Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

Natamani nifunguke ila nitatambulika kirahisi sana. Kwa ufupi nilikuwa eneo la tukio. Polisi walienda hadi wakapewa pf3 wakaenda kutibiwa mount meru hospital.
Tukio litokee Februari 9 muda wote walisubiri nini? Ulikuwepo wakati wa tukio acha uongo wa kipuuzi. Diwani anadai kupigiwa simu kutoa msaada na yeye akapata kipigo. Wewe nae ulipigwa?
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Kinachosikitisha mashtaka ya kwenye charge sheet hayana uzito ukilinganisha na kelele zinazopigwa. Na mimi naamini kuna misukumo wa kisiasa.
Eti ujambazi wa kupitia, alafu Apple shilingi 35,000.00 au laki moja!
Na huyo anayesema alimhonga milioni 90 kuna madeali mengi nyuma yake; Je na yeye ameshtakiwa kwa kutoa rushwa? Na ikumbukwe anatengeneza pombe Kali feki na hivyo kusababisha vifo kwa magonjwa yatokanayo na hilo kama matatizo ya figo. Kwa hiyo ana matatizo na makosa makubwa zaidi, me kachunguzwa?
 
Tukio litokee Februari 9 muda wote walisubiri nini? Ulikuwepo wakati wa tukio acha uongo wa kipuuzi. Diwani anadai kupigiwa simu kutoa msaada na yeye akapata kipigo. Wewe nae ulipigwa?
Wewe kaa kwa kutulia subiri ushahidi utolewe hadharani mbona mtakimbiana mnaotetea jamabazi, muuwaji, mbakaji na mla rushwa. Unataka upewe ushahidi humu jukwaani ili ujue utamsaidia vipi?
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Ni muhimu kutofautisha kati ya Chadema na serikali
Ukitafakari kidogo tuu utaona tofauti
 
Sasa kwenye hili hao chadema wameingiaje? Kahojiwa na Takukuru ya Chadema? Kakamatwa na polisi wa chadema? Kafikishwa mahakama ya chadema? Au hata Kisongo ni gereza la chadema?
Itakuwa mkuu wa TAKUKURU ni Chadama!
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya

Takukuru baunsa mwingine wa sabaya huyu.
 
Umeandika ugolo. Wew ni miongoni wa mliofaidika na dhuluma za Sabaya, hela ya supu imekata au, jinai haiishi
Kweli kabisa. CHAWA wa Sabaya wapo wengi wanamtetea. Walinufaika na uongozi dhalimu.
 
Wajane wa mwendzake lazma mfarijiane
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Mabosi siyo chakula Bali mabaki ya pombe baada ya kuchujwa! Wewe umeyala na Sasa yanakulevya!
Nasikia unajiita mwanasheria kwangu siyo shida kwani hata maprofesa wengi mtaani ni wale wahanga wa kienyeji!
Uweke ushahidi hapa nje ya uke wa polisi iliyotumika mahakamani juu ya kifo Cha Chacha Wangwe! Huna nyamaza na zingatia Sheria juu ya hear says ambazo huwezi kuziproove mahakamani. Kaitafute hukumu ya kesi Ile uisome na kama utaona sehemu iliyohusisha CDM uje nikupe pesa za kufungua kesi upya!
Kufukua makaburi na kuinanga CDM kuhusika na mauaji ni mbinu za Zama za mwendazake na amazikwa nazo! Sahau teuzi ya aina yoyote kupitia uanaharakati wako huo wa kibwege kwani hujui kuwa mteuaji hapendi watu wa majungu Bali wasema kweli!
Utasubiri Sana shemeji yangu mla mbwa!
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Hakuna jipya chini ya siasa
Kinachofanyika ni mama kutafta popularity kwa upinzani, kwa kutolewa sadaka kwa baadhi ya waliokuwa mwiba kwa upinzani,
Mama kashagundua fika kuwa raia hawamkubali na haeleweki kabisa,
Anajaribu kutumia jukwaa la upinzani lililojaa wanaharakati apate kupaika,
Chama chake kipo silence kucheki movie tu inavyo kwenda na wala hakuna tamko lolote lile la kumuunga mkono harakati zake, si CCM taifa wala UVCCM, UWCCM, wote wapo kimya hawajatoa tamko la kumuunga mkono,
Anajaribu kuuridhisha upinzani huku akijimaliza mwenyewe,
Tuhuma za sabaya zinagusa wengi hasa jeshi la polisi,
Ata yeye mama anahusika pia kwani alikuwapo kwenye kutoa maoni yake kwa bosi wake kuhusu trend za kijana wao kama ni kweli,

Sisi MATAGA SI MATALA tena,
Tunaelewa sana
Nchi inaongozwa kwa majungu ya wanaharakati

Tuhuma kwa watu walifanya vizuri kwa maslahi ya wengi zitaendelea sana,
Series ipo kwa wanaharakati, mama anashinda Twitter kupitia nani katajwa Leo na wanaharakati,

Majungu, majungu majungu yashapata wa kuyafanyia kazi

Wacha goma liende tu, hamnna jipya to those Era.

RIP#JPM, mtetez wa wengi, nitakukumbuka daima
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Ngoja wakutafute ukathibitishe huo ushahidi wa kutengeneza.
 
Kama vyombo vya usalama wanaweza kuajr poyoyo kama ww bc hyo nchi itakuwa shimon kabsa
Aliekuambia nafanya kazi za vyombo vya usalama nani? Kama wamepewa hiyo dhamana mbona rais kamuambia Igp wafute kesi walizobambikia watu makosa? Tumia akili bwege mkubwa.
 
Back
Top Bottom