Jinsi Nilivyotapeliwa Kijinga Sana, Nimejifunza



Hivi bado mnatapeliwa kijinga hivyo na unaona fahari kuja kutangaza ujinga wako humu jf??
 
Daaah pole sana pesa yenyewe inaanza kama control number, ni makatili sana hao majamaaa
 
Watu kama nyie mnatakiwa kupigwa shaba, nchi ina watu wajinga sana wakati huo huo tunasubiria maendeleo. Pathetic
 
Tangu lini watu wa benki wakahitaji password yako tena kwa kupiga simu wewe jamaa umetapeliwa kizembe sana , inaonekana unauzoefu mdogo sana na mambo ya benki anyway ni kheri umejifunza .
Sio kwa ubaya,ila jamaa katapeliwa kizembe sana.
 
MIMI KAMA WIKI MBILI ZILIZOPITA WALINIPIJIA WAKAJIFANYA CUSTOMER CARE NILIWATUKANA SANA..ILA MATUKIO KAMA HAYA NDIO YANAONDOA WATU UJINGA...CUTOMER CARE NI NAMBA MAALUMU KABISA HUWEZI KUONA NAMBA ZA KAWAIDA
 
Kwann usngepga huduma kwa mteja ukazuia muamala au kwenye apps ukafanya reverse mbona mnafanya maisha kua magumu nyie watu
Izo njia zote nilifata mkuu ila nilkuja kugundua kuwa nimekosea muamala baada ya muda kupita hela ikawa imeshatolewa na saiv iyo namba haipatkani tena
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…