Seif Mselem
Senior Member
- Oct 16, 2023
- 161
- 526
Na...
Jinsi Wewe Unavyoweza Kuanzisha Biashara yako pia!
Moja ya Changamoto ambayo Wajasiriamali wengi wamekuwa Wakipitia ni Jinsi ya Kuanzisha Biashara bila ya kuwa Mtaji.
Yaani…
Je kuna Njia yoyote RAHISI ya Kuanzisha Biashara bila kuwa na Mtaji?
Ukweli ni Kwamba…
HIYO NJIA IPO NA INAWEZEKANA!
Na…
Ili uweze Kunielewa Vizuri Nitakupa hii STORY ya kweli ya Billionea…
“Richard Branson”
Kama Humfahamu Tu…
Richard Branson ni Muanzilishi wa Kampuni ya…
“Virgin Group”
Yaani…
Kampuni Inayomiliki na Kuendesha Biashara Tofauti Tofauti ndani yake.
Mfano wake kwa hapa Tanzania ni Azam Group ambayo Ndani yake kuna…
Timu…
Media…
Hotels…
Usafirishaji…
n.k.
kwahiyo…
Hata Virgin Group nayo Ipo katika Mtindo huo ambapo Ndani yake ina Kampuni ya Ndege Inayoitwa…
“Virgin Atlantic Airways”
Kwahiyo…
Huo Ndio Utambulisho Mfupi wa Richard Branson…Story yake Inaendeleaje?
Angalia Hapa…
Mwaka 1984 Wakati Virgin Airways Inaanzishwa kulikuwa na Sheria moja ambayo Inasema Ili Uweze kuwa kwenye…
“Soko la Usafirishaji wa Anga kupitia Bahari ya Atlantic Ilikuwa ni Lazima Uwe na Ndege yenye Ukubwa at Least sawa na Boeing 747-200”
Yaani…
Kulikuwa kuna Vigezo inabidi Uvikidhi ili Uwe Tayari kuanza Kazi, Ikiwa pamoja na kuwa na Ndege ya aina hiyo.
Sasa kwa Kipindi hicho Branson alikuwa hawezi kwenda ku RISK Pesa zake kwenye Biashara Mpya ambayo Alikuwa hajua kama Itafanikiwa.
Na…
Kama tunavyofahamu Kwenye…
“Biashara Lengo huwa Sio ku TAKE Risk bali Lengo huwa ni ku MINIMIZE Risk”
Kwahiyo…
Branson ilibidi Atafute njia ambayo Itakuwa Salama kwake Kuanzisha Kampuni.
Na…
Kwasababu ukubwa wa Ndege Unaotakiwa ni sawa na wa BOEING 747-200. Kwa haraka haraka Ikabidi awacheki Kampuni husika…
Alivyoongea na Mtu wa Commercial Sales wa Boeing aliambiwa kuwa, Boeing huwa wana Sheria ya kuwa na Mteja Mmoja kwa kila Nchi…
Yaani…
Kampuni ya BOEING Huwa Inauza Ndege kwa Shirika Moja tu La ndege kwa Kila Nchi Duniani.
(Kwa Kipindi kile Sasa)
Na…
Alipokwepo Branson (England) Tayari Ilikwepo Kampuni ya Ndege ya…
“British Airways”
Kwahiyo…
Yeye alikuwa Hawezi Kuanzisha Biashara ya Ndege England kwa Kutumia Ndege za Boeing.
So,
Kisheria alikuwa HASTAHILI Kuanzisha kampuni ya ndege England.
Je Alifanyaje Branson hadi Kupata Ndege Kutoka kwenye Kampuni ya Boeing Japo Sheria Zilikuwa Haziruhusu?
Okay… Angalia Hapa
Baada ya Mauza Uza yote hayo Richard Branson Ikabidi Afike hadi Ofisi ya Boeing Nchini Marekani…
Alipofika Swali La Kwanza Aliwauliza…
“Vipi Mtakuwa na Ndege aina ya Boeing 747-200 ambayo Haitumiki/Iliyopaki?”
Mkurugenzi Akajibu… NDIO Ipo.
