Jinsi polisi walivyonusuru maisha yangu last night

Usiombee wakudake na huoo mguu
Atcl cargo inakuhusu
 
Hata na mimi nimemshangaa jamaa kwa kunishambulia bila sababu. Yeye alikuwa ashatoa ushauri wake unatosha.

Sasa mambo ya kunishambulia sijui yalitoka wapi na wakati hatujuani na hafahamu sababu za mimi kuendelea kuishi hapa.
Mitandao yote ya kijamii lzm ukumban na wa2 aina ya jamaa. Ivyo ni kusoma na kupotezea tu
 
daah mwanzoni sikuupa uzito huu uzi.

kichwa cha habari kilivyokaa nikajua ni hawa polisi wetu wa hapa bongo hawa fulu janjajanja wa kutengeneza matukio na vistori vya ajabuajabu

dah pole man

katoe sadaka yako kwa imani yako sasa
 
daah mwanzoni sikuupa uzito huu uzi.

kichwa cha habari kilivyokaa nikajua ni hawa polisi wetu wa hapa bongo hawa fulu janjajanja wa kutengeneza matukio na vistori vya ajabuajabu

dah pole man

katoe sadaka yako kwa imani yako sasa
Hahaha.. ulifikiri hao wakwetu wanaokimbizwa na panya road mkuu.

Mi nazungumzia hawa wanaotembelea laini ya kifo kila siku hapa Kaburu.
 
Namshauli uzingatie kwa makini ushauli wako
 
daah mwanzoni sikuupa uzito huu uzi.

kichwa cha habari kilivyokaa nikajua ni hawa polisi wetu wa hapa bongo hawa fulu janjajanja wa kutengeneza matukio na vistori vya ajabuajabu

dah pole man

katoe sadaka yako kwa imani yako sasa
Huu ni ushauli muhimu sana kwa mtoa mada, apite auchukue na kuufanyia kazi.
 
Mbona inasemekana kuwa watu weng wanazo au hua ni za bandia?
Za bandia?

Anyway zipo za bandia, lkn utaijua kama hii ni ya bandia au ni ya kweli ikishapasua kichwa πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚
 
Chukua akiba yako njoo bongo! Wekeza fanya biashara! Huzuri wa bongo ni amani! Njoo pm nikuonyeshe maeneo unaweza kufanya biashara ukapata hela
 
Nimechukua wazo lako na mimi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…