Ngalikihinja
JF-Expert Member
- Sep 1, 2009
- 33,643
- 36,090
Mwehu huyo... Achaneni naye tuSasa kwenye hili hao chadema wameingiaje? Kahojiwa na Takukuru ya Chadema? Kakamatwa na polisi wa chadema? Kafikishwa mahakama ya chadema? Au hata Kisongo ni gereza la chadema?
Wewe uliona kwa macho yako diwani akipigwa? Uliona alichoandika Ngurumo juu ya huyu diwani. Kwa nini wale wenye duka waliokuwa wanateswa hawakushitaki?Najiuliza kwa nini sisi tunaopenda haki itendeke na sheria ifuatwe tunaitwa Chadema?.
Au ni kwa sababu walioumizwa ni wananchi wenye mrengo wa Chadema?
Pia kaumiza wananchi wenye mrengo wa CCM mafano diwani wa kata aliyepigwa vibaya pale soko kuu Arusha.
Naona unaleta hoja kutoa repoti Polisi, wengi waliotendewa walitoa repoti Polisi ila polisi hawakuweza kuchukua hatua yoyote mfano mzuri ni matukio ya Arusha kama la kupigwa kwa diwani, kulala hotelini na kutolipa katika mahotel mbali mbali na hata kujeruhi watu. Hata tukio la kuvamia hotel hai lilirepotiwa polisi hadi umoja wa mataifa wakakanusha kuwa lile gari sio lao na kutaka mamlaka za Tanzania zifanye uchunguzi wa hilo gari.
Umegoma kabisa kutumia akiliKwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'
Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?
Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.
Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.
My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
its so funny. unadai ushahidi ni wa kutengeneza?Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'
Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?
Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.
Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.
My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Ndugu yangu,hKwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'
Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?
Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.
Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.
My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
π π π π πCCM imkamate imweke mahabusu kelele uwapigie chadema hivi unaakili kichwani kweli wewe?
amepanick msameheSasa kwenye hili hao chadema wameingiaje? Kahojiwa na Takukuru ya Chadema? Kakamatwa na polisi wa chadema? Kafikishwa mahakama ya chadema? Au hata Kisongo ni gereza la chadema?
Aacha kuonesha upumbavu wako mbele za watu. Chadema haina TAKUKURU wala Jeshi la Polisi. Hivi chadema ikifutika mtakuwa mnatumia chama gani kuongelea pumba zenu?Laiti ungelijua usingethubutu kuandika huu upuuzi.
Hili jamaa jinga kweli.aiseeπ π π π π
Utumbo mtupu umeandika hapa.. Mataga mnateseka sana.. Chadema wamehusikaje hapo kwa sabaya kukamatwa..Kwanza mpaka sasa tuhuma alizopewa zina msukumo wa kisiasa zaidi na ni kisasi baada ya kupambana na wanasiasa dhalimu na wapiga madili'
Ushahidi dhidi ya tuhuma zake ni wa kutengeneza au kwa kimombo unaitwa fabricated. Mfano anadai kuporwa mil 90 atathibitisha vipi kirahisi mahakamani kuwa alipigwa biti ili amapatie Sabaya mil 90. Ilikuwa ni mazingira gani mpaka analazimishwa kwa nini hakufungua malalamiko polisi mpaka wanaharakati wa twita ndio wakaweka mbinyo?
Pia wanaodai kuwa waliteswa na kupigwa na Sabaya walikuwa wapi kufungua malalamiko polisi? Hakuna ushahidi wa wazi kuwa walimuona kwa macho yao akwatembezea mateso na kichapo zaidi ya Ansbert Ngurumo anayetumiwa na Chadema kupakaza hizi tuhuma.
Unyag'anyi wa kutumia siraha ni moja ya makosa makubwa kabisa. Jeshi la polisi lilikuwa wapi kumkamata mtuhumiwa maana alikuwa akihatarisha maisha ya watu.
My take: Chadema ni chama cha wakora na mafisadi ukipambana nao wakishindwa kukuua kama Chacha Wangwe wanakufanyia njama mbaya
Huyu jamaa atakuwa na mtindio wa ubongo.Sasa kwenye hili hao chadema wameingiaje? Kahojiwa na Takukuru ya Chadema? Kakamatwa na polisi wa chadema? Kafikishwa mahakama ya chadema? Au hata Kisongo ni gereza la chadema?
Atakwambia Chadema wametengeneza π€£π€£π€£ hili jamaa jinga sijawahi kushuhudia.View attachment 1810292
Huoni aibu MATAGA?
Aliekuambia nafanya kazi za vyombo vya usalama nani? Kama wamepewa hiyo dhamana mbona rais kamuambia Igp wafute kesi walizobambikia watu makosa? Tumia akili bwege mkubwa.its so funny. unadai ushahidi ni wa kutengeneza?
unao ambao si wa kutengeneza?
umehoji wanao mshtaki?
acha kufajifanya unafanya kazi ya vyombo vya usalama. wao wamepewa dhamana ya kuchunguza na lukusanya ushahidi.
hizo assumption unazokuja nazo bila vidhibitisho.. zitaishia humu tu.
Natamani nifunguke ila nitatambulika kirahisi sana. Kwa ufupi nilikuwa eneo la tukio. Polisi walienda hadi wakapewa pf3 wakaenda kutibiwa mount meru hospital.Wewe uliona kwa macho yako diwani akipigwa? Uliona alichoandika Ngurumo juu ya huyu diwani. Kwa nini wale wenye duka waliokuwa wanateswa hawakushitaki?