Richard Akauliza Tena…
“Vipi kama Moja ya Mashirika (Mteja) yenu Wangetaka Kukodisha hiyo Ndege, Je Wangelipia Kiasi gani kwa kila Mwezi?”
Mkurugenzi Akajibu tena… “Wangelipia kuanzia Dola 200,000 hadi Dola 300,000 kwa Mwezi”
Kumbuka hapo Richard Branson hana CASH ya Kuwapa…!
Sasa Angalia AKILI Aliyoicheza Richard Branson hadi Kuanzisha Kampuni ya Ndege huku Akiwa hana hata MIA Mbovu…
Kama unavyojua kwenye Usafiri wa Ndege huwa watu wana Tabia ya Kukata Ticket Mapema…
Mfano…
Mtu anaweza kuwa Anataka Kusafiri Mwezi wa 12 na Akakata Ticketi yake Mwezi wa 10, Maana yake…
Pesa Zinaingia kwanza Kabla ya Kufanya KAZI ya Kusafirisha Abiria.
Kwa Mjasiriamali na Benki zote Makini Duniani…
Unapompa Mtu PESA kwanza kabla ya Huduma, Yaani Unapolipa Advance huwa kuna Faida kwa Mjasiriamali au Benki Kuzungusha PESA na Kutengeneza Faida zaidi.
Kwahiyo…
Alichokifanya Richard Branson ni kwenda Kuiweka Kampuni ya Virgin Airways Sokoni huku Ikiwa haina Ndege Rasmi na Watu Wakaanza Kufanya Booking ya Ticket.
Baada ya Kulipwa Ticket za Mapema Ndipo alipokuja Kulipa KODI ya Ndege kwenye Kampuni La Boeing.
Then Guess What?..
Huo ndio Ukawa Mwanzo wa Kampuni ya Ndege ya VIRGIN AIRWAYS Unayoijua Leo hii.
Kwahiyo…
Ki Msingi Tunasema Richard Branson Aliweza Kuanzia Kampuni ya Ndege Akiwa hana hata Dolla Moja Mfukoni.
Sasa wewe kama…
Mjasiriamali wa Kibongo Unawezaje Kuanzisha Biashara bila kuwa na Mtaji wowote Ule?
Kama Ninavyopenda Kusema Kwamba…
Kila ninapokuwa Nataka Kufanya Kitu flani huwa Najiambia kuwa Kuna MILLIONS of ways za Kufanya hicho Kitu.
Kazi yangu ni Kuchagua Njia gani ni Sahihi zaidi na Ina RISK ndogo baada ya Muda.
Na…
Kwenye hiki Kitu tutaenda Kutumia Njia hiyo hiyo…
Sasa hapa Sitakupa Majibu ya Moja kwa Moja Unawezaje Kuanzisha Biashara Bila kuwa na Mtaji kabisa kama Richard Branson…
ILA…
Nitaenda Kukuonesha NJIA Ambazo Unaweza Kutumia Kupata Pesa kwaajili ya Kuanzisha Biashara yako.
Kwahiyo…
Kama umependa MODEL ya Richard Branson Unaweza Kuitumia na Ukaanza Safari yako…
ILA…
Kama hiyo Model Huiwezi basi Ishi na hizi NJIA Ambazo Zinaweza Kukupa Pesa ya Mtaji.
1). Raise Capital Kutoka kwa Watu au Investors
Hii ndio OLD SCHOOL Model ya Kupata Mtaji Mkubwa ambayo Imekuwa Ikitumiwa Miaka na Miaka.
Hapa unachohitajika ni uwe Umesajili Kampuni au Biashara yako kisha Unatafuta watu wa Kukupa Fund (Pesa)
Yaani…
Unauza baadhi ya Vipande vya Biashara yako (Hisa) kwa Watu watakao kuwa Tayari.
Zaidi Unachohitaji Hapa ni…
Uwe Unajua Kitu Unachokifanya na IDEA yako iwe Sustainable. Tofauti na hapo UTACHOMA Biashara yako na Pesa za watu.
Na…
Hii Mbinu Nimeona Ikitumika Mara ya Kwanza…
Miaka ya Nyuma kwenye Kampuni moja aidha La Cement au Benki kama Sijasahau.
