Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

Huyo ndugu yenu hachomoki... Akimaliza kubakwa kule mahabusu atafuata nyayo za mwendazake!
Kwa taarifa yako... Kabeba hadi zile kesi, laana na madhambi ya baba yake!!
 
Mkuu mbona waliripoti ila walipotezewa? Polidi wangemshitaki vipi bosi wao?
 
Sasa kwenye hili hao CHADEMA wameingiaje? Kahojiwa na TAKUKURU ya CHADEMA? Kakamatwa na Polisi wa CHADEMA? Kafikishwa Mahakama ya CHADEMA? Au hata Kisongo ni gereza la CHADEMA?
CHADEMA ndiye mlalamikaji, shahidi, ripota, na msikilizaji. Nasikia kuna mabadiliko?
 
Mpuuzi wewe, kakamatwa na CHADEMA?
 
PUMBAVU ZAKO
 
Naogopa kuendelea kusoma klip hii, pengine imeandikwa na mgonjwa aliyetoroka Mirembe na yuko mitaani. Asije umiza watu, mrudisheni hukooo
 
We jamaa Mbona unahangaika Sana?,Hivi huoni Haya kumtetea jambazi huyu Sabaya?.Watu km ninyi bora baba zenu wangemwaga nje sperm zao.Mtu ametesa watu,ametumia madaraka vibaya wewe unakuja kumtetea kwa kukaza misuri namna hiyo?.Hopless kabisa.Kwanini usiende gerezani ukawatetee watanzania wenzetu waliofungwa kwa kuonewa na hawana uwezo wa kujitetea?, Akina Azory Gwanda,Ben Saanane wamepotea, Mbona hujaja kuwatetea?,Watu maelfu wamedhulumiwa haki zao hukuja kuwatetea iweje Leo kwa mhuni Sabaya?.

Sent from my Infinix X688C using JamiiForums mobile app
 
Nafikiri wewe ni mmojawapo wa wale mabaunsa wake, ama ni mlevi fulani wa siasa za mwendazake. Usifikiri mahakama inatoa hukumu kwa jinsi unavyojua tu. Wanaangalia pia historia, mazingira na kadhalika. Kwenye kesi ya mirathi ya marehemu R. Mengi kwa mfano kama ni ushindi ungekuwa wa Jackline Mengi kwa sababu ni kweli kwamba mzee Mengi ndiye aliyeandika ule wosia na mahakama haikukataa. Ila baada ya kuangalia mazingira hakimu akakataa na hukumu ikatolewa kinyume wosia wa marehemu. Nakushauri uende kanisani au msikitini ukaombewe ili hili pepo la kushabikia uovu na waovu likuachie.
 
We ni danga tu! Subiri uone kitu tutamfanya wee pimbi! Hata akichomoa kule mahakamani huku kitaa hachomoki labda amufuate babake jehanamu!
 

Ama kweli mmeamua. Si kidogo maana mmeuvaa ukibwetere bila kuacha chenji.

Mmemkagua na kondakta kupata hata kajimrejesho ka kuwa kwani yeye hadi hapa tulipo half time, Sabaya akiwa nyuma ya nondo yeye anasema je?
 
CHADEMA ndiye mlalamikaji, shahidi, ripota, na msikilizaji. Nasikia kuna mabadiliko?
Sifahamu kuhusu hilo aise. Pamoja na yote vijana tuache kujitutumua tupatapo nafasi mambo mengine ni kujichimbia kaburi mapema sana.
 
Kuna yule tajiri wa kichagga kuna clip akimshutumu sabaya kwenye mkutano wa wawekezaji kumdai fedha kisha eti mwenzake akamshauri mlipe tu. Huu ni uzandiki wa juu. Katika kikao hicho huyo tajiri akamtaja pia makonda japo sio kiongozi. Ukimsikiliza utaelewa njama za kulipiza kisasi baada ya mwendazake jpm . Hapo ndio tunaona hichi kiburi bwanyenye wakwepa kodi na watumishi wala rushwa wanakitoa wapi baada ya team ya mama kukalia kiti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…