Pre GE2025 Jinsi Rais Samia alivyomsaidia Lissu kutoka mafichoni

Pre GE2025 Jinsi Rais Samia alivyomsaidia Lissu kutoka mafichoni

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Mada yako umejaa upeo mdogo sana:

1) Mikutano inaruhusiwa na katibu, siyo Rais. Kama unadhani inaruhusiwa na Rais, mwambie aipige marufuku. Usiishi kwa kukariri. Eti kwa sababu Amin aliwabwaga walemavu kwenye mto, basi kila Rais anaweza kufanya hivyo, na akaachwa kama alivyoachwa Amin. The world is dynamic, will never become static. Ni sawa litokee jambazi likawa linaua watu mtaani, halafu siku moja liseme kuwa kuanzia leo sitawaua, kisha utegemee watu washangilie na kusifu kuwa jambazi limetuhusu tuishi.

2) Siyo Rais wa kuvielekeza vyama vya siasa vifanye siasa kwa namna gani. Sheria na katiba ndiyo pekee vyenye haki ya kuelekeza.

Wenye akili wanaangalia katiba na sheria vinasema nini.
Hivi,ukimfikiria huyo atakuelewa kweli?
 
Punguza kujikomba kwa mtu asiyekufahamu Wala kukujua. Eti Samiah kamuinua Lissu. Shida ya watoto wa juzi bwana, Lissu yupo Tangu 1994, na 1995 aligombea ubunge Singida kupitia NCCR Mageuzi. Sijui huyo mama yako alikuwa wapi kipindi hicho.
 
Umeandika maneno mengi lakini PUMBA tupu. Sasa Makonda alikuwa anafanya siasa au comedy? Yaani ujinga wa kuingia na mkokoteni unaona ni kitu cha maana?

Hivi nyingi watu humo vichwani mwenu mna akili au kamasi tu zimejaa?
Hata mimi nimeshangaa kweli viongozi wa chadema ambao tumeshuhudia ni wajengaji wa hoja wazuri ndio wamuogope Makonda! Kwa lipi?
 
Dudumizi, suala moja la msingi umeliibua lakini hukutaka kuliendeleza. Umeeleza kwa usahihi kitendo cha kishujaa cha Rais Samia kuruhusu siasa za barabarani na majukwaani kwa vyama vya kisiasa.
Mimi nataka ulijibu baraza hili swali moja tu kutokana na hoja yako hii..

Kwamba, ni Samia au katiba na sheria zetu ndizo zinazoruhusu shughuli za kisiasa?
 
Mimi nataka ulijibu baraza hili swali moja tu kutokana na hoja yako hii..

Kwamba, ni Samia au katiba na sheria zetu ndizo zinazoruhusu shughuli za kisiasa?
Katiba na sheria. Hilo liko wazi lakini bila ridhaa ya Rais utekelezaji wake unakuwa mgumu. Usisahau kabla ya ridhaa ya Rais Samia siasa za barabarani na majukwaani kwa upande wa vyama vya upinzani zilikuwa zimefifia kwa sababu moja au nyingine.
 
Katiba na sheria.
Very good☑☑, umejibu vyema...!
Hilo liko wazi lakini bila ridhaa ya Rais utekelezaji wake unakuwa mgumu.
Why and how? Kwa hiyo una maana Rais yuko juu ya sheria? Na katiba inasemaje kuhusu ukuu wa katiba kwa kila mtu akiwemo Rais?
Usisahau kabla ya ridhaa ya Rais Samia siasa za barabarani na majukwaani kwa upande wa vyama vya upinzani zilikuwa zimefifia kwa sababu moja au nyingine.
Kwanini zilififia?

Na Rais atoe ridhaa akiwa kama nani?

Mbona umejibu vizuri tu hili hapo juu kuwa Sheria na katiba zipo juu ya mtu yeyote?

Mbona unaji - contract mwenyewe?

Kwani kuna ubaya gani ukikiri tu kuwa "...Ni kweli yule Rais aliyepiga marufuku shughuli za kisiasa za vyama visivyo serikalini (vya upinzani) kinyume cha sheria na katiba alifanya makosa na alivunja katiba na sheria ya nchi..."

