Jinsi TFF ilivyoamua kumuonea hadharani Feitoto na kuwatumikia Yanga Ni dhahiri zile ni hisia za bahasha kwenye ligi yetu

Haya walete wazi hivyo vipengele vingine vya mkataba ili tuone kosa la Fei toto.

Kwann wasitoe hvyo vingine ili tuchanganue, wanaficha au kuogopa nn?
Mwambie hiyo Mwanasheria wa Fei akupatie
 
Nipe mfano ndugu mjuaji
 
Mpo bize kuifuatilia mambo ya Yanga na Fei Toto kiasi cha kujisahau kuwa Mna mchezaji anaitwa Kibu Denis 😝😝
 
feisal hawezi shinda hii kesi hata aende kushtaki mbinguni,hao CAS sana sana watamshauri aiombe yanga ikubali angalau hata signing fee ambapo hata yanga wakikubali basi awe tayari kulipa mamia ya mamilioni na sio ule mteremko alioutaka wa milioni 112
 
Tff wenyewe hawajui wametumia vifungu gani kuamua walichoamua. Tunataka review ya kesi. Tff watoe kilichofanya Feitoto abaki Yanga. Waache storryy zao
 
Tff wenyewe hawajui wametumia vifungu gani kuamua walichoamua. Tunataka review ya kesi. Tff watoe kilichofanya Feitoto abaki Yanga. Waache storryy zao
Unataka na nani? Feisal ameshapewa review yake, wewe nenda Zenji kaichukue.
 
feisal hawezi shinda hii kesi hata aende kushtaki mbinguni,hao CAS sana sana watamshauri aiombe yanga ikubali angalau hata signing fee ambapo hata yanga wakikubali basi awe tayari kulipa mamia ya mamilioni na sio ule mteremko alioutaka wa milioni 112
Tunataka tuone msingi wa hukumu. Wametumia vifungu vipi? Hii Ni hatari. Tfff wameshindwa kutoa hiyo hukumu kamili zinakuja bra bra na vitisho tu
 
Mbumbumbu katika
Mbumbumbu katika ubora wako
 
Unataka na nani? Feisal ameshapewa review yake, wewe nenda Zenji kaichukue.
Kupitia review ya kesi yake wachezaji wengi watajifunza maana ya mkataba. Sio huo ubabaishaji. Na kwa mujibu wa Tff bado hawajampa na wanasema akitaka watampa aende cas lkn hawampa
 
Nauli za tu, elimu ya Feisal ikoje, na je elimu ya baba yake ni ipi.

Tuwape elimu watoto wetu hata kama wana vipaji tofauti na elimu ya darasani.

Hili la Feisal ni wazi kwamba mshauri wake mkuu ni mzazi wake na wakili kazi yake ni kupiga Hela Kupitia ujinga wa Feisal na baba yake.

Wacha waende huko CAS maana inaonekana aliyempa fedha za kulipia mkataba bado anaendelea kufadhili huu mchezo.

Wakili Endelea kupiga mihela
 

Moja ya matatizo makubwa tuliyonayo mashabiki wa soka ni kuwa na bias.

Linapotokea suala lenye kuipa timu yako furaha basi unasahau kabisa hata kutumia akili unabaki kutumia hisia tu.

Feitoto kama aliona kuna room ya kuvunja mkataba kwanini aingize fedha kwenye akaunti kimya kimya? Kwani kulikuwa na ubaya gani kuijulisha Yanga kwamba sasa amepata malisho ya kijana anakusudia kuvunja mkataba.

Uliwahi kusikia wapi mkataba wa mchezaji unavunjwa vile alivyofanya Feitoto?

Kwa sasa Feitoto anaweza kudhani ni mkubwa sana ila akumbuke tu Yanga ndo imemfanya aonekane mkubwa, na mchezaji yoyote iwe wa Simba ajue tu ni muhimu kuheshimu palipokupa jina.

Ishu ya maslahi ni bargaining kati ya management ya timu na mchezaji kama alikuwa analipwa milioni 4 tuelewe kwamba hizo ndo walizokubaliana na mchezaji akaridhika akasaini. Maandishi yako ivo usifike katikati ukaanza kuumia roho
 
Acha ushamba, Release clause inaruhusu mchezaji kununua mkataba wake na pesa itakayolipwa ni hiyo tu ya Release clause, hakuna maongezi yoyote ya ziada, alichofanya Fei Toto ni sahihi kisheria na atashinda mwisho wa siku, haki ya mtu haipotea, inacheleweshwa tu.
 
Katika hali ya kawaida unaposhawishiwa uachane na mkataba wako unafanya calculation zote za utakachopoteza. Inawezekana Fei kapiga hesabu zake na akaona ni sahihi sana kuachana na mkataba wa kinyonyaji kwa malipo sahihi hata kama kuna hatari ya kukaa benchi muda mrefu iwapo upande wa pili utataka kukukomoa na kukushikilia na ukafanikiwa.

Fei anataka pesa na huenda kazipata kutoka kwa aliyemsawishi afanye hili alilolifanya.
 
Akili kisoda. Huo ushabiki wako maandazi utakupasua moyo.
 
Tuache ujinga sisi Yanga. Fei anataka maisha bora aende. Ni Ujinga kusema kaikosea Yanga.
Pamoja na kutaka maisha mazuri lazima kila upande utimize contractual obligations, fei arudi yanga wayajenge. Mkataba ni sehemu 2 huwezi kushauriwa na mkeo usiku unaamka asubuhi eti nimevinja mkataba. Mpira ni biashara lazima taratibu ziheshimiwe.
 
Waswahili sheria kwetu ni kizungumkuti.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…