Jinsi Nilivyotapeliwa Kijinga Sana, Nimejifunza

Pole kuwa makini next time. Mjini mipango. Nishawahi kupigiwa simu na watu wa pembejeo back in 2013. Niliwarecord vyema.

Uzuri niliwashtukia simu ya kwanza tu nikawa nawaenjoy....

Ila Protector imeshindwa kujiprotect😀😀😀
 
Pole kuwa makini next time. Mjini mipango. Nishawahi kupigiwa simu na watu wa pembejeo back in 2013. Niliwarecord vyema.

Uzuri niliwashtukia simu ya kwanza tu nikawa nawaenjoy....

Ila Protector imeshindwa kujiprotect😀😀😀
Mzee mwanzangu acha tu, tena alivyotaja jina langu ndiyo nikaamini kabisa. Lakini kwa sasa nimejifunza kosa kurudia kosa
 
Mkuu kwa nini huweki hiyo namba ya huyo tapeli? Si tueambiwa simu ambazo hazijahakikiwa zimeshafungiwa? Labda wahusika wanaweza kufanya tracing wakampata
 
UJINGA + UTAPELI = UMASKINI hapo hakuna wa kumcheka mwenzie maana hata huyo tapeli atarudi kulekule kwenye umaskini maradufu..
 
Hivi bado mnatapeliwa kijinga hivyo na unaona fahari kuja kutangaza ujinga wako humu jf??
Tambua kitu kimoja elimu haina mwisho kuna mtu hajazaliwa au hana ujuzi wa mambo haya akipitia uzi huu atapata maarifa yatakayomwongezea ufahamu kuhusu inshu za utapeli
 
Kila siku Polisi ,Bank na Makampuni ya simu yanatoa taarifa za UTAPELI lakini watu hawajifunzi.

Taarifa za Kibank au Kisimu zinakuwa updated physically na kama kukutaarifu uende utapigiwa na namba 100 tofauti na hapo ni UTAPELI.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…