Yaani…
Walikuwa wanapita Kule Kijijini kwetu Shelui na Walikuwa Wanauza HISA zao kwa Watu waliokuwa Interested.
Na…
Kuna Mzee Mmoja Maarufu sana pale Alinunua ambapo hadi Leo huwa anakula Gawio lake.
Sehemu ya pili Nimeshuhudia Ilikuwa Chuo…
Kuna Rafiki yangu Mmoja yeye ana Kampuni yake ya Kilimo na Alikuwa anauza Hisa zake kwa Wanafunzi.
Alikuwa anaitisha Mkutano anafanya Presentation ya IDEA yake Then watu Wananunua Hisa.
Na…
Kila mwisho wa Mwaka anatoa GAWIO kwa Wanahisa wake.
Kwahiyo…
Hiyo ndio Njia ya kwanza Unaweza Kuitumia Kupata Mtaji wa Kuanzia.
TAHADHARI: Kabla ya Kufanya hiki Kitu hakikisha Unafuata Utaratibu wa ki Sheria otherwise Unawezakuta Unafanya Utapeli. Hakikisha Unawaona Wataalamu.
2). Fanya Partnership na Watu wenye Pesa.
Kama una Idea na una Imani kwamba Inaweza kuwa ni GREAT Business basi Usiogope Kutafuta Partners.
Faida ya Partners ni kwamba Watakupa…
“SYNERGIC EFFECT”
Yaani…
Wewe bila wao Huwezi kwenda na Wao bila Wewe Hawawezi kwenda.
Sawa na ki Hesabu kwamba… 1 + 1 = 3
Maana yake ni kwamba Biashara inakuwa na NGUVU kama Mkiwa wote kuliko Ukiwa Pekee yako.
Kwahiyo…
Hapa unatafuta watu ambao Unajua wana PESA na Hawajui Wazifanyie nini na Wewe mwenye IDEA ambayo Hujui Uipeleke wapi.
Hapa Ongea na Washikaji zako, Ndugu zako, School Mates then Wekeni Makubaliano. Then Here We Go. SIMPLE
Hapa Unatakiwa uwe Vizuri kwenye USHAWISHI Tofauti na hapo Huwezipata Kitu.
3). Tafuta MKOPO Usio na Riba.
Yeah… Sijakosea!
Tafuta mahala ambapo Utakopeshwa Bila Riba na Bila Masharti Magumu ya Muda wa Kurudisha.
Bila shaka Kila Mtu anaishi Mtaa au Mazingira ya Karibu na Watu wanaojiweza…Ongea nao then Waeleze Future yako.
Nenda nyumba yoyote ya Mfanyabiashara Mkubwa then Mwambie PLANS na Kila kitu unachotaka Kukifanya.
Wengi ni Waelewa na Wameshakuwa huko…Anaweza Kukukopesha Bila Riba hasa akikuona una Future ya maana.
Ikishindikana…
Ongea na Ndugu yoyote mwenye KIPATO ambaye ana Ajira. Mtafute face to face Uongee nae.
Nimesema Mkobo Usio na Riba Kwasababu…
Biashara Sio STRAIGHT LINE kama Ajira. Sio kila kitu kitakuwa sawa hasa Pindi Utakapoanza.
Kwahiyo…
Kama utakopa kwenye Mikopo Kausha DAMU Itakuwa ni Rahisi Kupoteza…
Kwasababu…
Kelele na Miluzi Itakuwa kibao MIXER Marejesho ya kila Wiki…Probably Lazima Utauwa Biashara yako.
So…
Hiyo ndio Summary Fupi ya Kupata MTAJI wa Kuanza Biashara.
Kilichobaki ni Uthubutu wako na Ujuzi Kuhusu Kitu Unachoenda Kukifanya.
…THAT’S ALL GUYS!
I Hope huu ujumbe kuna Mtu unamuokoa huko Njee.
All the Best…
Uwe na Siku Njema.
SN: Story ya Richard Branson Nimeikata na Nimeiweka ili Ifikishe huu Ujumbe Kwahiyo Ukienda Kuisoma au Kuisikiliza Mahali Unaweza Kujifunza zaidi.
