataka kuuza nikaambiwa na jamaa angu kuwa nisubiri kwa vile itaendelea kupanda Kweli baada ya Kama miezi miwili hivi hisa ktk kampuni hyo ikashuti Hadi kufika 2100 nikaona wacha niuze.

Jamaa yangu ambae ni mzoefu akaniambia nisiwe na haraka zitaendekea kupanda zaidi na tutapiga pesa ndefu za maana.

Wakati nikitamani kuuza hisa zangu nikaanza kuona zikistak ikibakia palepale kwa muda wa kama mwezi nzima bila kupanda wala kushuka.

Ajabu ghafla bin vuu nikaanza kuona inaporomoka Tena Bei zake nikaanza kutafuta dalali aniuzie, mimi kipindi hicho niko Tabora ikawa kama simuamini dalali yule kwani yeye alitaka nimtumie dcm zangu zote nikaona nikipata chance nikimbie Dar faster nikaziuze.

Kadri siku zinavyozidi kwenda na mimi kubanwa na kazi nilishutukia hisa zimeporomoka kwa kasi ya kutisha na kumpata mteja ikawa ngumu pia 😂 aise hyo ni biashara kichaa sana yaani una hisa zako ila kupata mteja wa kuzinunua hupati.

Kuna wakati nimecheki mwenendo wa hiyo kampuni nikakuta hisa Moja Ni 234, hisa zimeporomoka Sana nikakata tamaa kabisa nimetulia na Sina pa kupeleka kesi hiyo.

Kama kuna wazoefu nipeni mbinu nifanye nini ili niweze kurescure hicho hisa zangu hata Kama zimeporomoka Bei, kampuni haijawi kunipa gawio Wala kuitwa mkutano mkuu wa mwaka kwa kifupi ni matapeli wa enz za JK ndio waliniingiza mjini for the first time

Kweli sina hamu kbsa kwenye masoko ya hisa na mamlaka zake za mitaji na dhamana hi biashara imekaa kitapeli sana.

Na mbaya zaidi Magu alivyoingia madarakani masoko ya hisa likawa Kama kaburi wazi.

Niwaonye vijana kuweni makini na hayo Mambo ya hisa Kuna utapeli Sana unaendelea sana.
Mkuu pole sana.Hakuna Utapeli kwenye Soko la Hisa ila ni Risk Investment.Kama hao swal energy ni matapeli lazima ujiulize walifikaje kwenye SOKO la HISA?All in ALL Pole sana Je Hisa zako bado unazo?Unaifuatilia Swala energy na mwenendo wake kibiashara?
 
Hapo hakuna cha utapeli, naona kuna mambo makuu mawili...

1.Tamaa ya utajiri wa haraka
-Kwa mara ya kwanza tu kujihusisha na uwekezaji wa hisa ,ukaamua kununua za Millioni 2,ambazo kwa kipato chako inaonekana hiyo hela ni kubwa.

2.Kukosa elimu
Kwa maelezo yako ,inaonesha wazi haukuwa na elimu ya kutosha na mpaka bado hauna elimu ya kutosha kuhusiana na hisa.
Kilichokuchanganya ni kuskia neno IPO,,,ambapo
  • ni kawaida katika IPO bei za hisa kuwa juu....
  • Ulinunuaje hisa bila kupata elimu ya Sekta ya Nishati hasa katika makampuni ya utafiti wa mafuta.
  • Ulinunuaje bila kufuatilia financial statements za kampuni husika.?
  • Kampuni ya utafiti wa mafuta huwa inaingiza hasara always, unapewaje gawio? Hiyo ni dunia nzima.
Ukiona elimu gharama, jaribu ujinga....
Naona ile 2m yake ilikuwa haina kazi kwa wakati ule …… ama kweli ikiwa elimu ni garama ujinga ndo garama mara mbili
 
Mwaka 2014 nilishawishika kwa mara kwanza kuekeza kwenye biashara za hisa, Basi nikapata abcd za namna gani na faida za za kuekeza kwenye masoko ya hisa na nikafanya maamuzi ya kununua hisa katika kampuni moja ya uchimbaji na utafutaji wa mafuta inayoitwa Swala energy.

Basi nikapewa list ya kampuni zilizo listed katika soko la hisa Dar es Salam stock exchange ndipo nikachagua kampuni hiyo kwa vile ndio ilikuwa inafanya IPO yaani initial public offer kwa Mara ya kwanza, na mimi nikashawishika na nikaamua kununua hisa za milioni mbili kila hisa Moja iliuzwa 500 hivyo nikafanikiwa kununua hisa za 2m sawa na hisa elfu 4000.

Basi baada tu ya kununua hisa ktk kampuni hyo baada ya week mbili hisa zikapanda value kutoka 500 Hadi 1000 kwa kila Moja nikataka kuuza nikaambiwa na jamaa angu kuwa nisubiri kwa vile itaendelea kupanda Kweli baada ya Kama miezi miwili hivi hisa ktk kampuni hyo ikashuti Hadi kufika 2100 nikaona wacha niuze.

Jamaa yangu ambae ni mzoefu akaniambia nisiwe na haraka zitaendekea kupanda zaidi na tutapiga pesa ndefu za maana.

Wakati nikitamani kuuza hisa zangu nikaanza kuona zikistak ikibakia palepale kwa muda wa kama mwezi nzima bila kupanda wala kushuka.

