Kama unaonea inakera usisome.Nine ingia nika smille leo ume andika epsode ndefu kusona nusu story nzima una tumia kumuelezea mganga alaaah ..hujui ata kufupisha story. kutoa vitu visivyo kua na maana..
Acha kusoma, au umeshikiwa kisu shingoni?Nine ingia nika smille leo ume andika epsode ndefu kusona nusu story nzima una tumia kumuelezea mganga alaaah ..hujui ata kufupisha story. kutoa vitu visivyo kua na maana..
Katika vitu nlokuwa sivimaindi rafiki yangu basi ni urojo. Kheri nile ugali kila sikuRafiki unapenda simulizi kuliko urojo![emoji1][emoji1][emoji1]
Tutaendelea baadaeTheDreamer Thebeliever tunakusubiri umalizie huku
Mkuu wewe huoni jamaa anatuchelewesha?Nyie ni wehu, nimecheka sana aisee.
Hahahahahaaaa.Mdio maana watukanaga watu humu mkijua wote mpo sawa humu eti eenh.
Ungenitafuta faragha ningekwambia ID ya mzee wetu Mwinyi ni ipi humu
[emoji23][emoji23][emoji23]
Kazula mimba in Musa chesa voice....🤣🤣🤣...we ni mwehuFuatana na mimi sasa
Baada ya kuwa nimejirusha kwenye maji dada yangu anaendelea kunisimulia kuwa nilionyesha umahiri wa hali ya juu wa kuyakata maji huku nikizama na kuibuka, katika hali ya mshangao kuna wakati nilizama kwenye maji na nikaibuka na mamba nikiwa nimemkaba koo kisawasawa hali akawa anatoa machozi.Hali ilizidi kuwa ni ya taharuki baada ya yule mamba kunizidi nguvu na kuanza kunishambulia ,watu wote walianza kushika vichwa vyao na kuanza kuomboleza.Ghafla yule shemeji yangu mtu wa Dar es salaam aliamua kujitosa kichwa kichwa kwenye maji kitendo ambacho kiliwashangaza wengi kwa sababu alikuwa hajui kuogelea hasa ukichukulia yeye ni mzaliwa wa Dar es salaam maeneo ya Kazula mimba mkoani Dododoma.itaendelea
Unakuwa mlevi,je mtu mlevi ni rahisi kuacha ulevi mara moja?Mkuu umesema mtu akianza kwenda kwa waganga hawezi kuacha tena. Je hadi Leo wewe unaendelea na hizo imani?!
[emoji44][emoji44][emoji44][emoji44]Unakuwa mlevi,je mtu mlevi ni rahisi kuacha ulevi mara moja?
Hapa pana maana kwamba ukishaingia kwenye mambo ya shetani ni ngumu shetani kukuruhusu utoke kirahisi .