Seif Mselem!
Jinsi Wewe Unavyoweza Kuanzisha Biashara yako pia!
Moja ya Changamoto ambayo Wajasiriamali wengi wamekuwa Wakipitia ni Jinsi ya Kuanzisha Biashara bila ya kuwa Mtaji.
Yaani…
Je kuna Njia yoyote RAHISI ya Kuanzisha Biashara bila kuwa na Mtaji?
Ukweli ni Kwamba…
HIYO NJIA IPO NA INAWEZEKANA!
Na…
Ili uweze Kunielewa Vizuri Nitakupa hii STORY ya kweli ya Billionea…
“Richard Branson”
Kama Humfahamu Tu…
Richard Branson ni Muanzilishi wa Kampuni ya…
“Virgin Group”
Yaani…
Kampuni Inayomiliki na Kuendesha Biashara Tofauti Tofauti ndani yake.
Mfano wake kwa hapa Tanzania ni Azam Group ambayo Ndani yake kuna…
Timu…
Media…
Hotels…
Usafirishaji…
n.k.
kwahiyo…
Hata Virgin Group nayo Ipo katika Mtindo huo ambapo Ndani yake ina Kampuni ya Ndege Inayoitwa…
“Virgin Atlantic Airways”
Kwahiyo…
Huo Ndio Utambulisho Mfupi wa Richard Branson…Story yake Inaendeleaje?
Angalia Hapa…
Mwaka 1984 Wakati Virgin Airways Inaanzishwa kulikuwa na Sheria moja ambayo Inasema Ili Uweze kuwa kwenye…
“Soko la Usafirishaji wa Anga kupitia Bahari ya Atlantic Ilikuwa ni Lazima Uwe na Ndege yenye Ukubwa at Least sawa na Boeing 747-200”
Yaani…
Kulikuwa kuna Vigezo inabidi Uvikidhi ili Uwe Tayari kuanza Kazi, Ikiwa pamoja na kuwa na Ndege ya aina hiyo.
Sasa kwa Kipindi hicho Branson alikuwa hawezi kwenda ku RISK Pesa zake kwenye Biashara Mpya ambayo Alikuwa hajua kama Itafanikiwa.
Na…
Kama tunavyofahamu Kwenye…
“Biashara Lengo huwa Sio ku TAKE Risk bali Lengo huwa ni ku MINIMIZE Risk”
Kwahiyo…
Branson ilibidi Atafute njia ambayo Itakuwa Salama kwake Kuanzisha Kampuni.
Na…
Kwasababu ukubwa wa Ndege Unaotakiwa ni sawa na wa BOEING 747-200. Kwa haraka haraka Ikabidi awacheki Kampuni husika…
Alivyoongea na Mtu wa Commercial Sales wa Boeing aliambiwa kuwa, Boeing huwa wana Sheria ya kuwa na Mteja Mmoja kwa kila Nchi…
Yaani…
Kampuni ya BOEING Huwa Inauza Ndege kwa Shirika Moja tu La ndege kwa Kila Nchi Duniani.
(Kwa Kipindi kile Sasa)
Na…
Alipokwepo Branson (England) Tayari Ilikwepo Kampuni ya Ndege ya…
“British Airways”
Kwahiyo…
Yeye alikuwa Hawezi Kuanzisha Biashara ya Ndege England kwa Kutumia Ndege za Boeing.
So,
Kisheria alikuwa HASTAHILI Kuanzisha kampuni ya ndege England.
Je Alifanyaje Branson hadi Kupata Ndege Kutoka kwenye Kampuni ya Boeing Japo Sheria Zilikuwa Haziruhusu?
Okay… Angalia Hapa
Baada ya Mauza Uza yote hayo Richard Branson Ikabidi Afike hadi Ofisi ya Boeing Nchini Marekani…
Alipofika Swali La Kwanza Aliwauliza…
“Vipi Mtakuwa na Ndege aina ya Boeing 747-200 ambayo Haitumiki/Iliyopaki?”
Mkurugenzi Akajibu… NDIO Ipo.
