Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ni kwa sababu kila mtu kaja kutafuta, na wengi wa waliokuja kutafuta wanataka utajiri wa haraka haraka aidha kwa njia ya wizi, kuuza madawa ya kulevya, kutapeli nk.Pole sana mkuu, chukua tahadhari usipuuze hata kidogo.
Naomba kuuliza. Ivi kwa nini SA kuna matukio mengi ya mauaji kuliko nchi zingine, wanaishi maisha kama kwenye movie.
Daah nimekupata. Wana slogan yao wanaitaNi kwa sababu kila mtu kaja kutafuta, na wengi wa waliokuja kutafuta wanataka utajiri wa haraka haraka aidha kwa njia ya wizi, kuuza madawa ya kulevya, kutapeli nk.
Na matukio hayo mara nyingi huendana na mauaji, utekaji nk.
Hakika JF bado ina watu muhimu sana kama wewe. Huu ushauri sikutegemea kuupata kwa mtu yoyote.Hongera kwa kutambua hatari...
Next time jitahidi kuchukua aina yoyote ya ushahidi pia gari yako iwekee Dashboard camera.. na rear camera. Pia weka tinted kali.
Nyumba yako iwekee security nzuri bila kusahau camera.. sometimes unapata ushahidi kwa kufatilia footages za miezi kadhaa nyuma na kumjua/kuwabaini watu wabaya.
Pia ukiwa na mishe zako usiwe mtu wa kutumia njia moja. Yaan njia hiyo hiyo utakayotoka nayo ndio urudi nayo..
Jitahidi uwe mtu wa kubadiri njia mara kwa mara yaan UNPREDICTABLE
Ndo maana yake mkuu. Na hiyo slogan ndo inasababisha watu wauwe au kuuwawa hovyo.Daah nimekupata. Wana slogan yao wanaita " get rich or die trying"
Nacheka kama mazuri vile. Lkn ulichoandika kina ukweli ndugu yangu.Kifo kipo kokote unaweza jisifu upo bongo ful amani, anatekea mlevi mmoja na gari yake anakupamia story yako ikaishia hapo.
Amiin mkuu.Kwa masimulizi ya SA ni hatari kuishi mnaoishi huko mna moyo
Pole sana Mungu akulinde na watanzania wote
Hahaaaaa, dogo hajui maisha anajiongelea tu huyo. Pambana mwanaume.Sio lazima wote tujazane nchi 1 kama dagaa mkuu.
Upweke kivipi Mkuu ingawa Kuna Maokoto upweke unatoka wapi? Ebu tufanyie Michongo Nasisi tuingie hukoPambaneni, nimeishi USA na ningeweza baki, ila upweke ulinirudisha, usa palikuwa salama sana kwangu
Imagine mtu mwenye roho ya upambanaji kama mimi, nimeshakwepa vifo hatari kibao, alaf waje wasikie nimeuwawa na dogo sijui Ali Dangote kwa kupigwa kisu kimoja cha mbavu.Hahaaaaa, dogo hajui maisha anajiongelea tu huyo. Pambana mwanaume.
Amiin mkuu 🙏Mm hyo nchi mtu akinambia anaishi huko hata sitamani...
Mungu awafanyie wepesi
Mbona askari wa bongo pia husaidia raia pale wanapotaka kuvamiwa na majambazi mbali mbali mkuu.Pole sana kiongozi.
Ila nilitaka kustaajabu kuwa polisi waliokupa msaada ni wa bongo au? Kumbe wa huko kwa Madiba
Jiwe alikuwa mmoja wao,.Binadamu ndo tulivyo mkuu. Kuna watu watu wanataka wabaki peke Yao Dunia nzima.
Shukran, na ubarikiwe sana mkuu.Jiwe alikuwa mmoja wao,.
Pole mkuu
Usihangaike naye huyo, wabongo ndiyo walivyo washamba. Mtu akiwa nje ya nchi akilalamika au kukutana na kisa kitu cha kwanza anachoambiwa ni ''si urudi kwenu!'' Duania ya leo watu wanajitahidi kusafiri na kuishi nchi nyingine lakini kuna watu wanadhani ni sifa kukaa Bongo...Sio lazima wote tujazane nchi 1 kama dagaa mkuu.