Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

Kesi ya Sabaya haitafika hata Dhg
Pole,ila ni imani yangu kuwa unapenda matumizi ya nguvu na huamini hata katika taratibu na sheria zinazotuongoza, acha apate haki yake kwa mujibu wa sheria.
 
Tuache
Tuache ramli... Mahakama ndio yenye kutoa hukumu
 
Kwa sisi watendaji wafuata nyayo na tuliosoma ant money laundering ,tax avoidance,audit assurance na masomo mengine tunamkubali sana sabaya.
Tatizo siasa ndizo zinatufanya watu tusihoji vitu na baadhi kutajirika kupita kiasi.

Sent from my Infinix X690 using JamiiForums mobile app
 
Imeandikwa karne nyingi sana zilizo pita na Manabii kuwa

"ukiishi kwa upanga utakufa kwa......"
Hii kila mtu humu jf anaijua.

Sasa Jiwe na watu wake waliishi kwa upanga mkali tukadhani ni malaika kuuumbe!! nao wanadamu zinatiririka mwilini.....

Ndo yanayo wapata leo!! Na mtegemee mengi zaidi ya hayo dhambi ile lazima iwatafune. Haina msamaha labda mtubu kwa dhati....
 
Nenda kamtembele kisongo huko Acha blah blah,mpeleke sabuni,wembe etc
Utamfanyie msaada mkubwa kuliko kutwa kuandikaandika humu

Ova
 
Bishaneni wenyewe kwa wenyewe huko CCM usitulilie hapa.
 
CCM imkamate imweke mahabusu kelele uwapigie chadema hivi unaakili kichwani kweli wewe?
 
Mademu wa Sabaya mnateseka kama misukule ya mwendakuzimu wa Chattle..

Sisi tunasema, na bado. Kazi iendelee
 
Nenda kamtembele kisongo huko Acha blah blah,mpeleke sabuni,wembe etc
Utamfanyie msaada mkubwa kuliko kutwa kuandikaandika humu

Ova
We pimbi kaa kimya, umelazimishwa kupost au kusoma
 
Kesi iko mahakamani....ni vizuri kumsaidia huko na si hapa...kesi iko mahakamani

Futa uzi Paw
Fang
 
Hapo wamepika hizo kesi kumkomoa asiweze kutoka kwa dhamana. Watachelewesha kesi ili kumkomoa. Ina maana kuna zengwe wenyenacho wamepata partners kwenye huu utawala unaojidai na magufuli ni kitu kimoja.
 
Najiuliza kwa nini sisi tunaopenda haki itendeke na sheria ifuatwe tunaitwa Chadema?.
Au ni kwa sababu walioumizwa ni wananchi wenye mrengo wa Chadema?
Pia kaumiza wananchi wenye mrengo wa CCM mafano diwani wa kata aliyepigwa vibaya pale soko kuu Arusha.
Naona unaleta hoja kutoa repoti Polisi, wengi waliotendewa walitoa repoti Polisi ila polisi hawakuweza kuchukua hatua yoyote mfano mzuri ni matukio ya Arusha kama la kupigwa kwa diwani, kulala hotelini na kutolipa katika mahotel mbali mbali na hata kujeruhi watu. Hata tukio la kuvamia hotel hai lilirepotiwa polisi hadi umoja wa mataifa wakakanusha kuwa lile gari sio lao na kutaka mamlaka za Tanzania zifanye uchunguzi wa hilo gari.
 
Unatumia nguvu hadi za ziada kumsafisha mme wako.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…