Jinsi Nilivyotapeliwa Kijinga Sana, Nimejifunza

Jinsi Nilivyotapeliwa Kijinga Sana, Nimejifunza

Mbona husemi maelekezo aliyokupa?
Ilikuwa ni haraharaka sana, yalikuwa ni maelekezo ya kubonyeza namba tu. Kitu ambacho niliiweka kwa akili yangu ni password tu baada ya kuniambia niweke. Ndipo nikapokea meseji ya kuhamisha pesa na kupigwa na butwaa.
 
Ilikuwa ni haraharaka sana, yalikuwa ni maelekezo ya kubonyeza namba tu. Kitu ambacho niliiweka kwa akili yangu ni password tu baada ya kuniambia niweke. Ndipo nikapokea meseji ya kuhamisha pesa na kupigwa na butwaa.
Tangu lini watu wa benki wakahitaji password yako tena kwa kupiga simu wewe jamaa umetapeliwa kizembe sana , inaonekana unauzoefu mdogo sana na mambo ya benki anyway ni kheri umejifunza .
 
Mida ya saa 5 asubuhi simu yangu inaita, kuangalia ni namba mpya nikapokea. Hallo, upande wa pili ukaitika, naongea na fulani? (akataja jina langu), nikajibu ndiyo.
Unaongea na huduma kwa wateja kutoka Benki tunafanya maboresho kwenye account yako ya benki, hii namba naoma ndiyo imesajiliwa na huduma za benki, nibeep kwa namba nyingine ambayo haijaungwa na benki nikuelekeze cha kufanya. Nikafanya hivyo.
Alipopiga mara ya pili, akaanza kunipa maelekezo nami nikaanza kufata kila anachoniambia bila hiana.
Cha ajabu nikashangaa inaingia meseji "Umefanikiwa kutuma TZS 998800 kwenda namba 07**********". Nilivyoona hiyo meseji nikashtuka moyo ukalia paaaa nikajisemea tayari nimepigwa. Nikakata simu, nikapigwa na bumbuwazi kwanza kwa dakika kadhaa baadae nikapiga namba hiyo ikawa haipatikani.
Ndiyo nikawa nimetapeliwa hivyo. Inauma sana.
Utakuwa umetapeliwa kirahisi sana. Au ndo tea bila sugar.
 
Kutapeliwa kunauma jmn, mimi kuna siku kidogo nitapeliwe na mtu alikuwa kavaa pete akisema yeye ni mtabiri.Akaniambia kuna watu wanakuloga mara hivi mara vile,mwisho akaniambia niende nyumbani nikamletee hela za mama yaani alikuwa kila analoongea namsikiliza kumbe alikuw anatumia uchawi😂😂😂
 
Tangu lini watu wa benki wakahitaji password yako tena kwa kupiga simu wewe jamaa umetapeliwa kizembe sana , inaonekana unauzoefu mdogo sana na mambo ya benki anyway ni kheri umejifunza .
Kwa kweli ni uzembe mno, mpaka naogopa kuwaelezea watu watanishangaa
 
Pole

Namimi leo nmekosea kufanya muamala nmetuma kwa mtu mwingine 450,000/= tshs.

nmejaribu kuipiga iyo namba zaidi ya 50x lakini haipokelewi mpaka sasa.

saiv nipo kulewa
Kwann usngepga huduma kwa mteja ukazuia muamala au kwenye apps ukafanya reverse mbona mnafanya maisha kua magumu nyie watu
 
Back
Top Bottom