Mimi najiuliza swali hili:

Kwamba, nyie mnaoukwepa kuuelewa na kisha kuusema ukweli huu inakuwa ni ujinga (ignorance) au ndio uchawa na ududu wenyewe huu?
 
Very good☑☑, umejibu vyema...!

Why and how? Kwa hiyo una maana Rais yuko juu ya sheria? Na katiba inasemaje kuhusu ukuu wa katiba kwa kila mtu akiwemo Rais?

Kwanini zilififia?

Na Rais atoe ridhaa akiwa kama nani?

Mbona umejibu vizuri tu hili hapo juu kuwa Sheria na katiba zipo juu ya mtu yeyote?

Mbona unaji - contract mwenyewe?

Kwani kuna ubaya gani ukikiri tu kuwa "...Ni kweli yule Rais aliyepiga marufuku shughuli za kisiasa za vyama visivyo serikalini (vya upinzani) kinyume cha sheria na katiba alifanya makosa na alivunja katiba na sheria ya nchi..."

Mimi najiuliza swali hili:

Kwamba, nyie mnaoukwepa kuuelewa na kisha kuusema ukweli huu inakuwa ni ujinga (ignorance) au ndio uchawa na ududu wenyewe huu?
Very good☑☑, umejibu vyema...!

Why and how? Kwa hiyo una maana Rais yuko juu ya sheria? Na katiba inasemaje kuhusu ukuu wa katiba kwa kila mtu akiwemo Rais?

Kwanini zilififia?

Na Rais atoe ridhaa akiwa kama nani?

Mbona umejibu vizuri tu hili hapo juu kuwa Sheria na katiba zipo juu ya mtu yeyote?

Mbona unaji - contract mwenyewe?

Kwani kuna ubaya gani ukikiri tu kuwa "...Ni kweli yule Rais aliyepiga marufuku shughuli za kisiasa za vyama visivyo serikalini (vya upinzani) kinyume cha sheria na katiba alifanya makosa na alivunja katiba na sheria ya nchi..."

Mimi najiuliza swali hili:

Kwamba, nyie mnaoukwepa kuuelewa na kisha kuusema ukweli huu inakuwa ni ujinga (ignorance) au ndio uchawa na ududu wenyewe huu?
Sio uchawa au lolote. Ukisoma vizuri katiba upo mzizi uliojichimbia chini zaidi kuliko mhimili wa Mahakama au Bunge. Rejea hata rasimu ya Warioba lakini aliishia njiani.
 
Lissu hakwepeki , hiyo picha ya kwanza nimeipenda hasa, ni picha halisi ya Ukombozi
 
Sio uchawa au lolote. Ukisoma vizuri katiba upo mzizi uliojichimbia chini zaidi kuliko mhimili wa Mahakama au Bunge. Rejea hata rasimu ya Warioba lakini aliishia njiani.
Hili kila mtu analijua na ndiyo maana tunapigania mfumo mpya wa kikatiba na kisheria ili kuyaweka sawa hayo..

Hata hivyo hoja yangu kwako unayokwepa kuijibu ilikuwa ni hii👇🏻

Kwani kuna ubaya gani ukikiri tu kuwa "...Ni kweli yule Rais (Hayati John P. Magufuli) aliyepiga marufuku shughuli halali za kisiasa kisheria na kikatiba za vyama visivyo serikalini (vya upinzani) kinyume cha sheria na katiba na zuio hilo haramu kikatiba kuendelezwa na mrithi wake Samia Suluhu Hassan alifanya makosa na alivunja katiba na sheria ya nchi...?"

Ukikubali hili tu, basi nitauona uungwana na uelewa wako na tutasonga mbele vyema ktk mjadala huu..

Ni hilo tu..
 
Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam zangu kwenu, ningependa kuendelea na mada yangu nzuri hapo chini.

Wakuu kwa wale wajuzi wenzangu wa mambo mbali mbali yanayoendelea duniani, nafikiri mshawahi kuusikia ule msemo unaosema kuwa "Paka akitoka, akiondoka au kuondolewa sehemu, basi Panya hutawala".

