Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio maana wenzetu wanapita shule kwanza, yaani bomu linalipuka inatakiwa uigize kama limekulipukia na wakati sio kweli lazima ikuchanganye kaa umezoea kuigiza hubaHii tech wakichukuliwa hawa waigizaji wetu sidhan kama wataweza
Maana mtu umepanda libox lakn unatakiwa uact kama umepanda faras kweli 😀😀😀
Haaaa ndio uniite hivo jamani mbele za watu😅[emoji28][emoji28][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Hivi Ray una nini wewe?mnisamehe bure jmn yaani nikiupenda uzi nafatilia mpaka comment ya mwisho napenda sana Ku like
Weka picha ya kazi zako tuone mkuu
.
Asante sana kaka nitaangalia hili swala la malipi teh teh teheMkuu unaweza lakini kunichangia kama hroho yako inakuambia unifanyie hivo😉
Mada hii hapa, maandishi ni mimi mwenyewe
Jinsi Introverts wanavyopata tabu kuingiliana na watu wanaowazunguka
Mates; Binaadamu tumeumbwa kwa matabaka tofauti tofauti sio wa rangi wala jinsia, katika upande wa Personalites binaadamu yupo katika makundi mabalimbali. Kuna Makundi makuu mawili ya personalities,ambazo ni Extroverts na Introverts. Kwa upande wa introverts dunia kwao si kikwazo au haina...www.jamiiforums.com
Hapo kwenye huo ukijani huo mwanga unaharibu effect ya picha ndo maana nimeipiga blackUlichokifanya hapa umefanya Photoshop/Photo Editing na sio Chrome key compositing maana hujaitoa background. Inatakiwa mazingira ya hapo aliposimama yabadirike kadri ya utakavyopenda yawe.
PS. Good try pal
Nilitegemea hio background ya kijani utaibadirisha
Sasa njoo bongo umwambie msanii nnene akonde ama mwembamba anatakiwa kunenepa uone kama watakubariWenzetu kwenye uigizaji hua wanafanya dedication ya hali ya juu Body transformation
View attachment 2112979
Unazunguka sana mwambie ukweli, amepata 0/10...yaani hajui kazi ya blue/green screen.Ulichokifanya hapa umefanya Photoshop/Photo Editing na sio Chrome key compositing maana hujaitoa background. Inatakiwa mazingira ya hapo aliposimama yabadirike kadri ya utakavyopenda yawe.
PS. Good try pal
Yes ilibidi afanye ivyo.Nilitegemea hio background ya kijani utaibadirisha
Sasa hapo kwenye 'ukijani' ndio eneo la kufanyia kazi.Hapo kwenye huo ukijani huo mwanga unaharibu effect ya picha ndo maana nimeipiga black