uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 17,060
- 32,400
Sio lazima wote tujazane nchi 1 kama dagaa mkuu.
Pambaneni, nimeishi USA na ningeweza baki, ila upweke ulinirudisha, usa palikuwa salama sana kwangu
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sio lazima wote tujazane nchi 1 kama dagaa mkuu.
Ushasema USA. Kule ni mbali ndio maana wengi hatufikirii kwenda kuishi kule.Pambaneni, nimeishi USA na ningeweza baki, ila upweke ulinirudisha, usa palikuwa salama sana kwangu
Ushasema USA. Kule ni mbali ndio maana wengi hatufikirii kwenda kuishi kule.
Hapa Kaburu ni karibu mno na nyumban, na kila mara nikitaka kuja bongo kufanya mambo yangu, naruka mara 1 baada ya wiki 1 au 2 narudia Kaburu kuendelea na maisha.
Ni hatari sana mkuu. Ila ndo hivyo mwanaume unapofanikiwa kuwa na jangwa sehemu la kukupatia riziki ya kula na kujiendeleza kidogo, basi haina budi kuipigania sehemu hiyo kwa jasho na damu.Hiyo nchi kifo nje nje , airport ya dar es salaam kila ndege ya mizigo inapofika lazima uwe na jeneza , mtu amefariki huko
Mkuu Mr dundumizi,Asante mkuu 🙏
Kwa hapa kuwa nayo sio tatizo, bali tatizo ni kukutwa nayo.
Ukisema uipate kiuhalali itabidi ufate process nyingi mno ambazo wengi tunashindwa.
Ubarikiwe sana ndugu yangu, ni wachache sana wenye moyo wa aina yako.Mungu akutunze, na kukuepusha na madhila, Amina.
Nina beef na mzazi mwenzangu ambae ni mzawa, ila sidhani kama yeye anaweza kuandaa mchezo wa aina hii.Mkuu Mr dundumizi,
Hauna labda mabifu na watu au labda kuna mtu wako wa karibu anKuzunguka?
Ujahisi hivyo?
Yani mwezi wa 12 huwa ni balaa.Kiwango cha uhalifu huko bondeni ni kikubwa mno Africa.
Pole sana mkuu,Nina beef na mzazi mwenzangu ambae ni mzawa, ila sidhani kama yeye anaweza kuandaa mchezo wa aina hii.
Nimeshatoa taarifa kwenye vyombo husika mkuu, so bado tunafuatilia kwa karibu hili tukio la jana ili kuelewa chanzo na sababu zake.
Binadamu ndo tulivyo mkuu. Kuna watu watu wanataka wabaki peke Yao Dunia nzima...........Aiseeh! Huu ugali ulivyo mtamu halafu kuna mtu anataka akuue usiendelee kula.
Ninaposema mzawa namaanisha ni raia wa hapa hapa.Pole sana mkuu,
Anaishi huko huko au yeye yupo bongo?
Daaah mkuu pole sana.Ninaposema mzawa namaanisha ni raia wa hapa hapa.
Tuna beef nae kubwa sana kiasi cha kuiweka ndoa yangu matatani.
Lkn yeye anaishi Pretoria na mimi kwa sasa naishi Johannesburg.
Asante mkuu. Ashukuriwe Mungu muweza, kwa kuendelea kuyalinda maisha yangu 🙏Pole sana Mkuu Joberg Mji wa Hatari sana....
Pole sana mkuu, chukua tahadhari usipuuze hata kidogo.Asante mkuu. Ashukuriwe Mungu muweza, kwa kuendelea kuyalinda maisha yangu [emoji120]
Nina ugomvi mkubwa na mzazi mwenzangu ambae ni mzawa, Ila sifikirii kama yeye anaweza kuandaa mpango huo.Kuna mtu yoyote unamuhisi? Au ushawahi kugombana na mtu huko?
Hili wazo lako ni zuri sana, maana hata mimi na washkaji wengine including ndugu zangu tulikuwa tunawaza hivi hivi.Daaah mkuu pole sana.
Lolote linawezekana huenda akawa anachora ramani yeye, au kama ulivyosema ni wizi tu wa magari au kuna rafiki anaona umemzidi maendeleo yote yanawezekana.
Unaweza hata kuhama sehemu uliyopo current ukamove sehemu nyingine ukajaribu kubadili hata mawasiliano.
Na kuendelea kufanya upelelezi
Pole sana mkuu.