TheDreamer Thebeliever
JF-Expert Member
- Feb 26, 2018
- 2,490
- 3,584
- Thread starter
- #121
Endelea...
Walivyonifikisha Dar shemeji na dada hawakukawia walikaa siku mbili maandalizi yakafanyika nikapelekwa hospital ya binafsi maarufu kama Hindu Mandal ,siku hizi mmezoea kuiita Shree Hindu Mandal hospital maarufu sana kwa kipindi hicho katika jiji la Dar Es Salaam .
Endelea..
Sina kumbukumbu sahihi kwa kipindi hicho maana sasa hivi jiji limejengeka sana nasikia mpaka kuna barabara zinazopisha juu kwa juu,enzi hizo barabara nyingi zilikuwa vumbi hata kariakoo nyumba nyingi zilikuwa za udongo hakukuwa na maghorofa kama kipindi hiki lakini nafikiri hospital hii ilikuwa karibu na mtaa wa India kama unaenda shule ya Zanaki.
Walivyonifikisha Dar shemeji na dada hawakukawia walikaa siku mbili maandalizi yakafanyika nikapelekwa hospital ya binafsi maarufu kama Hindu Mandal ,siku hizi mmezoea kuiita Shree Hindu Mandal hospital maarufu sana kwa kipindi hicho katika jiji la Dar Es Salaam .
Endelea..
Sina kumbukumbu sahihi kwa kipindi hicho maana sasa hivi jiji limejengeka sana nasikia mpaka kuna barabara zinazopisha juu kwa juu,enzi hizo barabara nyingi zilikuwa vumbi hata kariakoo nyumba nyingi zilikuwa za udongo hakukuwa na maghorofa kama kipindi hiki lakini nafikiri hospital hii ilikuwa karibu na mtaa wa India kama unaenda shule ya Zanaki.