Richard Akauliza Tena…
“Vipi kama Moja ya Mashirika (Mteja) yenu Wangetaka Kukodisha hiyo Ndege, Je Wangelipia Kiasi gani kwa kila Mwezi?”
Mkurugenzi Akajibu tena… “Wangelipia kuanzia Dola 200,000 hadi Dola 300,000 kwa Mwezi”
Kumbuka hapo Richard Branson hana CASH ya Kuwapa…!
Sasa Angalia AKILI Aliyoicheza Richard Branson hadi Kuanzisha Kampuni ya Ndege huku Akiwa hana hata MIA Mbovu…
Kama unavyojua kwenye Usafiri wa Ndege huwa watu wana Tabia ya Kukata Ticket Mapema…
Mfano…
Mtu anaweza kuwa Anataka Kusafiri Mwezi wa 12 na Akakata Ticketi yake Mwezi wa 10, Maana yake…
Pesa Zinaingia kwanza Kabla ya Kufanya KAZI ya Kusafirisha Abiria.
Kwa Mjasiriamali na Benki zote Makini Duniani…
Unapompa Mtu PESA kwanza kabla ya Huduma, Yaani Unapolipa Advance huwa kuna Faida kwa Mjasiriamali au Benki Kuzungusha PESA na Kutengeneza Faida zaidi.
Kwahiyo…
Alichokifanya Richard Branson ni kwenda Kuiweka Kampuni ya Virgin Airways Sokoni huku Ikiwa haina Ndege Rasmi na Watu Wakaanza Kufanya Booking ya Ticket.
Baada ya Kulipwa Ticket za Mapema Ndipo alipokuja Kulipa KODI ya Ndege kwenye Kampuni La Boeing.
Then Guess What?..
Huo ndio Ukawa Mwanzo wa Kampuni ya Ndege ya VIRGIN AIRWAYS Unayoijua Leo hii.
Kwahiyo…
Ki Msingi Tunasema Richard Branson Aliweza Kuanzia Kampuni ya Ndege Akiwa hana hata Dolla Moja Mfukoni.
Sasa wewe kama…
Mjasiriamali wa Kibongo Unawezaje Kuanzisha Biashara bila kuwa na Mtaji wowote Ule?
Kama Ninavyopenda Kusema Kwamba…
Kila ninapokuwa Nataka Kufanya Kitu flani huwa Najiambia kuwa Kuna MILLIONS of ways za Kufanya hicho Kitu.
Kazi yangu ni Kuchagua Njia gani ni Sahihi zaidi na Ina RISK ndogo baada ya Muda.
Na…
Kwenye hiki Kitu tutaenda Kutumia Njia hiyo hiyo…
Sasa hapa Sitakupa Majibu ya Moja kwa Moja Unawezaje Kuanzisha Biashara Bila kuwa na Mtaji kabisa kama Richard Branson…
ILA…
Nitaenda Kukuonesha NJIA Ambazo Unaweza Kutumia Kupata Pesa kwaajili ya Kuanzisha Biashara yako.
Kwahiyo…
Kama umependa MODEL ya Richard Branson Unaweza Kuitumia na Ukaanza Safari yako…
ILA…
Kama hiyo Model Huiwezi basi Ishi na hizi NJIA Ambazo Zinaweza Kukupa Pesa ya Mtaji.
1). Raise Capital Kutoka kwa Watu au Investors
Hii ndio OLD SCHOOL Model ya Kupata Mtaji Mkubwa ambayo Imekuwa Ikitumiwa Miaka na Miaka.
Hapa unachohitajika ni uwe Umesajili Kampuni au Biashara yako kisha Unatafuta watu wa Kukupa Fund (Pesa)
Yaani…
Unauza baadhi ya Vipande vya Biashara yako (Hisa) kwa Watu watakao kuwa Tayari.
Zaidi Unachohitaji Hapa ni…
Uwe Unajua Kitu Unachokifanya na IDEA yako iwe Sustainable. Tofauti na hapo UTACHOMA Biashara yako na Pesa za watu.
Na…
Hii Mbinu Nimeona Ikitumika Mara ya Kwanza…
Miaka ya Nyuma kwenye Kampuni moja aidha La Cement au Benki kama Sijasahau.