Msemo huu umedhihirishwa na kile kinachoendelea sasa nchini Tanzania. Nakumbuka mwanzo kabisa mwa mwaka jana, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe Samia Suluhu Hassani aliruhusu ufanyaji wa mikutano ya hadhara kwa vyama vyote. Kwa masharti kwamba mikutano hiyo ijikite zaidi katika hoja za msingi, na sio matusi, ugomvi, wala vurugu.

Baada ya tamko hilo, vyama vyote vya siasa vilifurahi, na kujipanga kwa ajili ya kuzunguka nchi nzima kufanya mikutano mbali mbali.

1. CUF kilifanya mkutano wake mmoja tu pale Magomeni kikiongozwa na mwenyekiti wao Prof Ibrahim Lipumba kikaangukia pua na kuacha kabisa kuendelea na mikutano.

2. ACT Wazalendo wao nguvu yao wakaielekeza huko Zanzibar baada ya kugundua kwamba bara hawana uungaji mkono kutoka kwa watanzania bara, maana hoja zao zinajikita zaidi kuipigania Zanzibar badala ya Tanzania yetu yote.

3. Hawa walikuja na mikwara mizito, mwenyekiti na makamu wake wakagawana mikoa ya kuzunguka. List ikatengenezwa. Ikawa mwenyekiti huku, makamu kule. Ikafika kipindi mpaka mwenyekiti akaja amelewa kule Mwanza na katika hotuba yake akajiita na yeye mwana CCM. So likafunikwa funikwa na chawa wake siku zikapita. Sipati picha kama kauli ile ingetolewa na mtu kama Mbatia.. moja kwa moja angeonekana ni mwana CCM alievaa ngozi ya upinzani butu ili kuwahadaa wapinzani wenzake. Lakini kwa vile kauli ile ilitamkwa na mwenyekiti wao basi hilo halikupewa sana voice likafunikwa lipite. Kuna msemo unaosema "kunya anye kuku tu, lakini akinya bata kaharisha".

Pilika za Chadema zikawa nyingi hadi tukaletewa na list ya mikoa watakayozunguka kufanya mikutano yao. Mwaka huo huo wakati Chadema na vyama vingine vikiendelea kuzunguka huku na huko kufanya mikutano yao wakiongozwa na viongozi wao kina Lissu na Mbowe. Ghafla raisi Samia akachafua hali ya hewa katika mikutano hiyo kwa kumteuwa ndugu Paul Makonda kuwa katibu mwenezi na itikadi wa CCM.

Uteuzi huo ulionekana kukinyong'onyesha Chadema na viongozi wake wote. Kwani ghafla mikutano ikasitishwa kuogopa aibu ya kulinganishwa muitikio wa watu katika mikutano ya kina Lisu na Makonda.

Mbowe akaanza kudai amenyimwa vibali vya kurusha ndege hewani, baada ya kuona Makonda amesema atamsaidia kupata vibali anavyotaka ili waendelee kupambana kwa hoja kupitia mikutano mbali mbali, mwenyekiti na makamu wake wakaamua kukaa kimya.

Huku wakimuacha Makonda anazunguka tu peke yake mkoa kwa mkoa. Tupo tuliokuwa tukihoji walipo viongozi wa vyama vya siasa waliokuwa wakipiga kelele mikutano ya siasa iruhusiwe, sasa imeruhusiwa baada ya kumuona Makonda wamekimbia. Wengine wakahisi huenda Makamu amesafiri au kuna mambo ambayo hakubaliani na viongozi wa nchi ndomaana muda wote alikuwa kimya hazunguki tena mikutanoni wala kuonekana hadharani.

Mwezi uliopita rais Samia kafanya mabadiliko ambayo yamemuondoa Makonda katika nafasi ya chama aliyokuwa nayo, na kumpeleka kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, hivyo hatokuwa anazunguka tena kama alivyokuwa anazunguka miezi kadhaa iliyopita. Ndo tunaanza kuwaona tena kina Lisu wanatoka mafichoni na kuanza kuzunguka huku na huko wakijua kwamba yule aliekuwa anawafanya wajifiche hawezi tena kuwasumbua maana ashapewa nafasi nyingine ambayo haiingiliani kabisa na yale wanayoyafanya sasa hivi.

