Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole sana
Niliwahi kutapeliwa cm nikajifungia chumbani nililia adi nikapata homa
Siwezi kusahau
😅😅😅😅 Ee bwana. Ili iwe clear kwa kila mtu, hata mhangaKwamba umeandika kwa maneno kabisa🤣🤣🤣
Subiria machungu yapoe kwanza. Sasa hivi atakuwa yupo chooni analia 😅Mbona husemi maelekezo aliyokupa?
Siku ukitapeliwa ndyo utajua elimu haina nafasi kwa hawa matapeli kukufanya chochotElimu yako darasa la ngapi!?
DegreeElimu yako darasa la ngapi!?
Ilikuwa ni haraharaka sana, yalikuwa ni maelekezo ya kubonyeza namba tu. Kitu ambacho niliiweka kwa akili yangu ni password tu baada ya kuniambia niweke. Ndipo nikapokea meseji ya kuhamisha pesa na kupigwa na butwaa.Mbona husemi maelekezo aliyokupa?
Kipindi unafnya hivyo, ulikuwa una akili timamu.Ilikuwa ni haraharaka sana, yalikuwa ni maelekezo ya kubonyeza namba tu. Kitu ambacho niliiweka kwa akili yangu ni password tu baada ya kuniambia niweke. Ndipo nikapokea meseji ya kuhamisha pesa na kupigwa na butwaa.
Logic and reasoning skills.Kwani kutapeliwa kunahusiana nini na elimu
Tangu lini watu wa benki wakahitaji password yako tena kwa kupiga simu wewe jamaa umetapeliwa kizembe sana , inaonekana unauzoefu mdogo sana na mambo ya benki anyway ni kheri umejifunza .Ilikuwa ni haraharaka sana, yalikuwa ni maelekezo ya kubonyeza namba tu. Kitu ambacho niliiweka kwa akili yangu ni password tu baada ya kuniambia niweke. Ndipo nikapokea meseji ya kuhamisha pesa na kupigwa na butwaa.
Utakuwa umetapeliwa kirahisi sana. Au ndo tea bila sugar.Mida ya saa 5 asubuhi simu yangu inaita, kuangalia ni namba mpya nikapokea. Hallo, upande wa pili ukaitika, naongea na fulani? (akataja jina langu), nikajibu ndiyo.
Unaongea na huduma kwa wateja kutoka Benki tunafanya maboresho kwenye account yako ya benki, hii namba naoma ndiyo imesajiliwa na huduma za benki, nibeep kwa namba nyingine ambayo haijaungwa na benki nikuelekeze cha kufanya. Nikafanya hivyo.
Alipopiga mara ya pili, akaanza kunipa maelekezo nami nikaanza kufata kila anachoniambia bila hiana.
Cha ajabu nikashangaa inaingia meseji "Umefanikiwa kutuma TZS 998800 kwenda namba 07**********". Nilivyoona hiyo meseji nikashtuka moyo ukalia paaaa nikajisemea tayari nimepigwa. Nikakata simu, nikapigwa na bumbuwazi kwanza kwa dakika kadhaa baadae nikapiga namba hiyo ikawa haipatikani.
Ndiyo nikawa nimetapeliwa hivyo. Inauma sana.
Kwa kweli ni uzembe mno, mpaka naogopa kuwaelezea watu watanishangaaTangu lini watu wa benki wakahitaji password yako tena kwa kupiga simu wewe jamaa umetapeliwa kizembe sana , inaonekana unauzoefu mdogo sana na mambo ya benki anyway ni kheri umejifunza .
Kwann usngepga huduma kwa mteja ukazuia muamala au kwenye apps ukafanya reverse mbona mnafanya maisha kua magumu nyie watuPole
Namimi leo nmekosea kufanya muamala nmetuma kwa mtu mwingine 450,000/= tshs.
nmejaribu kuipiga iyo namba zaidi ya 50x lakini haipokelewi mpaka sasa.
saiv nipo kulewa