Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

Jinsi Ole Sabaya atavyochomoka kwenye mikono dhalimu iliyombambikia kesi

Najiuliza kwa nini sisi tunaopenda haki itendeke na sheria ifuatwe tunaitwa Chadema?.
Au ni kwa sababu walioumizwa ni wananchi wenye mrengo wa Chadema?
Pia kaumiza wananchi wenye mrengo wa CCM mafano diwani wa kata aliyepigwa vibaya pale soko kuu Arusha.
Naona unaleta hoja kutoa repoti Polisi, wengi waliotendewa walitoa repoti Polisi ila polisi hawakuweza kuchukua hatua yoyote mfano mzuri ni matukio ya Arusha kama la kupigwa kwa diwani, kulala hotelini na kutolipa katika mahotel mbali mbali na hata kujeruhi watu. Hata tukio la kuvamia hotel hai lilirepotiwa polisi hadi umoja wa mataifa wakakanusha kuwa lile gari sio lao na kutaka mamlaka za Tanzania zifanye uchunguzi wa hilo gari.
Wewe uliona kwa macho yako diwani akipigwa? Uliona alichoandika Ngurumo juu ya huyu diwani. Kwa nini wale wenye duka waliokuwa wanateswa hawakushitaki?
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Umegoma kabisa kutumia akili
 
sby.jpg

Amekuwa Wema Sepenga ndani ya siku 7 tu, halafu anajiita jasiri wa kimasai! Jasiri anakonda kwa kuhojiwa siku 7 tu? Huyu akikaa kule ndani mwaka mmoja anakata kamba!
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
its so funny. unadai ushahidi ni wa kutengeneza?
unao ambao si wa kutengeneza?

umehoji wanao mshtaki?

acha kufajifanya unafanya kazi ya vyombo vya usalama. wao wamepewa dhamana ya kuchunguza na lukusanya ushahidi.
hizo assumption unazokuja nazo bila vidhibitisho.. zitaishia humu tu.
 
hKwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Ndugu yangu,
Labda unisaidie, hivi kwani CHADEMA bado ipo?
 
ulikuwa wapi majambazi walipoambiwa chapeni kazi?
 
Laiti ungelijua usingethubutu kuandika huu upuuzi.
Aacha kuonesha upumbavu wako mbele za watu. Chadema haina TAKUKURU wala Jeshi la Polisi. Hivi chadema ikifutika mtakuwa mnatumia chama gani kuongelea pumba zenu?
 
Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'

Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?

Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.

Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.

My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Utumbo mtupu umeandika hapa.. Mataga mnateseka sana.. Chadema wamehusikaje hapo kwa sabaya kukamatwa..
 
lilechozi la sabaya kwenye msiba lilikuwa la maana sana.haya ndio matokeo ya lile chozi jamaa alikuwa halilii na msiba alikuwa analia na mambo haya.
 
its so funny. unadai ushahidi ni wa kutengeneza?
unao ambao si wa kutengeneza?

umehoji wanao mshtaki?

acha kufajifanya unafanya kazi ya vyombo vya usalama. wao wamepewa dhamana ya kuchunguza na lukusanya ushahidi.
hizo assumption unazokuja nazo bila vidhibitisho.. zitaishia humu tu.
Aliekuambia nafanya kazi za vyombo vya usalama nani? Kama wamepewa hiyo dhamana mbona rais kamuambia Igp wafute kesi walizobambikia watu makosa? Tumia akili bwege mkubwa.
 
Wewe uliona kwa macho yako diwani akipigwa? Uliona alichoandika Ngurumo juu ya huyu diwani. Kwa nini wale wenye duka waliokuwa wanateswa hawakushitaki?
Natamani nifunguke ila nitatambulika kirahisi sana. Kwa ufupi nilikuwa eneo la tukio. Polisi walienda hadi wakapewa pf3 wakaenda kutibiwa mount meru hospital.
 
Back
Top Bottom