Jinsi nilivyougua miaka mingi na kunusurika kifo baada ya kurogewa uchawi wa bundi

[emoji1787][emoji1787] Kuna watu wamepinda jamani
 
Fuatana na mimi sasa
Baada ya kuwa nimejirusha kwenye maji dada yangu anaendelea kunisimulia kuwa nilionyesha umahiri wa hali ya juu wa kuyakata maji huku nikizama na kuibuka, katika hali ya mshangao kuna wakati nilizama kwenye maji na nikaibuka na mamba nikiwa nimemkaba koo kisawasawa hali akawa anatoa machozi.Hali ilizidi kuwa ni ya taharuki baada ya yule mamba kunizidi nguvu na kuanza kunishambulia ,watu wote walianza kushika vichwa vyao na kuanza kuomboleza.Ghafla yule shemeji yangu mtu wa Dar es salaam aliamua kujitosa kichwa kichwa kwenye maji kitendo ambacho kiliwashangaza wengi kwa sababu alikuwa hajui kuogelea hasa ukichukulia yeye ni mzaliwa wa Dar es salaam maeneo ya Kazula mimba mkoani Dododoma.itaendelea
 
Ha ha ha ....🤣🤣🤣🙌
 

Acha sifa za kingese mkuu, wewe ni mtu mzima jitambue basi...

Nyie ndo wale vijana mnagombea remote na na wadogo zenu wa darasa la 2.
 
Daah ila watu [emoji23][emoji23][emoji23][emoji847]
 
Nlitaka kuchangia ila nlivoona neno jemedali nkaona wa ni mmoja ya watu wasomjua Mungu bali unaabudu mtu.Ova
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…