Lissu badala ya kumshambulia rais Samia anatakiwa amshukuru kwa kumtoa Makonda kule alipokuwepo, na kumtupa kwenye ukuu wa mkoa, maana bila hivyo wangeendelea kukaa mafichoni kukwepa kuaibishwa na muitikio wa mikutano ya Makonda hadi 2025, ndo pengine wangejitokeza kupigania nafasi zao za ubunge, uraisi nk.

Sometimes tuseme tu ukweli hata kama ni mchungu.

View attachment 2979111View attachment 2979112View attachment 2979113
Kwamba hayo mambo binafsi ndo yawe msingi wa haki kwa Watabnzania wote?
 
Tanzania ikiwa na watu wengi wa aina yako, ni vigumu sana kujitambua kama taifa. Je, huyo Samia kumtoa huyo Tundu Lissu mafichoni ilikuwa hisani?

Nakushangaa sana kama utofatishi dhuruma, uonevu na haki. Nchi hii ni ya kila Mtanzania na kila mtu ana haki zake kisheria, kisiasa na kiuchumi. Utawala wa JPM ambao Samia alikuwa sehemu yake ndiyo uliwanyima haki hasa ya kisiasa Tundu Lissu na wenzake. Utawala huohuo ukijisahihisha na kurejesha haki utaitaje hisani. Kwa niaba ya serikali, Samia anapaswa kuwaomba radhi Lissu na wenzake kwa yale mabaya yote waliyowafanyia.
Kwisha habari yake
 
Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam zangu kwenu, ningependa kuendelea na mada yangu nzuri hapo chini.

Wakuu kwa wale wajuzi wenzangu wa mambo mbali mbali yanayoendelea duniani, nafikiri mshawahi kuusikia ule msemo unaosema kuwa "Paka akitoka, akiondoka au kuondolewa sehemu, basi Panya hutawala".

Msemo huu umedhihirishwa na kile kinachoendelea sasa nchini Tanzania. Nakumbuka mwanzo kabisa mwa mwaka jana, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe Samia Suluhu Hassani aliruhusu ufanyaji wa mikutano ya hadhara kwa vyama vyote. Kwa masharti kwamba mikutano hiyo ijikite zaidi katika hoja za msingi, na sio matusi, ugomvi, wala vurugu.

Baada ya tamko hilo, vyama vyote vya siasa vilifurahi, na kujipanga kwa ajili ya kuzunguka nchi nzima kufanya mikutano mbali mbali.

1. CUF kilifanya mkutano wake mmoja tu pale Magomeni kikiongozwa na mwenyekiti wao Prof Ibrahim Lipumba kikaangukia pua na kuacha kabisa kuendelea na mikutano.

2. ACT Wazalendo wao nguvu yao wakaielekeza huko Zanzibar baada ya kugundua kwamba bara hawana uungaji mkono kutoka kwa watanzania bara, maana hoja zao zinajikita zaidi kuipigania Zanzibar badala ya Tanzania yetu yote.

3. Hawa walikuja na mikwara mizito, mwenyekiti na makamu wake wakagawana mikoa ya kuzunguka. List ikatengenezwa. Ikawa mwenyekiti huku, makamu kule. Ikafika kipindi mpaka mwenyekiti akaja amelewa kule Mwanza na katika hotuba yake akajiita na yeye mwana CCM. So likafunikwa funikwa na chawa wake siku zikapita. Sipati picha kama kauli ile ingetolewa na mtu kama Mbatia.. moja kwa moja angeonekana ni mwana CCM alievaa ngozi ya upinzani butu ili kuwahadaa wapinzani wenzake. Lakini kwa vile kauli ile ilitamkwa na mwenyekiti wao basi hilo halikupewa sana voice likafunikwa lipite. Kuna msemo unaosema "kunya anye kuku tu, lakini akinya bata kaharisha".

