Msafiri Kafiri.
Huna jinsi inakubini kubadili tabia zako ili zifanane na wenyeji wako.
Huko Mkoani Arusha, Wilaya ya Arumeru imepigwa marufuku kuvaa nguo za Kifahari na kuwa na msururu wa magari wakati wa Maziko.
Kwa hiyo maamuzi mengine yanayofanywa hayahusiani na Uislamu ila utawala wa sehemu husika.
Huna jinsi inakubini kubadili tabia zako ili zifanane na wenyeji wako.
Huko Mkoani Arusha, Wilaya ya Arumeru imepigwa marufuku kuvaa nguo za Kifahari na kuwa na msururu wa magari wakati wa Maziko.
Kwa hiyo maamuzi mengine yanayofanywa hayahusiani na Uislamu ila utawala wa sehemu husika.