ππππππAcha bas mkuu.Rafiki yangu point zako ni π― nazikubali, nacho ongelea mimi zaidi ni huko mbele ya safari Kagame anaiba pesa Congo haibu anapeleka Rwanda mbali sana sio ilivyo kuwa.
Lakini umemuona mama Samia anakagua ndege za mafunzo ya kijeshi au bado π
Niko na wewe lakini jeshi pia halihitaji mabus tuπKucheza viuno kivipi kaka!?ππππ
Unamaanisha fighter jets za Rwanda zina survey anga la Tanzania!?
Huko kwa jeshi mkuu hata usiguse,hao Rwanda leo kikinuka nchi tunaigeuza mkoa ile.
Sio kwa vifaa wala jeshi la ardhini Rwanda hawezi mfikia Tanzania.
Daaah jamaa unazingua eti mizinga ya sabasaba mitatu.ππNiko na wewe lakini jeshi pia halihitaji mabus tuπ
Nilicho ongelea hatua ya kagame kulijenga jeshi la Rwanda inatusha siku za mbele asije kuwa na Air force ikawa inamzidi Tanzani. Hio mizinga ya saba saba mitatu itasaidia nini mbele ya safari.
Tsh. 81k mpaka 85kNauli ni kiasi gani kwa from Dar au Kigoma bus.. nataka niivisit kwa siku kadhaa nitembee tu mitaani niimalize Kigari yote.. hint muhimu sehemu ambazo sio salama kuvist tafadhari
Ili kuleta amani ilikua lazima Rwanda ipitie hapo. Historia ya Rwanda ni chungu sana tangu enzi na enzi. Atleast sasa wamekaa miaka 30 bila vita.Msababishi wa Rwanda genocide ni yeye
Aisee si mbaya ni cheap kuliko kwenda Kenya.. Mabus gani yanaenda huko.. Kariakoo huwa naona Mabus ya kwenda Lubumbashi DRC tu.Tsh. 81k mpaka 85k
Hata mimi nimetafuta hiyo dosari ya Rwanda kama tittle linavyosema sijaona zaidi ya kuona akisifia wana ng'ombe wengi na maziwa,na vilima vingiHata sioni hoja yako hapa ya maana ndo maana tumekuwa wajinga africa nzma ukute we naye una cheo huko ccm na wanakuaminia kbs.
Rudi kwenu, nyie ndio wale mliofanya genocide mnaogopa kurudi, sasa kilichobaki ni kuchafua wenzenu, mko wengi humuNdo viwanda VYAO vya kuchakata maziwa
Hiyo namba imenishtua; ni ya kweli au kuna makosa?Nchi nzima watu wasiopungua milioni 10, Kigali pekee ina watu milioni 1288000, "hili nalo mkaliangalie"
Mbona ukigoogle unapata kila kitu. Kwa vifaa wametuzidi ila jeshi letu kubwa Sana. Vifaa vinanunuliwa tu vikihitajika.Kucheza viuno kivipi kaka!?ππππ
Unamaanisha fighter jets za Rwanda zina survey anga la Tanzania!?
Huko kwa jeshi mkuu hata usiguse,hao Rwanda leo kikinuka nchi tunaigeuza mkoa ile.
Sio kwa vifaa wala jeshi la ardhini Rwanda hawezi mfikia Tanzania.
Mbona ukigoogle unapata kila kitu. Kwa vifaa wametuzidi ila jeshi letu kubwa Sana. Vifaa vinanunuliwa tu vikihitaji.Kucheza viuno kivipi kaka!?ππππ
Unamaanisha fighter jets za Rwanda zina survey anga la Tanzania!?
Huko kwa jeshi mkuu hata usiguse,hao Rwanda leo kikinuka nchi tunaigeuza mkoa ile.
Sio kwa vifaa wala jeshi la ardhini Rwanda hawezi mfikia Tanzania.
Kitu kizuri rwanda ni wanawake,ng'ombe na wifi baadhi ya mitaa ya kigali basiiii.Rwanda ni nchi flan yenye ukubwa wa km za mraba zisizopungua 26330 hivi.. ikiwa na idadi ya watu wasiopungua million 10.. huku mji mkuu ukiwa ni Kigali wenye idadi ya watu kama million 1,288,000 ..miji mingine ya kutegemewa ni GISENYI, Wwenye idadi ya watu laki nane na ushee hivi...Pato ghafi ni dollar za kimarekani ni takriban billion 12 na million mia kadhaa. Huku Pato la kila mwananchi ni takriban dollar 909 na sent kadhaa... Rwanda wanategemea kilimo Cha chai na kahawa.
Japo Kwa Sasa wanajitahidi kulima maharage na mahindi pamoja na ndizi, biashara inayostawi na wanaojidai nayo ni biashara ya maziwa, na mnyrwanda humdanganyi kuhusu ubora wa maziwa.. wao huwa wanayaweka kwenye ukucha maziwa freshi yakisambaa tu kwenye ukucha anakuambia hamna KITU hapo ni maji tu...
Wana refineries kdhaa za kuchenjua dhahabu japo Wana kias au deposit ndogo sana ya dhahabu. Dhahabu nyingi inatoka mashariki mwa Kongo mahalo penye vurugu ila sijui kama wanaipata Kwa uhalali !!!!!! Kwa ufupi story za RWANDA NI PROPAGANDA, SIKU AKIFA MAGLASS WATATESEKA SANA
Hata uki google utaambiwa India ina vifaa vingi vya kijeshi kuliko Germany.Mbona ukigoogle unapata kila kitu. Kwa vifaa wametuzidi ila jeshi letu kubwa Sana. Vifaa vinanunuliwa tu vikihitajika.
UrakozeIkivuguto
Hiyo namba imenishtua; ni ya kweli au kuna makosa?
UrakUrakoze
urakoze cyane amataUrakoze
Uarkoze cyan amataUrakoze
Akukazae.Sure Rwanda ipo overrated Sana. Tena wanaipaisha utakuta ni mswahili Fulani wa kawe ukwamani kama GENTAMYCINE