Pilika za Chadema zikawa nyingi hadi tukaletewa na list ya mikoa watakayozunguka kufanya mikutano yao. Mwaka huo huo wakati Chadema na vyama vingine vikiendelea kuzunguka huku na huko kufanya mikutano yao wakiongozwa na viongozi wao kina Lissu na Mbowe. Ghafla raisi Samia akachafua hali ya hewa katika mikutano hiyo kwa kumteuwa ndugu Paul Makonda kuwa katibu mwenezi na itikadi wa CCM.

Uteuzi huo ulionekana kukinyong'onyesha Chadema na viongozi wake wote. Kwani ghafla mikutano ikasitishwa kuogopa aibu ya kulinganishwa muitikio wa watu katika mikutano ya kina Lisu na Makonda.

Mbowe akaanza kudai amenyimwa vibali vya kurusha ndege hewani, baada ya kuona Makonda amesema atamsaidia kupata vibali anavyotaka ili waendelee kupambana kwa hoja kupitia mikutano mbali mbali, mwenyekiti na makamu wake wakaamua kukaa kimya.

Huku wakimuacha Makonda anazunguka tu peke yake mkoa kwa mkoa. Tupo tuliokuwa tukihoji walipo viongozi wa vyama vya siasa waliokuwa wakipiga kelele mikutano ya siasa iruhusiwe, sasa imeruhusiwa baada ya kumuona Makonda wamekimbia. Wengine wakahisi huenda Makamu amesafiri au kuna mambo ambayo hakubaliani na viongozi wa nchi ndomaana muda wote alikuwa kimya hazunguki tena mikutanoni wala kuonekana hadharani.

Mwezi uliopita rais Samia kafanya mabadiliko ambayo yamemuondoa Makonda katika nafasi ya chama aliyokuwa nayo, na kumpeleka kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, hivyo hatokuwa anazunguka tena kama alivyokuwa anazunguka miezi kadhaa iliyopita. Ndo tunaanza kuwaona tena kina Lisu wanatoka mafichoni na kuanza kuzunguka huku na huko wakijua kwamba yule aliekuwa anawafanya wajifiche hawezi tena kuwasumbua maana ashapewa nafasi nyingine ambayo haiingiliani kabisa na yale wanayoyafanya sasa hivi.

Lissu badala ya kumshambulia rais Samia anatakiwa amshukuru kwa kumtoa Makonda kule alipokuwepo, na kumtupa kwenye ukuu wa mkoa, maana bila hivyo wangeendelea kukaa mafichoni kukwepa kuaibishwa na muitikio wa mikutano ya Makonda hadi 2025, ndo pengine wangejitokeza kupigania nafasi zao za ubunge, uraisi nk.

Sometimes tuseme tu ukweli hata kama ni mchungu.

View attachment 2979111View attachment 2979112View attachment 2979113
Unalinganisha siasa na FUTUHI wewe ni mpenzi wa futuhi
 
M
Habari zenu wanaJF wenzangu, ama baada ya salam zangu kwenu, ningependa kuendelea na mada yangu nzuri hapo chini.

Wakuu kwa wale wajuzi wenzangu wa mambo mbali mbali yanayoendelea duniani, nafikiri mshawahi kuusikia ule msemo unaosema kuwa "Paka akitoka, akiondoka au kuondolewa sehemu, basi Panya hutawala".

Msemo huu umedhihirishwa na kile kinachoendelea sasa nchini Tanzania. Nakumbuka mwanzo kabisa mwa mwaka jana, rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania mhe Samia Suluhu Hassani aliruhusu ufanyaji wa mikutano ya hadhara kwa vyama vyote. Kwa masharti kwamba mikutano hiyo ijikite zaidi katika hoja za msingi, na sio matusi, ugomvi, wala vurugu.

Baada ya tamko hilo, vyama vyote vya siasa vilifurahi, na kujipanga kwa ajili ya kuzunguka nchi nzima kufanya mikutano mbali mbali.

1. CUF kilifanya mkutano wake mmoja tu pale Magomeni kikiongozwa na mwenyekiti wao Prof Ibrahim Lipumba kikaangukia pua na kuacha kabisa kuendelea na mikutano.

