Tashacobbs
JF-Expert Member
- Jun 18, 2022
- 572
- 1,559
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiiiiiiiiiJuhudi za serikali ya awamu ya 5
Nimecheka sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣uwiiiiiiiiiJuhudi za serikali ya awamu ya 5
Si ndo hapo sasa🤣🤣🤣🤣🤣🤣Kuandika niandike mimi halafu sifa wapewe serikali ya awamu ya 5😅. Uchawa huu
Duh ulivyomuattack utadhani yeye ndio amesema hayo? Hivi unaelewa maana ya CONSPIRACY kweli wewe?! Mbona alisema kabisa kama tunapenda conspiracy aendelee?Sasa tunakushangaa wewe unayemsema unafanywa mtoto wa darasa la nne alafu huelewi alichokisema doh, inafikirisha how knowledgeable you're mkuu.Hapa UNADANGANYA UMMA. TENA UONGO WA KITOTO. HUYO MPINGA KRISTO WALISHAMUONA WAPI? HATA YESU HAMNA PICHA YAKE. PLEASE USIPITILIZE KIASI HIKI. yaani kuna kipindi unachukulia kama wote ni vilaza humu 🤣. We unaifahamu sura ya mpinga kristo, mpinga kristo ni mfumo. Siyo mtu mmoja ataamka na kuanza kumpinga Kristo. Hao wa hivyo mbona wengi tu. We jamaa ulitafsiri uzi vizuri ila ukaanza kuharibu hapa kuchukulia kuwa upo na watoto wa darasa la 4 F pale kijiweni kwenu.
Unahitaji utulivu kidogo kunielewa kama huna mind settlement huwezi.Duh ulivyomuattack utadhani yeye ndio amesema hayo? Hivi unaelewa maana ya CONSPIRACY kweli wewe?! Mbona alisema kabisa kama tunapenda conspiracy aendelee?Sasa tunakushangaa wewe unayemsema unafanywa mtoto wa darasa la nne alafu huelewi alichokisema doh, inafikirisha how knowledgeable you're mkuu.
Unahitaji utulivu kidogo kunielewa kama huna mind settlement huwezi.Duh ulivyomuattack utadhani yeye ndio amesema hayo? Hivi unaelewa maana ya CONSPIRACY kweli wewe?! Mbona alisema kabisa kama tunapenda conspiracy aendelee?Sasa tunakushangaa wewe unayemsema unafanywa mtoto wa darasa la nne alafu huelewi alichokisema doh, inafikirisha how knowledgeable you're mkuu.
Naija wako mbele kwenye vingi sana, Sisi huku bado tunatumia effects za ajabu ajabu kweli. Btw sijaangalia muda sana muvi za bongoHalafu wa Nigeria naona wanajitahidi pia mfano ile mobie ya Drum of War yule mama walivyomtengeneza upande mmoja wa uso kama kaharabika
Yaani nisawa upwewe tahadhari kua pale kuna mbwa usipite halafu wewe upite kisha uanze kulaumu. Sasa hiyo mind settlement ni ya nini wakati nilikua nishasems kua wanaotaka niendelee na conspiracy waseme.Unahitaji utulivu kidogo kunielewa kama huna mind settlement huwezi.
Mi napinga sana uongo na ukasuku.Yaani nisawa upwewe tahadhari kua pale kuna mbwa usipite halafu wewe upite kisha uanze kulaumu. Sasa hiyo mind settlement ni ya nini wakati nilikua nishasems kua wanaotaka niendelee na conspiracy waseme.
Tatizo unataka kutumia akili nyingi kwenye jambo la kawaida mwisho ww ndio unaonekana en stupido
Post no 1. Hakuna kipya. Ume copy and paste. Imetafsiriwa tu kwenye kiswahili so hapo hakukuwa na jipya kwa mtoa mada. Alikuwa tu hana cha kufanya akaamua atafsiri na kuja kubandika hapa so hakuna ambacho ni chake.Basi ungekua una akili ungekosoa post #1. Umeshindwa ndio umekuja kutafuta tafuta huko.
Post no 1. Hakuna kipya. Ume copy and paste. Imetafsiriwa tu kwenye kiswahili so hapo hakukuwa na jipya kwa mtoa mada. Alikuwa tu hana cha kufanya akaamua atafsiri na kuja kubandika hapa so hakuna ambacho ni chake.Basi ungekua una akili ungekosoa post #1. Umeshindwa ndio umekuja kutafuta tafuta huko.
Nimekopi wapi???Post no 1. Hakuna kipya. Ume copy and paste. Imetafsiriwa tu kwenye kiswahili so hapo hakukuwa na jipya kwa mtoa mada. Alikuwa tu hana cha kufanya akaamua atafsiri na kuja kubandika hapa so hakuna ambacho ni chake.