Yaani…
Walikuwa wanapita Kule Kijijini kwetu Shelui na Walikuwa Wanauza HISA zao kwa Watu waliokuwa Interested.
Na…
Kuna Mzee Mmoja Maarufu sana pale Alinunua ambapo hadi Leo huwa anakula Gawio lake.
Sehemu ya pili Nimeshuhudia Ilikuwa Chuo…
Kuna Rafiki yangu Mmoja yeye ana Kampuni yake ya Kilimo na Alikuwa anauza Hisa zake kwa Wanafunzi.
Alikuwa anaitisha Mkutano anafanya Presentation ya IDEA yake Then watu Wananunua Hisa.
Na…
Kila mwisho wa Mwaka anatoa GAWIO kwa Wanahisa wake.
Kwahiyo…
Hiyo ndio Njia ya kwanza Unaweza Kuitumia Kupata Mtaji wa Kuanzia.
TAHADHARI: Kabla ya Kufanya hiki Kitu hakikisha Unafuata Utaratibu wa ki Sheria otherwise Unawezakuta Unafanya Utapeli. Hakikisha Unawaona Wataalamu.
2). Fanya Partnership na Watu wenye Pesa.
Kama una Idea na una Imani kwamba Inaweza kuwa ni GREAT Business basi Usiogope Kutafuta Partners.
Faida ya Partners ni kwamba Watakupa…
“SYNERGIC EFFECT”
Yaani…
Wewe bila wao Huwezi kwenda na Wao bila Wewe Hawawezi kwenda.
Sawa na ki Hesabu kwamba… 1 + 1 = 3
Maana yake ni kwamba Biashara inakuwa na NGUVU kama Mkiwa wote kuliko Ukiwa Pekee yako.
Kwahiyo…
Hapa unatafuta watu ambao Unajua wana PESA na Hawajui Wazifanyie nini na Wewe mwenye IDEA ambayo Hujui Uipeleke wapi.
Hapa Ongea na Washikaji zako, Ndugu zako, School Mates then Wekeni Makubaliano. Then Here We Go. SIMPLE
Hapa Unatakiwa uwe Vizuri kwenye USHAWISHI Tofauti na hapo Huwezipata Kitu.
3). Tafuta MKOPO Usio na Riba.
Yeah… Sijakosea!
Tafuta mahala ambapo Utakopeshwa Bila Riba na Bila Masharti Magumu ya Muda wa Kurudisha.
Bila shaka Kila Mtu anaishi Mtaa au Mazingira ya Karibu na Watu wanaojiweza…Ongea nao then Waeleze Future yako.
Nenda nyumba yoyote ya Mfanyabiashara Mkubwa then Mwambie PLANS na Kila kitu unachotaka Kukifanya.
Wengi ni Waelewa na Wameshakuwa huko…Anaweza Kukukopesha Bila Riba hasa akikuona una Future ya maana.
Ikishindikana…
Ongea na Ndugu yoyote mwenye KIPATO ambaye ana Ajira. Mtafute face to face Uongee nae.
Nimesema Mkobo Usio na Riba Kwasababu…
Biashara Sio STRAIGHT LINE kama Ajira. Sio kila kitu kitakuwa sawa hasa Pindi Utakapoanza.
Kwahiyo…
Kama utakopa kwenye Mikopo Kausha DAMU Itakuwa ni Rahisi Kupoteza…
Kwasababu…
Kelele na Miluzi Itakuwa kibao MIXER Marejesho ya kila Wiki…Probably Lazima Utauwa Biashara yako.
So…
Hiyo ndio Summary Fupi ya Kupata MTAJI wa Kuanza Biashara.
Kilichobaki ni Uthubutu wako na Ujuzi Kuhusu Kitu Unachoenda Kukifanya.
…THAT’S ALL GUYS!
I Hope huu ujumbe kuna Mtu unamuokoa huko Njee.
All the Best…
Uwe na Siku Njema.
SN: Story ya Richard Branson Nimeikata na Nimeiweka ili Ifikishe huu Ujumbe Kwahiyo Ukienda Kuisoma au Kuisikiliza Mahali Unaweza Kujifunza zaidi.
Seif Mselem!