2. ACT Wazalendo wao nguvu yao wakaielekeza huko Zanzibar baada ya kugundua kwamba bara hawana uungaji mkono kutoka kwa watanzania bara, maana hoja zao zinajikita zaidi kuipigania Zanzibar badala ya Tanzania yetu yote.

3. Hawa walikuja na mikwara mizito, mwenyekiti na makamu wake wakagawana mikoa ya kuzunguka. List ikatengenezwa. Ikawa mwenyekiti huku, makamu kule. Ikafika kipindi mpaka mwenyekiti akaja amelewa kule Mwanza na katika hotuba yake akajiita na yeye mwana CCM. So likafunikwa funikwa na chawa wake siku zikapita. Sipati picha kama kauli ile ingetolewa na mtu kama Mbatia.. moja kwa moja angeonekana ni mwana CCM alievaa ngozi ya upinzani butu ili kuwahadaa wapinzani wenzake. Lakini kwa vile kauli ile ilitamkwa na mwenyekiti wao basi hilo halikupewa sana voice likafunikwa lipite. Kuna msemo unaosema "kunya anye kuku tu, lakini akinya bata kaharisha".

Pilika za Chadema zikawa nyingi hadi tukaletewa na list ya mikoa watakayozunguka kufanya mikutano yao. Mwaka huo huo wakati Chadema na vyama vingine vikiendelea kuzunguka huku na huko kufanya mikutano yao wakiongozwa na viongozi wao kina Lissu na Mbowe. Ghafla raisi Samia akachafua hali ya hewa katika mikutano hiyo kwa kumteuwa ndugu Paul Makonda kuwa katibu mwenezi na itikadi wa CCM.

Uteuzi huo ulionekana kukinyong'onyesha Chadema na viongozi wake wote. Kwani ghafla mikutano ikasitishwa kuogopa aibu ya kulinganishwa muitikio wa watu katika mikutano ya kina Lisu na Makonda.

Mbowe akaanza kudai amenyimwa vibali vya kurusha ndege hewani, baada ya kuona Makonda amesema atamsaidia kupata vibali anavyotaka ili waendelee kupambana kwa hoja kupitia mikutano mbali mbali, mwenyekiti na makamu wake wakaamua kukaa kimya.

Huku wakimuacha Makonda anazunguka tu peke yake mkoa kwa mkoa. Tupo tuliokuwa tukihoji walipo viongozi wa vyama vya siasa waliokuwa wakipiga kelele mikutano ya siasa iruhusiwe, sasa imeruhusiwa baada ya kumuona Makonda wamekimbia. Wengine wakahisi huenda Makamu amesafiri au kuna mambo ambayo hakubaliani na viongozi wa nchi ndomaana muda wote alikuwa kimya hazunguki tena mikutanoni wala kuonekana hadharani.

Mwezi uliopita rais Samia kafanya mabadiliko ambayo yamemuondoa Makonda katika nafasi ya chama aliyokuwa nayo, na kumpeleka kuwa mkuu wa mkoa wa Arusha, hivyo hatokuwa anazunguka tena kama alivyokuwa anazunguka miezi kadhaa iliyopita. Ndo tunaanza kuwaona tena kina Lisu wanatoka mafichoni na kuanza kuzunguka huku na huko wakijua kwamba yule aliekuwa anawafanya wajifiche hawezi tena kuwasumbua maana ashapewa nafasi nyingine ambayo haiingiliani kabisa na yale wanayoyafanya sasa hivi.

Lissu badala ya kumshambulia rais Samia anatakiwa amshukuru kwa kumtoa Makonda kule alipokuwepo, na kumtupa kwenye ukuu wa mkoa, maana bila hivyo wangeendelea kukaa mafichoni kukwepa kuaibishwa na muitikio wa mikutano ya Makonda hadi 2025, ndo pengine wangejitokeza kupigania nafasi zao za ubunge, uraisi nk.

Sometimes tuseme tu ukweli hata kama ni mchungu.

View attachment 2979111View attachment 2979112View attachment 2979113
Mhhhh
 
Huna uelewa mwandishi unapotosha...Kuandaa mkutano mmoja wa hadhara kwa CCM ni mtiti...CHADEMA ni sekunde tu
 
Back
Top Bottom