Jinsi TFF ilivyoamua kumuonea hadharani Feitoto na kuwatumikia Yanga Ni dhahiri zile ni hisia za bahasha kwenye ligi yetu

Hakuna sehemu Feisal anaweza kushinda ata hiyo kesi yake isikilizwe na Infantino Feisal hatoshinda zaidi atapewa onyo kali.
Acha porojo tunataka evidence za kisheria hapa. Sio vitisho vitisho tu
 
Wewe ni mpumbavu sana......unajua kwanini?.....Yaani mchezaji aamke asubuhi arudishe pesa aandike barua,aondoke kambini,sense uarabuni useme kavunja mkataba?…........hata Morrison na uchizi wake hakufanya ujinga Kama wa Fei.......hata akienda mahakama ya uhalifu fei atashindwa tu......hakuna Mambo ya kihuni yatakayo kuwa entertained Kama yanayofanywa na fei.........la msingi vumilia sense FIFA cas baada ya hapo utaehuhudia jinsi fei atavyoadhibiwa

Sent from my Infinix X657 using JamiiForums mobile app
 
Wajinga wengi nchi hii, kila mchezaji aibuke anataka kuvunja mkataba huo mpira utachezwa kweli?
 
Wajinga wengi nchi hii, kila mchezaji aibuke anataka kuvunja mkataba huo mpira utachezwa kweli?
Hakuna kitu kidichovunjika.. cha msingi utimize kukivunja suala la kukaa na mwajir wako sio lazma.. yeye unampa taarifa Kwa mujibu wa mkataba..sio kila mtu anatka kuvunja mkataba...wengine wamerudhika na mazingira yao
 
Hakuna kitu kidichovunjika.. cha msingi utimize kukivunja suala la kukaa na mwajir wako sio lazma.. yeye unampa taarifa Kwa mujibu wa mkataba..sio kila mtu anatka kuvunja mkataba...wengine wamerudhika na mazingira yao
Acha ujuaji wa kijinga mchezaji hua ni mali ya club kwa maana nyingine mchezaji ni asset ya timu thamani ya club ni pamoja na mikataba ya wachezaji ndio maana ni kwenye michezo pekee mtu analipwa signing fee au ana nunuliwa kutoka timu nyingine niambie ni professional gani ambayo mtu ana pewa signing fee au kuuzwa kwenda kampuni nyingine? ukipata jibu hapo ujue Feisal ni mjinga kama wewe
 
Na nyinyi muache kulialia bila ya sababu za msingi. Kama hamjaridhika na hayo maamuzi, nendeni mkaungane na lile jopo la mawakili wake, mkate rufaa ngazi zinazofuata.
 
Profesional Ziko nyingi tu ambazo mtu anashift kutokana na ujuzu wake au talenti yake..so hio haiapply tu kwenye michezo ndg...hta kwenye kada zingne hicho kitu Kipo..tatizo umezaliwa sigimbi na unaishi sigimbi sasa unajua tu kwenye michezo tu.. kampuni kubwa Dunian zikimtaka mtu fulani, wanaongea na kampuni yake wanachumkua. Au wanaongea namna ya kumalizana
 
Huyu dogo anakwenda kukiharibia carrier yake kwa ujinga wake na wale walio nyuma yake.
 
Kijana wa watu anashauriwa na watu ambao hawana hekima wala huruma. Unapokutana na mambo madogo kama haya halafu unaona watu wanatumia the hard way kutafuta ufumbuzi ndipo hapo unagundua sio kila mtu anaweza kuwa kiongozi.
Watu wazima wamwambie tu Feisal arudi Yanga na muda si mrefu watamwuuza kuliko njia ya hovyo anayotaka kupita. Wengi wanaoshabikia hapa hawajui vifungu vilivyomo kwenye mkataba zaidi ya kukariri ile mistari miwili ambayo ni sehemu tu ya mkataba wenye page zaidi ya tano. Kwenda CAS ni matumizi mabaya ya akili na fedha kwasababu Feisal akitayarishiwa statement fupi tu na mtu mwenye akili Yanga watasema mwacheni mtoto wetu aende akatafute maisha. Lakini yeye anatunisha misuli jambo ambalo hata akishinda kesi huko CAS bado yeye ndiye victim. Kuna watu wazima wa kimpira kama akina Ragge, Tenga etc wanaweza kumsaidi kuliko hawa wengine ambao hawajui chochote cha maana. Ajifunze somo kidogo kwa Morisson ambaye aliondoka Yanga kwa kesi lakini leo hao hao ndio waajiri wake. Feisal ni kijana mtanzania ambae tungetamani alisaidie Taifa akiwa mchezaji na hata baada ya kustaafu. Wrong choice ndizo zimewafanya baadhi ya watu wafanikiwe na wengine kushindwa vibaya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…