Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

Jinsi ninavyotumia gari kama mtego wa warembo

Habari zenu wakuu, leo nataka niwasimulie jinsi ninavyotumia Gari kama ulimbo wa kuwanasa watoto wazuri, naamini mtaenjoy sana hasa kisa cha binti Rachel nasema uongo ndugu zangu?

Kwakuwa mara nyingi nakuwa na safari za kwenda Dodoma kikazi (maana ndipo ilipo Serikali), basi gari langu
Hv wew ndio mwajiriwa wa serekalininkweli serekali ya mam samia iko na kaz kubwa kam wee ndio afisa wa serekali muhuni kias chake


Ngoja nitakudaka hapo ddm
 
Hv wew ndio mwajiriwa wa serekalininkweli serekali ya mam samia iko na kaz kubwa kam wee ndio afisa wa serekali muhuni kias chake


Ngoja nitakudaka hapo ddm

Unafikiri kule Mama Kaajiri malaika tupu au Sio...(Ni wivuu tu ..)
 
Una miaka mingapi? Maana kwa wenzetu ulaya kijana wa miaka 23, anatengeneza apps, na ana kipato kama waziri mkuu wa bongo.

Wenzako wa Ulaya au Sio, same age as U [emoji1787][emoji1787], being multidollars billionaires, wewe una uwekezaji kiasi gani hadi sasa [emoji19] [emoji706][emoji706]
 
Back
Top Bottom