Ajabu ghafla bin vuu nikaanza kuona inaporomoka Tena Bei zake nikaanza kutafuta dalali aniuzie, mimi kipindi hicho niko Tabora ikawa kama simuamini dalali yule kwani yeye alitaka nimtumie dcm zangu zote nikaona nikipata chance nikimbie Dar faster nikaziuze.

Kadri siku zinavyozidi kwenda na mimi kubanwa na kazi nilishutukia hisa zimeporomoka kwa kasi ya kutisha na kumpata mteja ikawa ngumu pia 😂 aise hyo ni biashara kichaa sana yaani una hisa zako ila kupata mteja wa kuzinunua hupati.

Kuna wakati nimecheki mwenendo wa hiyo kampuni nikakuta hisa Moja Ni 234, hisa zimeporomoka Sana nikakata tamaa kabisa nimetulia na Sina pa kupeleka kesi hiyo.

Kama kuna wazoefu nipeni mbinu nifanye nini ili niweze kurescure hicho hisa zangu hata Kama zimeporomoka Bei, kampuni haijawi kunipa gawio Wala kuitwa mkutano mkuu wa mwaka kwa kifupi ni matapeli wa enz za JK ndio waliniingiza mjini for the first time

Kweli sina hamu kbsa kwenye masoko ya hisa na mamlaka zake za mitaji na dhamana hi biashara imekaa kitapeli sana.

Na mbaya zaidi Magu alivyoingia madarakani masoko ya hisa likawa Kama kaburi wazi.

Niwaonye vijana kuweni makini na hayo Mambo ya hisa Kuna utapeli Sana unaendelea sana.
Tafuta mafundisho ya Sir Emillian Busara utajua tatzo lilikuwa ni nini😁😁😁😁
Pole sana mkuu.
 
Mwaka 2014 nilishawishika kwa mara kwanza kuekeza kwenye biashara za hisa, Basi nikapata abcd za namna gani na faida za za kuekeza kwenye masoko ya hisa na nikafanya maamuzi ya kununua hisa katika kampuni moja ya uchimbaji na utafutaji wa mafuta inayoitwa Swala energy.

Basi nikapewa list ya kampuni zilizo listed katika soko la hisa Dar es Salam stock exchange ndipo nikachagua kampuni hiyo kwa vile ndio ilikuwa inafanya IPO yaani initial public offer kwa Mara ya kwanza, na mimi nikashawishika na nikaamua kununua hisa za milioni mbili kila hisa Moja iliuzwa 500 hivyo nikafanikiwa kununua hisa za 2m sawa na hisa elfu 4000.

Basi baada tu ya kununua hisa ktk kampuni hyo baada ya week mbili hisa zikapanda value kutoka 500 Hadi 1000 kwa kila Moja nikataka kuuza nikaambiwa na jamaa angu kuwa nisubiri kwa vile itaendelea kupanda Kweli baada ya Kama miezi miwili hivi hisa ktk kampuni hyo ikashuti Hadi kufika 2100 nikaona wacha niuze.

Jamaa yangu ambae ni mzoefu akaniambia nisiwe na haraka zitaendekea kupanda zaidi na tutapiga pesa ndefu za maana.

Wakati nikitamani kuuza hisa zangu nikaanza kuona zikistak ikibakia palepale kwa muda wa kama mwezi nzima bila kupanda wala kushuka.

Ajabu ghafla bin vuu nikaanza kuona inaporomoka Tena Bei zake nikaanza kutafuta dalali aniuzie, mimi kipindi hicho niko Tabora ikawa kama simuamini dalali yule kwani yeye alitaka nimtumie dcm zangu zote nikaona nikipata chance nikimbie Dar faster nikaziuze.

Kadri siku zinavyozidi kwenda na mimi kubanwa na kazi nilishutukia hisa zimeporomoka kwa kasi ya kutisha na kumpata mteja ikawa ngumu pia 😂 aise hyo ni biashara kichaa sana yaani una hisa zako ila kupata mteja wa kuzinunua hupati.

Kuna wakati nimecheki mwenendo wa hiyo kampuni nikakuta hisa Moja Ni 234, hisa zimeporomoka Sana nikakata tamaa kabisa nimetulia na Sina pa kupeleka kesi hiyo.

Kama kuna wazoefu nipeni mbinu nifanye nini ili niweze kurescure hicho hisa zangu hata Kama zimeporomoka Bei, kampuni haijawi kunipa gawio Wala kuitwa mkutano mkuu wa mwaka kwa kifupi ni matapeli wa enz za JK ndio waliniingiza mjini for the first time

Kweli sina hamu kbsa kwenye masoko ya hisa na mamlaka zake za mitaji na dhamana hi biashara imekaa kitapeli sana.

Na mbaya zaidi Magu alivyoingia madarakani masoko ya hisa likawa Kama kaburi wazi.

Niwaonye vijana kuweni makini na hayo Mambo ya hisa Kuna utapeli Sana unaendelea sana.
Nilinunuaga crdb his a 3150 kea ah.450 kila moja ,alipoingua Jiwe zikashuka hadi ah.100 baadaye zilipanda ,nikaziuza 250 sh.Kutika 1,400,000 niliambulia 800000
 
 
Hakuna utapeli mkuu swala ni kuwa hukuwa na taarifa sahihi.angalia hiyo video hapo jamaa akieleza namna ya kununua hisa katika IPO
 
NMB nashukuru kila Juni ya mwaka huwa napokea Gawio la 640,000,nawaza sijui niongezee au niuze tu Hisa zangu??
 
Back
Top Bottom